Mariam mama yake Yesu alizaa akiwa na miaka 12 kwa baraka zake Jehova / Mungu, kipi cha ajabu kwa wakristo kukataza mabinti wa miaka 15 wasiolewe?

Mariam mama yake Yesu alizaa akiwa na miaka 12 kwa baraka zake Jehova / Mungu, kipi cha ajabu kwa wakristo kukataza mabinti wa miaka 15 wasiolewe?

Tatizo la wakiristo ni kupenda kujitoa akili kitu kiko wazi lakini wanapinga mfano watoto walio mitaani wanaojiuza siku hizi ni kuanzia miaka 12 na kuendelea

Wanafunzi walio pigwa mimba na kuludi shuleni nahao hao miaka 12,14 ,15 hii ali wakiristo wanaona wengine wanatoto usiku wanaluka ukuta wanaludi asubuhi heti bado watoto wakiristo kitendo chenu cha kujitoa akili ndicho kina sababisha wakini gawajima lusekelo mnaguzwa ngazi wenzenu wanatajirika kwa sababu ya utahila wenu
Unaishi wapi huko ambako 12 yrs wanajiuza?
Huku kwingine 12 yrs wako busy na H/work na katuni.

Ila sio ajabu 12 yrs mwenye baba wa akil zako akatoa mimba na kujiuza.
 
Kwani akiolewa awezi soma kwani maisha mazuli lazima uajiriwe kuna watoto wakike 6000 waliopigwa mimba na kuludi shuleni na watoto wao mgongoni ndio kusema wote hao ni waisilamu wakiristo hawamo,kazi kujikweza tu kujifanya mnaishi maisha ya juu aliyakuwa tuko wote mitaani tunajuana

Kuhusu ajira huo niupendeleo watumishi wa umma nchii kunauwezekano wakawa nusu kwa nusu lakini mbona wengi wako mtaani wanaishi tu bila kutegemea utumwa wa muajiri alafu ukome
Kwa jinsi tu kiswahili kinakupa shida kuandika inaonesha hata std7 hujafika ndo mana unadhan ni rahisi mtoto 14 yrs anaweza akaolewa na kuendelea kusoma.

Btw...Hivi uko serious kweli au unatania ili uchefue tu watu?
 
Hauko sawa kichwan ww
Mtoto akivunja ungo tu inatakiwa aandaliwe kwa maisha ya ndoa. Hiyo elimu ya sexuality wanayotaka ifundishwe kuanzia chekechea elimu hiyo wazee wetu waliitoa kwa rika lengwa. Sisi tunapangiwa namna ya kuwaharibu watoto wetu
 
Mtoto akivunja ungo tu inatakiwa aandaliwe kwa maisha ya ndoa. Hiyo elimu ya sexuality wanayotaka ifundishwe kuanzia chekechea elimu hiyo wazee wetu waliitoa kwa rika lengwa. Sisi tunapangiwa namna ya kuwaharibu watoto wetu
Duuu, great thinker!
 
leo hii katika suala la kuoa inashangaza sana wakristo wakiwa wanapiga vita kubwa sheria ya mabinti wenye miaka 15 kuolewa kwamba inaendana kinyume na ukristo.

Utamaduni wa israel katika uliwachambua mabinti katika makundi matatu

NA’ARAH ( נַעֲרָה ) - huyu ni msichana ambae bado hakufikia miaka 12, walioruhusiwa kuoa hawa mabinti ni maaskofu wenye veo vya juu (high priests) na baadhi ya viongozi akiwemo mfalme daudi. 1 wafalme 1: 2-3 binti bikra alieletewa mfalme daudi alikuwa yupo hatua hii katika maandiko ya kiyahudi.

View attachment 2565239

bogeret - huyu alikuwa rasmi ni binti kwa kufikia miaka 12, akiwa kafika miaka hii anaweza kuposwa akiwa bado nyumbani kwao ila baada ya miezi sita anapofikia miaka 12 na nusu anahamia rasmi kwa mwanaume.

Hivyo mama yake Yesu Mariam aliolewa kwa utamaduni wa waisrael akiwa na miaka 12, pia ni wakati wa umri huo ambao Jehova / Mungu aliridhia Mariam kuibeba Mimba ya Yesu, Ni wakati huo huo Mariam aliolewa.

Cha ajabu ni kipi kuruhusu mabinti wenye miaka 15 ambao mazingira yanaruhusu wasiolewe ??
Enzi za mitume miaka 12 ni mtu mzima kabisa lakini sio sasa
 
Tatizo la wakiristo ni kupenda kujitoa akili kitu kiko wazi lakini wanapinga mfano watoto walio mitaani wanaojiuza siku hizi ni kuanzia miaka 12 na kuendelea

Wanafunzi walio pigwa mimba na kuludi shuleni nahao hao miaka 12,14 ,15 hii ali wakiristo wanaona wengine wanatoto usiku wanaluka ukuta wanaludi asubuhi heti bado watoto wakiristo kitendo chenu cha kujitoa akili ndicho kina sababisha wakini gawajima lusekelo mnaguzwa ngazi wenzenu wanatajirika kwa sababu ya utahila wenu
Kaka inabidi urudi darasani kwa huu mwandiko
 
Wakati tunaongelea mambo ya miaka ya nyuma zaidi ya 1,400 kwa wakati wa Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam, na zaidi ya miaka 2,000 Kwa Yesu Alayhi salaam na au mama'ke Bi Maryam Alayha salaam, inabidi tufate mila, desturi, sheria na kanuni za wakati huo.

Tusijidanganye kutaka kuchanganua na kuhukumu maisha ya miaka 1,000 au 2,000 nyuma kwa kutumia mila, desturi na namna ya maisha ya leo.

Kwa kuanzia tusiende mbali kote huko, tuanzie hapa kwetu tu, tujiulize je, kuna mila, desturi na kanuni za jadi zinazowaoza watu kuanzia wadogo sana au hakuna?
 
Kuna bwana mmoja nadhani record yake haijavunjwa mpaka sasa yeye alikatwaa kabinti ka miaka 9 kawe ka mke kake wakati huo yeye akiwa na 50 na kadhaa.Leo hii ukiongelea miaka 9 ni katoto ka STD 3 pale usengele primary
Lini, mwaka gani?
 
Kwahiyo kelele zote hizi ni mnataka tuone ni sawa kuoa watoto?

Nimesikitika sana kusikia wanaume na watu wazima wanakaa na kuja na maoni eti ni sawa mtoto wa miaka 14 aolewe.

Na wewe mleta uzi unaleta hadithi za Na' arah hapa ili kuhalalisha ujinga? Taifa limejaa watu wa hovyo na wajinga wajinga hili.

Hiyo ya miaka 14 ni sheria ya Tanzania iliyopo au ilibadilishwa?
 
Wewe mwanao wa miaka 12 nikija mimi na miaka yangu 49 nataka nimuoe unakubali?

Kwa bahati mbaya kwako sina, AlhamduliLlah wanangu wote ni watu wazima wameshaolewa na wengine wana vijukuu, ambavyo kwangu ni vitukuu.

Kwani sheria za nchi zinasemaje kuhusu umri wa kuoana kwa sasa?
 
Angekuwepo ungefanya hivyo?
Kwani sheria za nchi zinasemaje kuhusu umri wa kuoana kwa sasa?

Ningefata sheria za nchi, Uislam unanifundisha na kunihimiza nitii sheria za nchi kama hazinitowi kwenye Uislaam wangu.
 
Kwani sheria za nchi zinasemaje kuhusu umri wa kuoana kwa sasa?

Ningefata sheria za nchi, Uislam unanifundisha na kunihimiza nitii sheria za nchi kama hazinitowi kwenye Uislaam wangu.
Kwahiyo kwenye point ya msichana kuolewa kati ya uislamu na serikali hauoni kama zimepishana?
 
Kwahiyo kwenye point ya msichana kuolewa kati ya uislamu na serikali hauoni kama zimepishana?
Raha ya mjadala, kwanza nijibu swali nililokuuliza au umelisahau? Nnalirudia...

Kwani sheria za nchi zinasemaje kuhusu umri wa kuoana kwa sasa?
 
Raha ya mjadala, kwanza nijibu swali nililokuuliza au umelisahau? Nnalirudia...

Kwani sheria za nchi zinasemaje kuhusu umri wa kuoana kwa sasa?
Sheria za nchi zinaeleza moja kwa moja kuwa mwanamke aolewe akishafikisha miaka 18
 
NIKUSHAURI TU KIJANA.

USIMJARIBU BWANA MUNGU WAKO.

MUNGU WA MKRISTO SI MUNGU WA ALLAH.

MUOGOPE SANA MUNGU WA PEKEE WA KWELI NA YESU KRISTU ALIYEMTUMA.
 
ila tuzungumzie uhalisia hivi ni sahihi kwa msichana alievunja ungo akiwa na miaka 12 aolewe?
Kwani sheria ya nchi imeruhusu? Uhalisia ni kufata sheria.

Kibaiolojia mwanamke akisha vunja ungo anaweza kuhimili tendo la ndoa.
 
Back
Top Bottom