Hii song ilisha kataa,tafuteni nyingine,mmepuuzwa kwa kiwango cha juu sanaMbabe kwenye kusimamia sheria, asiye mkabila wala mdini. Siyo mteka watu na muuwa watu.
Asiyeenda kuficha pesa China na kupiga 10% kwenye miradi mikubwa
umepuuza peke yako.Hii song ilisha kataa,tafuteni nyingine,mmepuuzwa kwa kiwango cha juu sana
Waovu mkisikia tu rais mkali,mnakumbuka jina la jpm,Mbabe kwenye kusimamia sheria, asiye mkabila wala mdini. Siyo mteka watu na muuwa watu.
Asiyeenda kuficha pesa China na kupiga 10% kwenye miradi mikubwa
Ndiyo anataka rais mbabe maana hata Baba yake asinge fisadi pesa ya serikali.Baba yake akiwa Waziri wa ulinzi aliiba sana Hela za serikali, maria ameishi maisha yake akiogelea katika raha ya fedha za ufisadi, zimemsomesha, na hata Sasa anendelea kutumia fedha hizo
Utamuumba wewe?Mbabe kwenye kusimamia sheria, asiye mkabila wala mdini. Siyo mteka watu na muuwa watu.
Asiyeenda kuficha pesa China na kupiga 10% kwenye miradi mikubwa
Hakukosea kusema Kuna wakati ubongo ukumbuke mazuri uachane na mabaya yaliyofanywa.Unadhani Maria huyo unayemsikia hapo juu akikutana na Maria wa sasa hivi wataelewana kweli?!
View attachment 2630589
Huyo ni Maria Sarungi binti wa Profesa msomi wa tiba za binadamu, Mbunge (mstaafu) wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Waziri (mstaafu) wa Wizara ya Ulinzi ( W UL) mwana siasa mashuhuri ( mstaafu) nchini mzee Philemon Sarungi.
Unadhani Maria huyo unayemsikia hapo juu akikutana na Maria wa sasa hivi wataelewana kweli?!
Yaani Dikteta mzalendo na muadilifu kweli kweli !! Na akae madarakani kwa muda usiopungua miaka 20 !Mbabe kwenye kusimamia sheria, asiye mkabila wala mdini. Siyo mteka watu na muuwa watu.
Asiyeenda kuficha pesa China na kupiga 10% kwenye miradi mikubwa