Mariam Wangwe na Jukwaa la Wahariri

Status
Not open for further replies.

Kama si vyombo vya habari utajuwa vipi reaction ya wananchi?

Sasa utareact vipi kabla hujajuwa wananchi wamezipokea vipi habari hizo?

Ni wajibu wa wananchi ku read between the lines na kuelewa nani ni mpotoshaji na nani mwenye ukweli.....Kipindi hiki cha uhuru wa habari pia tunahitaji analyzers...

Kama habari hizo zina upotoshaji...Then ni wazi hatua za ku counter hizo news mbofu mbofu zitafanyika na hiyo ni baada ya wananchi kupata hizo zinazoitwa habari kutoka kwenye upepo wa vyombo vya habari.

Sasa Shy guy/lady kama wewe ni informer...Then usidhani kila mwananchi ni the same.

Ukiwa na empathy utaweza kushirikisha ubongo wako na kujiweka kwenye nafasi ya mwananchi wa kawaida badala ya kuishi kwenye jamii yako na fikra zako wewe mwenyewe za kishushushu na ku assume kwamba kila mwananchi anaweza kupata habari kabla ya kusikiliza ama kusoma kutoka kwenye huo upepo wa vyombo vya habari.

UPO?
 


Jamani nawaombeni
wana chadema muwe straight foward.
tuambieni tuelewe ninyi mko ktk msimamo upi? yani JE?Marehemu chacha ALIKUA MPIGANIA DEMOKRASIA na HAKI ama ALIKUA MVURUGA DEMOKRASIA NA HAKI.
 

JK,MREMA,LIPUMBA,MBATIA ,MTIKILA ni wana siasa ovyo ni wepi wana siasa safi?
 
Jamani nawaombeni
wana chadema muwe straight foward.
tuambieni tuelewe ninyi mko ktk msimamo upi? yani JE?Marehemu chacha ALIKUA MPIGANIA DEMOKRASIA na HAKI ama ALIKUA MVURUGA DEMOKRASIA NA HAKI.

sasa hivi watakuambia alikuwa mpigania demokrasia ila walivyomsimamisha alipoteza hiyo hadhi alivyoaga dunia akapewa tena hiyo hadhi!
Eeeh MUNGU tusaidie!wanadamu ni wanafiki kweli kweli
 
Hallooooo! anybody home?..

Nilishasema viongozi wa Chadema inawabidi watupe ukweli sisi wananchi na wanachama kuhusiana na Wangwe... Kama hawahusiki ni bora zaidi waende Tarime na kuwahutubia wananchi kile wanachofahamu wao..Na Mbowe awe msitari wa mbele kuwahakikishia wananchi wa Tarime kuhusiana na tuhuma hizi tofauti na mambo anayoyafanya Kikwete ili kuondoa mzizi wa fitna.

Binafsi ninaamini kabisa Mbowe hana Ubavu wa kutoa roho ya mtu kwa sababu ya Uenyekiti wa chama. Chadema hawana nguvu ya mafia ya kuhakikisha wanamuondoa mtu duniani kwa sababu ya siasa za chama na kama wangeweza basi Kabourou na Tambwe wangekuwa watu wa kwanza kufungiwa kazi..
Pamoja na yote haya hizi tuhuma ziku zote huzaa maafa zaidi ndani ya chama. Ni wakati muafaka wa viongozim wa Chadema kuwa mbele ya tuhuma hizi na kama inawezekana chama kifanye uchunguzi ake binafsi kwa kutumia vyombo vya kimataifa kuhakikisha kwamba Mbunge wa Chadema hawezi kuondolewa uhai wake hivi hivi bila kueleweka...Sijali kabisa kama huyu mama kaongopa ama unasema ukweli wala sitaki kujua how credible madai yake... Ukweli ni kwamba Chacha Wangwe mbunge wa Chadema aliuawa!...
Tukumbuke slogan ya chama...
 



Mkandara imani yako ni sawa na yangu ila sasa nangoja Chadema kutema cheche hadharani tusikie ukweli ni upi
 
Tanzania njema naomba unijibu nini usaliti wa Mrema..Kwasababu huwa naheshimu mchango na hoja zako ila hapa naomba ufafanuzi tafadhali.
 
wanachadema
watupe jibu moja kua-

Wangwe alikua mpigania demokrasia ama alikua mvuruga demokrasia??

Maana mbinjuko wanaomugeuzia mama chacha inaleta tafsri ya kwamba mama anaendeleza alipokoma marehemu chacha.Sasa tunaomba tu mtuambie msimamo wenu.
 
This is among my favourite thread kwa leo!mambo yanasisimua ila ushadidi wa kutosha ndo hamna!ni spaculations tu........ na imani ndio vinatawala!tumesha sikia ripoti za madaktari na polisi!sisi yetu macho! tunasubiri mahakama iaamue juu ya hatima ya malya kama aliusika kwenye kifo hiki au laa!
 
Humble servant,
Mkuu sisi sote tulisikia report ya daktari lakini kinachotatanisha ni kwamba tuhuma za kwanza kabla ya uchunguzi ilikuwa CCM wahusika na CCM walihaha hadi report ilipotoka...wakatushauri wananchi kuwa ukweli ndio huo lakini ajabu ni kwamba hao hao CCM wakaanzisha tuhuma mpya kwamba Mbowe ni mhusika baada ya report ya daktari na kwa bahati mbaya hadi baadhi viongozi wa vyama vya Upinzani wakaingia mkenge huo..
Ni baada ya report ya daktari tumemsikia Mtikila, na sasa mke wa marehemu yote hii inaonyesha wazi kwamba hakuna mtu anayekubali report ile kuwa na ukweli mtupu bali imepikwa.. Kisha tukitazama upande wa pili yaani wa Chadema wenyewe wao toka siku ya kwanza aliyokufa hawakuamini kwamba Chacha Wangwe alikufa kifo cha kawaida na wameendelea kudai hivyo hata baada ya report ya daktari...

Sasa mkuu hawa wote ni wasomi wanaoelewa vizuri nini maana ya report ya daktari lakini wote wamepuuza report hiyo na kutuletea hadithi mpya kila siku.. Kwa hiyo ina maana hakuna hata kiongozi mmoja anayeamini kwamba Wangwe amekufa kifo cha kawaida kwa sababu wanajua kilichotokea haswa pamoja na kwamba kuna report ya daktari..
Sisi kama wananchi tunahaki ya kufahamu ukweli na kama wataendelea kuficha kwa kuogopa watu fulani ama nguvu fulani basi inaonyesha wazi hatuna viongozi ambao wako tayari kujitoa mhanga kusema ukweli itakapo fikia mambo makuwa zaidi..
 
huyu mama naona anatumiwa au anatafuta umaarufu wa kisiasa!!!
 
JK,MREMA,LIPUMBA,MBATIA ,MTIKILA ni wana siasa ovyo ni wepi wana siasa safi?

Mkamap... wanasiasa safi ni Makamba na Msekwa wanaotumwa na JK kudhibiti fujo na ambao wanataka kuturudisha kwenye "Chama kushika utamu"
 
Niliwahi kuweka Active Users, mtu mmoja akaniona wa ajabu, lakini kwa watafiti walielewa nina maana gani na hapa leo hebu angalieni, members 10 guests 20.


Currently Active Users Viewing This Thread: 30 (10 members and 20 guests)
Halisi, Bonnie1974, cola, Jeni, kwayu, mburahati, nono, sabasaba, WildCard
 
Jamani jamani msipuuze ya huyo mama. Huenda pia chacha kachukuliwa msukule na akina Wilbrod....Hivi hamjui kuwa huyo Wilbrod kabla ya kuwa mbunge na kiongozi wa kiroho alikuwa ni mcheza mazingaombwe!!Ni bingwa sana wa masuala ya akina kalumanzila!!!!
 
Mkamap... wanasiasa safi ni Makamba na Msekwa wanaotumwa na JK kudhibiti fujo na ambao wanataka kuturudisha kwenye "Chama kushika utamu"

Hapana wanasiasa safi ni Mbowe, Zitto, Slaa et al wanapotofautiana na kiongozi mwenzio "wanamshughulikia"
 
Hapana wanasiasa safi ni Mbowe, Zitto, Slaa et al wanapotofautiana na kiongozi mwenzio "wanamshughulikia"

Masatu uwezo ni mkubwa mno wa kuchambia hoja .Wewe si kama makapu wewe ni mzee wa kijiwe hiki.This is extreme kwa kweli .Unata tuhuma nzito amabazo sitaki kuamini kwamba upasha baraza joto .
 
Hapana wanasiasa safi ni Mbowe, Zitto, Slaa et al wanapotofautiana na kiongozi mwenzio "wanamshughulikia"

Fafanua "kushughulikia" maana kushughulikia kupi?

Nadhani kama ni suala la kushughulikia, shahidi mkuu atakuwa Mudhihir M. Mudhihir aliyekuwa na Wangwe dakika chache kabla ya kuondoka anajua jinsi alivyoambiwa na marehemu kwamba ameamua kuwasaliti waliompa fedha abadili msimamo wake kisiasa ndani na nje ya Bunge. Mazungumzo hayo Mudhihir hawezi kuyapinga maana aliowaambia baada ya kifo cha Wangwe wamebaki na kumbukumbu hiyo muhimu. Zaidi yataletwa kadiri munavyozidi kutumia kifo cha Wangwe kuwachezea akili Watanzania, kifo ambacho kama ni kupangwa kilipangwa kwa malengo yanayoendelea sasa ya kuzima moto wa vita ya UFISADI
 

Hizi ni ngano ulizotunga wewe mwenyewe. Mh Mudhihir amekaririwa na vyombo vya habari kuwa walikuwa wanataniana na Mh Wangwe kuhusu Yanga kutopeleka timu uwanjani dhidi ya Simba. Na yeye Mh Mudhidhir akamrudishia kuwa hajui kuvaa suti ( alifunga buttons zote ) wakacheka na Mh Wangwe akaenda zake and the rest is history.

Hii ya kwako mpya, mkuu umenoa try again...
 
Masatu uwezo ni mkubwa mno wa kuchambia hoja .Wewe si kama makapu wewe ni mzee wa kijiwe hiki.This is extreme kwa kweli .Unata tuhuma nzito amabazo sitaki kuamini kwamba upasha baraza joto .
Na hayo makapu ndio nini?
 

Hongera. Umeelewa na unafahamu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…