Unafikiria ninavyofikiriaHiyo hadithi hua najilazimisha tu kuielewa kwa sababu za kiimani ila kiukweli hua haiingii akilini kabisa! Basi tu!
hua nawaza huenda joseph alicheza faulo fulani ila kulingana na taratibu na tamaduni za kipindi hicho ikabidi wafanye fojifoji nangai ile kukwepa aibu, fedheha na adhabu za kipindi hichoView attachment 2565100
Ukibahatika kupata binti wa kuoa akiwa na miaka 12 oa, nasema ukibahatika siyo ukibaka. Umri huo wanaupendo mkubwa kwa waume kuliko hawa graduate wa miaka 32 ambao zaidi wanaangalia pesa tu.Hakuna mtu amekataa, kila mzazi ana malengo na maisha ya binti yake, kama nyie mnaona 12yrs inatosha kwa mabinti zenu kuolewa waruhusuni tu tusipigizane kelele, afterall ni binti yako
Mtoto wa miaka 12 bado anahitaji elimu, anahitaji muongozo na malezi kutoka kwa mzazi, anahitaji mwanga wa kujua future yake ni nini na ndoto zake za baadae ni zipi, pia anahitaji akili ikue ili hata umri wa kuingia kwenye ndoa unapofika awe amepevuka vya kutosha kuamua anahitaji mwenza wa namna gani
Ndoa ni jukumu la kulea mume pamoja na familia. Huyu binti ambae nae anahitaji kulelewa unamuingiza kwenye majukumu makubwa ambayo yanamzidi umri huoni kama ni ukatili?
Hata msichana wa kazi za ndani tu miaka 12 hafai maana utamkuta nae anacheza na watoto hajafanya chochote sembuse kumfanya awe mke
Hatuwezi kuishie kwenye mkwamo WA history kwa hiyo Kila kitu kilichokua kinafanyika miaka 2000 iliyopita ni sahihi kwa Sasa? Watu wenye mawazo mgando kama wewe ndio mnakuaga wabakaji maana ulishahalalisha kwenye akilo yako bila hata kutumia common sense.Taratibu za wa israel kwa enzi za Yesu ilikuwa ni kwamba binti akibalehe tu anaolewa, mabinti ambao bado walikuwa bado hawajabalehe waliitwa NA’ARAH ambao walikuwa hawajafikia umri wa miaka 12, kuna exception chache mabinti wa chini ya miaka 12 waliolewa, Mifano ni mfalme Daudi
You made my day 😆😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣Hiyo hadithi hua najilazimisha tu kuielewa kwa sababu za kiimani ila kiukweli hua haiingii akilini kabisa! Basi tu!
hua nawaza huenda joseph alicheza faulo fulani ila kulingana na taratibu na tamaduni za kipindi hicho ikabidi wafanye fojifoji nangai ile kukwepa aibu, fedheha na adhabu za kipindi hichoView attachment 2565100
[emoji109]Unafikiria ninavyofikiria
Wa siku huzi nfio wakubwa kimsumbile jwa sababu ys balanced diet kulinganisha na zamani.Tujiulize hili swali kwa tafakuri kuu...je mwanamwali wa miaka 12 wa karne ya kwanza ataweza kuwa sawa na mwanamwali wa karne hii kimaumbile?
Kwa vyakula vyetu hivi vya siku hizi?
Tukisha pata jibu ndio tuangalie kama bwana 25000q ataweza uzeshwa mtoto wa jirani yake mwenye miaka 13.
Kesho kanisani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] salam maria[emoji2960]You made my day [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zamani watu walikua na maumbo makubwa mkuu...Wa siku huzi nfio wakubwa kimsumbile jwa sababu ys balanced diet kulinganisha na zamani.
Halafu miaka 12 ni kianzio kuna wa miaka 17 eti usimioe bila sababu za msingi
Mabinti walioshindwa shule waolewe tu wachapwe mimba na wanaosoma sheria iwahusu.
Sheria ya binti wa miaka 15 kuolewa haitafutwa na haitatokea ifutwe.
Kama reference yako ni bible, hebu tuambie, je ile busara aliyoitumia kujibizana na Malaika Gabriel ni ya mtoto wa 12 years kweli? Kwa sasa si ajabu hata binti wa 20 years akakosa ile busara. Itoshe tu kusema kuwa, hatujui ni katika umri gani aliolewa, lakini tukubaliane kuwa alishakomaa kimwili na kiakiliBinti ambae alikuwa bado hajabalehe alikuwa akiitwa NA’ARAH, hawa wengi walikuwa hawajafika miaka 12, kwa taratibu za wa israel ilikuwa ni kwamba binti akifikia miaka 12 sio NA’ARAH tena, huyu alikuwa kashafika wa kuolewa, Ia kuna muda hata kina NA’ARAH waliolewa, Daudi mfalme wa Israel akiwa na miaka 70 ni mfano Mojawapo
1 Kings 1-3 (1599 Geneva Bible (GNV)) “1 Now when King David was old, and stricken in years, they covered him with clothes, but no heat came unto him. 2 Wherefore his servants said unto him, Let there be sought for my lord the king a YOUNG (NA’ARAH) virgin, and let her stand before the king, and cherish him: and let her lie in thy bosom, that my lord the King may get heat. 3 So they sought for a fair YOUNG (NA’ARAH) maid throughout all the coasts of Israel, and found one Abishag a Shunammite, and BROUGHT HER TO THE KING.”
ni sisi waafrika wengi hatujui tulikotoka kwa sababu hatutunzi historia za utamaduni wetu.Kam
Kama reference yako ni bible, hebu tuambie, je ile busara aliyoitumia kujibizana na Malaika Gabriel ni ya mtoto wa 12 years kweli? Kwa sasa si ajabu hata binti wa 20 years akakosa ile busara. Itoshe tu kusema kuwa, hatujui ni katika umri gani aliolewa, lakini tukubaliane kuwa alishakomaa kimwili na kiakili
Graduate miaka 32 ni elimu gani hiyo, mimi niligraduate nikiwa 23 and i got marriwd righ awayUkibahatika kupata binti wa kuoa akiwa na miaka 12 oa, nasema ukibahatika siyo ukibaka. Umri huo wanaupendo mkubwa kwa waume kuliko hawa graduate wa miaka 32 ambao zaidi wanaangalia pesa tu.
Kwahiyo mtoto Yesu alizaliwa kwa njia ya kawaida au scissors [emoji3574]?Mariam si alibeba mimba akiwa bikra
Hauko sawa kichwan wwUkibahatika kupata binti wa kuoa akiwa na miaka 12 oa, nasema ukibahatika siyo ukibaka. Umri huo wanaupendo mkubwa kwa waume kuliko hawa graduate wa miaka 32 ambao zaidi wanaangalia pesa tu.