Mariam Birian avalishwa pete, anaolewa siku chache zijazo

KAMA NI WAHAPA dsm ni ngumu sana, DSM ni wanwake wachache sana wenye marinda
Usikariri maisha mkuu...sio kila mwana jf yupo dar au tz na sio kila mdada wa dar Hana marinda...utakuwa unakutana na wa buguruni wewe
 
Kaka hongera sana kazi kwako Sasa maana huyo Rafiki yangu ni Mchezaji Mzur wa Miguu yote[emoji120][emoji120][emoji120]

Aljniambia Majuzi tukiwa Pale Magomen nikajua ananitania kumbe yupo Serious anaolewa.

Hongera Shoga Mpe mpk atulie Mjn hapa..
ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…