jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Mwezi uliopita katika debate moja jamaammoja alisema kwamba vyamavya siasa haswa vya upinzani vinategemea upepo wavyombo vya habari ndio na vyenyewe viibuke vianze kusema na kadhalika ---ni kweli si unaona hii ya mrs wangwe ? Ni vyombo vya habari vimemwandika sasa chadema inataka kuchukulia credita hapohapo
Kama si vyombo vya habari utajuwa vipi reaction ya wananchi?
Sasa utareact vipi kabla hujajuwa wananchi wamezipokea vipi habari hizo?
Ni wajibu wa wananchi ku read between the lines na kuelewa nani ni mpotoshaji na nani mwenye ukweli.....Kipindi hiki cha uhuru wa habari pia tunahitaji analyzers...
Kama habari hizo zina upotoshaji...Then ni wazi hatua za ku counter hizo news mbofu mbofu zitafanyika na hiyo ni baada ya wananchi kupata hizo zinazoitwa habari kutoka kwenye upepo wa vyombo vya habari.
Sasa Shy guy/lady kama wewe ni informer...Then usidhani kila mwananchi ni the same.
Ukiwa na empathy utaweza kushirikisha ubongo wako na kujiweka kwenye nafasi ya mwananchi wa kawaida badala ya kuishi kwenye jamii yako na fikra zako wewe mwenyewe za kishushushu na ku assume kwamba kila mwananchi anaweza kupata habari kabla ya kusikiliza ama kusoma kutoka kwenye huo upepo wa vyombo vya habari.
UPO?