Miaka 23 mbona mzee tu,tatizo sio kuoa je mtoto miaka 12 13 14 afaa kuolewa?Graduate miaka 32 ni elimu gani hiyo, mimi niligraduate nikiwa 23 and i got marriwd righ away
Huyo binti wa miaka 12 unaetaka kumuoa hivi anajua hata maana ya upendo jamani
Mkuu wewe una watoto? Tuanzie hapo kwanza
Inshalah Mwenyezi Mungu atutunze kwakweliSiandiki kutegea masaada lakini ujumbe umekufikia
Huyu tunamuit mtoto sasa tafaaje kuolewaMiaka 23 mbona mzee tu,tatizo sio kuoa je mtoto miaka 12 13 14 afaa kuolewa?
Wazinz bana. Wanatafuta vijisababu vidogo vidogo kama wale jamaa wa LGBTQleo hii katika suala la kuoa inashangaza sana wakristo wakiwa wanapiga vita kubwa sheria ya mabinti wenye miaka 15 kuolewa kwamba inaendana kinyume na ukristo.
Utamaduni wa israel katika uliwachambua mabinti katika makundi matatu
NA’ARAH ( נַעֲרָה ) - huyu ni msichana ambae bado hakufikia miaka 12, walioruhusiwa kuoa hawa mabinti ni maaskofu wenye veo vya juu (high priests) na baadhi ya viongozi akiwemo mfalme daudi. 1 wafalme 1: 2-3 binti bikra alieletewa mfalme daudi alikuwa yupo hatua hii katika maandiko ya kiyahudi.
View attachment 2565239
bogeret - huyu alikuwa rasmi ni binti kwa kufikia miaka 12, akiwa kafika miaka hii anaweza kuposwa akiwa bado nyumbani kwao ila baada ya miezi sita anapofikia miaka 12 na nusu anahamia rasmi kwa mwanaume.
Hivyo mama yake Yesu Mariam aliolewa kwa utamaduni wa waisrael akiwa na miaka 12, pia ni wakati wa umri huo ambao Jehova / Mungu aliridhia Mariam kuibeba Mimba ya Yesu, Ni wakati huo huo Mariam aliolewa.
Cha ajabu ni kipi kuruhusu mabinti wenye miaka 15 ambao mazingira yanaruhusu wasiolewe ??
Ata Mimi najiuliza mtoto wa miaka 12 anaweza kuongea na Malaika Kwa kujiamini vile ? Wakati Muhammad na miaka yake 50 plus alitoka nduki na kuwewesekaKam
Kama reference yako ni bible, hebu tuambie, je ile busara aliyoitumia kujibizana na Malaika Gabriel ni ya mtoto wa 12 years kweli? Kwa sasa si ajabu hata binti wa 20 years akakosa ile busara. Itoshe tu kusema kuwa, hatujui ni katika umri gani aliolewa, lakini tukubaliane kuwa alishakomaa kimwili na kiakili
Unasema mtoto alafu unauliza kama anafaa kuolewa , nyie ma pedophile inabidi tuweke Sheria tuwakate makende na simeMiaka 23 mbona mzee tu,tatizo sio kuoa je mtoto miaka 12 13 14 afaa kuolewa?
Miaka ya nyuma huko arabuni bibi faizaLini, mwaka gani?
Amezungumzia kuolewa na umri huo.Mariam si alibeba mimba akiwa bikra
Kwa hiyo ukaona utupie kaneno ka kizungu ili uonekane umeandika vya maana?Mtoto akivunja ungo tu inatakiwa aandaliwe kwa maisha ya ndoa. Hiyo elimu ya sexuality wanayotaka ifundishwe kuanzia chekechea elimu hiyo wazee wetu waliitoa kwa rika lengwa. Sisi tunapangiwa namna ya
Mkristo au Wakristo ni akina nani haswa?leo hii katika suala la kuoa inashangaza sana wakristo wakiwa wanapiga vita kubwa sheria ya mabinti wenye miaka 15 kuolewa kwamba inaendana kinyume na ukristo.
Utamaduni wa israel katika uliwachambua mabinti katika makundi matatu
NA’ARAH ( נַעֲרָה ) - huyu ni msichana ambae bado hakufikia miaka 12, walioruhusiwa kuoa hawa mabinti ni maaskofu wenye veo vya juu (high priests) na baadhi ya viongozi akiwemo mfalme daudi. 1 wafalme 1: 2-3 binti bikra alieletewa mfalme daudi alikuwa yupo hatua hii katika maandiko ya kiyahudi.
View attachment 2565239
bogeret - huyu alikuwa rasmi ni binti kwa kufikia miaka 12, akiwa kafika miaka hii anaweza kuposwa akiwa bado nyumbani kwao ila baada ya miezi sita anapofikia miaka 12 na nusu anahamia rasmi kwa mwanaume.
Hivyo mama yake Yesu Mariam aliolewa kwa utamaduni wa waisrael akiwa na miaka 12, pia ni wakati wa umri huo ambao Jehova / Mungu aliridhia Mariam kuibeba Mimba ya Yesu, Ni wakati huo huo Mariam aliolewa.
Cha ajabu ni kipi kuruhusu mabinti wenye miaka 15 ambao mazingira yanaruhusu wasiolewe ??
Uliwaozesha na miaka 12? Au wajukuu na vitukuu vyako kama ulivyosema unbariki waolewe umri huo?Kwa bahati mbaya kwako sina, AlhamduliLlah wanangu wote ni watu wazima wameshaolewa na wengine wana vijukuu, ambavyo kwangu ni vitukuu.
Kwani sheria za nchi zinasemaje kuhusu umri wa kuoana kwa sasa?
Una maanisha binti akizidisha miaka 12 bikra inajitoa? au unamaanisha bikra ni umri wa chini ya miaka 13..?? Fafanuaaleo hii katika suala la kuoa inashangaza sana wakristo wakiwa wanapiga vita kubwa sheria ya mabinti wenye miaka 15 kuolewa kwamba inaendana kinyume na ukristo.
Utamaduni wa israel katika uliwachambua mabinti katika makundi matatu
NA’ARAH ( נַעֲרָה ) - huyu ni msichana ambae bado hakufikia miaka 12, walioruhusiwa kuoa hawa mabinti ni maaskofu wenye veo vya juu (high priests) na baadhi ya viongozi akiwemo mfalme daudi. 1 wafalme 1: 2-3 binti bikra alieletewa mfalme daudi alikuwa yupo hatua hii katika maandiko ya kiyahudi.
View attachment 2565239
bogeret - huyu alikuwa rasmi ni binti kwa kufikia miaka 12, akiwa kafika miaka hii anaweza kuposwa akiwa bado nyumbani kwao ila baada ya miezi sita anapofikia miaka 12 na nusu anahamia rasmi kwa mwanaume.
Hivyo mama yake Yesu Mariam aliolewa kwa utamaduni wa waisrael akiwa na miaka 12, pia ni wakati wa umri huo ambao Jehova / Mungu aliridhia Mariam kuibeba Mimba ya Yesu, Ni wakati huo huo Mariam aliolewa.
Cha ajabu ni kipi kuruhusu mabinti wenye miaka 15 ambao mazingira yanaruhusu wasiolewe ??
Sasa huoni hiyo ni kategory ya mkuu wa nchi? Joseph/Yusuf alikua mkuu wa nchi gani?Taratibu za wa israel kwa enzi za Yesu ilikuwa ni kwamba binti akibalehe tu anaolewa, mabinti ambao bado walikuwa bado hawajabalehe waliitwa NA’ARAH ambao walikuwa hawajafikia umri wa miaka 12, kuna exception chache mabinti wa chini ya miaka 12 waliolewa, Mifano ni mfalme Daudi
Nafata sheria za nchi waliyokuwapo.Uliwaozesha na miaka 12? Au wajukuu na vitukuu vyako kama ulivyosema unbariki waolewe umri huo?