Mariam Birian avalishwa pete, anaolewa siku chache zijazo

Mariam Birian avalishwa pete, anaolewa siku chache zijazo

Ameolewa December kanisani baada ya siku 7 mwanaume kaingia mitini.Anasema watu wenye roho mbaya walikuwa wanamtumia mme wake picha za utupu.
Tuwe makini na mitandao
Huyu huyu kidume alikuwa hajui historia yake? Ndiyo alikuwa ameingia mjini kutoka Lukuledi nini? Ina maana kijana kama huyo hata mitandao haperuzi? Ila kama alikuwa anajua basi ana roho ngumu sana. Wenzako walishafanya ni sehemu ya maabara wewe unakwenda kuchukuwa mazima.
 
Afu ile harusi ilikuwa kama maigizo vile kuanzia shera la bi harusi ..ukumbi watu walikuwa wachache mno waliojitokeza si kanisani wala ukumbini ni kama hawakuwa serious vile..hata huyo Mariam mwenyew ni kama hakujiamin na ndoa ile..lkn emb jiweke katika nafasi ya kaka,mzazi au dada wa kijana yule hivi ilutakuwa hiari mtu kama Mariam kwa scandal ile aingie katika ukoo wenu?anglia mtandaoni alivyotrend kwa scandal chafu namna ile alafu leo hii awe mmoja wa wanafamilia yenu..ninachojua mm wanaume wa kiafrica hasa watanzania katika suala la kuoa huwa wako very sensitive sana pamoja na mambo yao yote wanajua mke anatakiwa kuwa na sifa zipi otherwise awe na mwanamke tofauti na sifa hizo kwa maslahi binafsi ..Ogopa teknolojia ndugu hasa wanawake itafika kipindi utakosa fursa kwa upumbvu wako mwenyew
 
Shit happens na maisha lazima yaendeleee,

Bora yeye lake moja lilijulikana kuliko hao wengine mnaowaoa wakiwa wameshajivesha ngozi ya Kondoo.
Huu utaratibu wa kupiga magoti si ulikataliwa?

Dream Queen, would you like yo husband to kneel before you?
 
Daah walimwenguu mkaamua kumsanua engineer kamtemaa mariam baada ya kuona mavideoooo akipakuliwaa kisamvu... ila wabongo kwa roho mbayaa jamaa alifunga nae harusi kabisa...!! angejilia biriani tu na yeye atulieee
 
Nikajua mwanaume ni mtu wa mtaani kumbe a whole engineer....
Ni wazi huyo engineer hana akili na elimu yake haijamsaidia chochote... because wanaume walionizunguka tu huwa wanavet sana wanawake wa kulala nao tu, sembuse mke wa kuoa????
Fala sana huyo jamaa
 
Nikajua mwanaume ni mtu wa mtaani kumbe a whole engineer....
Ni wazi huyo engineer hana akili na elimu yake haijamsaidia chochote... because wanaume walionizunguka tu huwa wanavet sana wanawake wa kulala nao tu, sembuse mke wa kuoa????
Fala sana huyo jamaa
hata ukimsikia anavyoongea yani ni msomi ambae shule haijamsaidiaaa...sema ni muhayaaa majigamboo balaaa
 
Daah walimwenguu mkaamua kumsanua engineer kamtemaa mariam baada ya kuona mavideoooo akipakuliwaa kisamvu... ila wabongo kwa roho mbayaa jamaa alifunga nae harusi kabisa...!! angejilia biriani tu na yeye atulieee
Hakuna video analiwa kisamvu ila kuna video alikuwa anafanya video sex na jamaa sijui anaitwa muddy akawa anamnyegesha kwa kus3ma muddy anamfir@: vizuri .
Tatizo na yy akajiasociate maana wenye hela wakajua wakawa wanashindana dau .so akachezewa sana dau lilifika hadi 2 mil na tiket ya ndege na hotel juu
 
Hakuna video analiwa kisamvu ila kuna video alikuwa anafanya video sex na jamaa sijui anaitwa muddy akawa anamnyegesha kwa kus3ma muddy anamfir@: vizuri .
Tatizo na yy akajiasociate maana wenye hela wakajua wakawa wanashindana dau .so akachezewa sana dau lilifika hadi 2 mil na tiket ya ndege na hotel juu
Milioni 2 kwa kipya gani alichonacho? Huo mtaro?
 
Kama unahisi ushaona kila kitu katika dunia hii basi bado.

Mariam Birian ambaye ni mdada mpika birian maeneo ya Tabata na maarufu huko mitandaoni (wengi mnajua umaarufu wake) amevalishwa pete na anakaribia kuolewa.

Huyu mwamba aliyemvalisha Mariam pete ni miongoni mwa wanadamu wenye ujasiri mkubwa sana kuwahi kutokea katika uso wa dunia.

Niwatakie ndoa njema kwa wawili hao.View attachment 2778121
Nilikulaga 'Birian' yake kwa laki na nusu. Hata hivyo sijui kwanini sikuinjoy sana.

Ila kuna mfanyakazi wake alikuwa ana kaumbo fulani hivi siyo msambwanda sana, mweee nilionja birian yake kwa laki tu, mpaka leo nawasilianaga nae, naview status zake anaview zangu
 
Nilikulaga 'Birian' yake kwa laki na nusu. Hata hivyo sijui kwanini sikuinjoy sana.

Ila kuna mfanyakazi wake alikuwa ana kaumbo fulani hivi siyo msambwanda sana, mweee nilionja birian yake kwa laki tu, mpaka leo nawasilianaga nae, naview status zake anaview zangu
Huyo engineer alinogewa na biriani la mariam mpk akaamua kujimilikisha kabisa halafu anakuja kusingizia amerogwa
 
Huyo engineer alinogewa na biriani la mariam mpk akaamua kujimilikisha kabisa halafu anakuja kusingizia amerogwa
Kwani yameshamkuta tayari mkuu?

Maana lile birian tumekula wengi. Nakumbuka baada ya kupakua lile biriani nilimuunga na mchizi wangu mwingine na yeye akapakua, sema yeye kibunda kilimtoka kirefu 300K
 
Kwani yameshamkuta tayari mkuu?

Maana lile birian tumekula wengi. Nakumbuka baada ya kupakua lile biriani nilimuunga na mchizi wangu mwingine na yeye akapakua, sema yeye kibunda kilimtoka kirefu 300K
Washaachana niliskia interview yake akihojiwa. Anasema kuwa alikuwa hajui kama ana mambo hayo ila alimgonga siku ya kwanza tu walipokutana , matokeo yake akaachana na mpenzi wake na kuamua kumuoa mariam ila anasema kuwa Mariam biriani ana mambo ya kilozi /kishirikina so huenda alimroga ili amuoe.

Mwisho akasema kuwa pesa kubwa aliyowahi kumpa mariam ni laki 7. Ila alikuwa akimpa 50k,100k na mwisho 200k...nikajua tu hili ndio tatizo la wao kuachana.

Demu kama huyo ukiwa na mkono wa birika hutoboi nae cuz wajuba wanamtengea madau marefu wachezee kinyeo
 
Washaachana niliskia interview yake akihojiwa. Anasema kuwa alikuwa hajui kama ana mambo hayo ila alimgonga siku ya kwanza tu walipokutana , matokeo yake akaachana na mpenzi wake na kuamua kumuoa mariam ila anasema kuwa Mariam biriani ana mambo ya kilozi /kishirikina so huenda alimroga ili amuoe.

Mwisho akasema kuwa pesa kubwa aliyowahi kumpa mariam ni laki 7. Ila alikuwa akimpa 50k,100k na mwisho 200k...nikajua tu hili ndio tatizo la wao kuachana.

Demu kama huyo ukiwa na mkono wa birika hutoboi nae cuz wajuba wanamtengea madau marefu wachezee kinyeo
Aisee ni kweli, Mariam Birian uwe unampa 100K kweli afu ati we ni mumewe???

Wakati kipindi nateleza kwenye kinyeleo yake nilimpa 150K, jamaa yangu ye alimpa 300K kabisa, ila nafikiri madon wa mjini wao walikuwa wanatoa hata 500K.

Duh sijui yupo wapi siku hizi Birian, ngoja nitamuuliza Shu, alikuwa mfanyakazi wake na muuza kinyeo mwenzie
 
Aisee ni kweli, Mariam Birian uwe unampa 100K kweli afu ati we ni mumewe???

Wakati kipindi nateleza kwenye kinyeleo yake nilimpa 150K, jamaa yangu ye alimpa 300K kabisa, ila nafikiri madon wa mjini wao walikuwa wanatoa hata 500K.

Duh sijui yupo wapi siku hizi Birian, ngoja nitamuuliza Shu, alikuwa mfanyakazi wake na muuza kinyeo mwenzie
Watu wabaya sana [emoji1]

Ova
 
Back
Top Bottom