Mariam Wangwe na Jukwaa la Wahariri

Mariam Wangwe na Jukwaa la Wahariri

Status
Not open for further replies.
Mbowe amekugusa eehhhhe. Niite upendavyo, sisi tuna haki ya kuitwa ubini wa kiumeni. Na wewe je, Masatu Bint Wasira, imekaaje?

Asha

Vijimambo tu bie mashkhof.... u can Call me Masatu Bin Wassira Ibn Warioba bin Marando Ibn Sarungi.......

Hakuna mushkila as long as ur happy Im happy...
 
Vijimambo tu bie mashkhof.... u can Call me Masatu Bin Wassira Ibn Warioba bin Marando Ibn Sarungi.......

Hakuna mushkila as long as ur happy Im happy...

Oooh cool. Masatu Binti Wassira. Go have rest now. Mafisadi watakuchosha. All the best


Asha
 
Wewe Urojo wa Zenj mbona unapindisha mada... Issue hapa ni Mariam Wangwe...

Kibunango mpenda mabungo, ndiyo miye origanali kama vipi twende http:ashawazenj.blogspot.com. Kwani huyo Mariam Wanga-kumradhi, Wangu kafanya nini?

Asha
 
Kibunango mpenda mabungo, ndiyo miye origanali kama vipi twende http:ashawazenj.blogspot.com. Kwani huyo Mariam Wanga-kumradhi, Wangu kafanya nini?

Asha
Soma hapa chini....

Date::9/29/2008
Mke mwingine wa Wangwe aibuka kumpinga mke-mwenza mdogo


Akizungumza na gazeti hili jana, Dotto alisema kauli ya Mariam ni nzito mno kuitoa sasa kwani anaamini matukio yanayoendelea baada ya kutokea msiba huo, ndiyo yanayoweka pazia la mawasiliano kati ya Chadema na familia ya Marehemu.

"Sijaisoma taarifa yote ila mtoto wangu ameniletea gazeti ambalo bado ninalo. Mimi ninashindwa kufikiria wala kuwaza kuanza kukilaumu Chama kwamba kimetutelekeza kwani ni mapema mno kufanya hivyo na wote bado tuko kwenye majonzi," alisema Dotto na kuongeza:

Nasema nashindwa kukilaumu chama kwa sababu tangu kutokea kwa msiba huo hakuna aliyetulia, familia bado ina majonzi, chama chenyewe bado kinalia na hata jamii inaendelea kumlilia Wangwe nasema familia yangu bado ina imani na chama na hatuwezi kukilaumu sasa," alisema.

Dotto alisema anaamini Chadema inaongozwa na watu wenye busara hivyo hawezi kuinenea mabaya kabla ya kuridhika kwamba viongozi hao wameanza kupingana na busara hiyo............

Naye Beatrice Charles, anaripoti kuwa viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Dar es Salaam kimemtaka katibu wa chama hicho, Wilbroad Slaa kumuomba radhi mjane wa marehemu chacha Wangwe kwa kutomtambua kuwa ni mjane wa Chacha Wangwe.

Akizungumza na waandishi wa habari Jiji jana katibu wa vijana Wilaya ya Kinondoni Mauld Mkwanji alisema Dk Slaa anapaswa kumuomba radhi mjane huyo kutokana kutomtabua.

“Kauli hiyo imetukwaza sana sababu marehemu Wangwe hakuwa msiri na wakati wa uhai wake alimtambulisha mkewe wake kwa viongozi wa chama na walikuwa wanamfahamu vizuri sasa iweje wasimtambue,” alisema Mkwanji.

Alisema kitendo cha Dk Slaa kutomtambua mjane huyo ni kutomtendea haki na kwamba anapaswa kumuomba radhi.

Alisema kitendo cha katibu huyo kinaweza kuendeleza chuki katika familia hiyo.

Habari ndo hiyo
 
....Dr. SLAA Hizi kauli za kutomtambua Huyu Bi. Mariam za Kweli....? Naona wanafamilia wanakuja juu...!!!

Majira

au Wadau mwasemaje?
 
Mbona hawajasema wajane?
Ama nimeelewa tofauti?
Kwani marehemu si alikuwa na bi mdogo na mkubwa...Hiyo makala hapo juu imemu ingore mke mkubwa na kumention "Mjane" badala ya "Wajane" Ama...Naomba ufafanuzi kwa mwenye insight.
 
Unakazi kubwa mazee.....hizi njaa zinakufanya ushindwe fikiria ...pole

Una kibarua kigumu mazee..... ukabila unawatafuna kama mchwa unashindwa kufikiria nje ya kabila lako.... so kha!
 
Una kibarua kigumu mazee..... ukabila unawatafuna kama mchwa unashindwa kufikiria nje ya kabila lako.... so kha!

Una maana ya "fitina ama zengwe la ukabila" linawatafuna kama mchwa? Hivi unadhani kuanguka kwa CHADEMA ni faida kwako na kizazi chako ama? Kaka CHADEMA yapaswa kulindwa kwa hali na mali kwa faida ya maendeleo ya demokrasia ya ushindani nchini mwetu na vilevile kupunguza nguvu za manyang'au kuligeuza taifa letu kuwa mafia-state kama ilivyo Kenya, Italia, Pakistan na kwengineko. Ama zaidi kutufikisha walipo Zimbabwe, Somalia na pengine kubaya zaidi ya huko.

Kama unadhani kutafunwa kwa CHADEMA kunaiumiza CHADEMA tu fikiria zaid maana kama wewe ni mmoja wa wale wenye ndoto ya kuwa CCM itabadilika kutoka ndani basi ujue kama CCM itashinda TARIME huo utakuwa ni mwisho wa ndoto zako. Ni wazi kuwa mafisadi na wapambe wao wataongeza nguvu ndani ya CCM na kuonyesha kuwa umafia na ufisadi unalipa na bado tegemeo kwa maslahi ya genge lenu.....

Kumbuka waweza kuwa unafaidika na kutafunwa kwa CHADEMA sasa lakini jiulize kuhus ndugu zako na vizazi vyko huko mbaleni....laana ya ufisadi ni lazima iwaangukie hivyo kuwa makini na ushabiki wako kaka....

Tanzanianjema
 
Katika kujenga heshima na utu wema katika jamii, kuna mambo ambayo hayapashwi kufanywa.Kuvunjiana heshima au kudhalilishana,hasa kama upande ule mwingine wa pili haujafanya jambo lolote la kutudhalisha sisi wenyewe au kututia aibu ni kati ya mambo hayo.Hii huepusha chuki katika jamii na mara nyingi hujenga misingi mizuri ya ushirikiano.Katika sakata hili la mama Maiam,mke wa marehemu Chacha Wangwe nimeona mabadilishano ya maneno ambayo hayajanifurahisha kabisa.Matamshi ya Dr.Slaa kwamba Mariam hakuwa mke halali wa Chacha, hayakupashwa kabisa kuzungumziwa hadharani,hata kama ni kweli.Kwa kufanya hivyo Dr.Slaa amemzalilisha marehemu Chacha Wangwe na mama Mariam.Hii kijamii si jambo la busara,hasa kwa vile Dr.Slaa ni mtu ambaye anaheshimika sana katika jamii.Ninacho mshauri Dr.Slaa, ni kwamba awe mwangalifu na matamshi ambayo yatamvunjia heshima.Masakata mengine yana mlenga yeye ili kummaliza kisiasa.Asipo angalia hila za mahasimu wake kisiasa zitafanikiwa.Kazi kwako Dr.Slaa.
 
Katika kujenga heshima na utu wema katika jamii, kuna mambo ambayo hayapashwi kufanywa.Kuvunjiana heshima au kudhalilishana,hasa kama upande ule mwingine wa pili haujafanya jambo lolote la kutudhalisha sisi wenyewe au kututia aibu ni kati ya mambo hayo.Hii huepusha chuki katika jamii na mara nyingi hujenga misingi mizuri ya ushirikiano.Katika sakata hili la mama Maiam,mke wa marehemu Chacha Wangwe nimeona mabadilishano ya maneno ambayo hayajanifurahisha kabisa.Matamshi ya Dr.Slaa kwamba Mariam hakuwa mke halali wa Chacha, hayakupashwa kabisa kuzungumziwa hadharani,hata kama ni kweli.Kwa kufanya hivyo Dr.Slaa amemzalilisha marehemu Chacha Wangwe na mama Mariam.Hii kijamii si jambo la busara,hasa kwa vile Dr.Slaa ni mtu ambaye anaheshimika sana katika jamii.Ninacho mshauri Dr.Slaa, ni kwamba awe mwangalifu na matamshi ambayo yatamvunjia heshima.Masakata mengine yana mlenga yeye ili kummaliza kisiasa.Asipo angalia hila za mahasimu wake kisiasa zitafanikiwa.Kazi kwako Dr.Slaa.

Hivi jamani Dr Slaa si mkatoliki? Sasa mtamlazimishaje atambue ndoa ambayo haikufungwa kanisani? Ama kuna kitu sijakielewa nielimishwe....

Tanzanianjema
 
Hivi jamani Dr Slaa si mkatoliki? Sasa mtamlazimishaje atambue ndoa ambayo haikufungwa kanisani? Ama kuna kitu sijakielewa nielimishwe....

Tanzanianjema

Kwani marehemu Wangwe alikaa naye kwa muda gani? Maana sehemu nyingine kuna sheria ukiikaa na mwanamke kwa muda fulani ni mke wako, anyways kama alivyosema hapo juu, ni jinsi gani watu wanavyomuheshimu Mhe Dr. Slaa atakuwa anajishushia heshima kwa kuanza kuongelea mambo kama hayo ambayo yatakuwa distruction kwake. Hivyo ndivyo nilivyomuelewa mwandishi wa hii thread. Na imani ya Dr. Slaa sio lazima iingilie uamuzi wake wa kisiasa au jinsi ya kuongelea maisha ya watu.
 
Kwani marehemu Wangwe alikaa naye kwa muda gani? Maana sehemu nyingine kuna sheria ukiikaa na mwanamke kwa muda fulani ni mke wako, anyways kama alivyosema hapo juu, ni jinsi gani watu wanavyomuheshimu Mhe Dr. Slaa atakuwa anajishushia heshima kwa kuanza kuongelea mambo kama hayo ambayo yatakuwa distruction kwake. Hivyo ndivyo nilivyomuelewa mwandishi wa hii thread. Na imani ya Dr. Slaa sio lazima iingilie uamuzi wake wa kisiasa au jinsi ya kuongelea maisha ya watu.

mi sijaona kosa hapo wajameni, wote tunajua ndoa za kikristo ni mke mmoja kama amesema hivyo na ametamka sio mke halali sioni kosa angesema mariam alikuwa hawara ndo kidogo ningeshindwa kumuelewa,
huyo Dr Slaa inaonekana ni msafi kweli kweli yani hata akitafutiwa kashfa hazipatikani mpaka tunaanza kumjadili kwa vitu minor kama haka ka mada please yale ya PIus Msekwa na ishara wala hayaonekani wajameni
 
Katika kujenga heshima na utu wema katika jamii, kuna mambo ambayo hayapashwi kufanywa.Kuvunjiana heshima au kudhalilishana,hasa kama upande ule mwingine wa pili haujafanya jambo lolote la kutudhalisha sisi wenyewe au kututia aibu ni kati ya mambo hayo.Hii huepusha chuki katika jamii na mara nyingi hujenga misingi mizuri ya ushirikiano.Katika sakata hili la mama Maiam,mke wa marehemu Chacha Wangwe nimeona mabadilishano ya maneno ambayo hayajanifurahisha kabisa.Matamshi ya Dr.Slaa kwamba Mariam hakuwa mke halali wa Chacha, hayakupashwa kabisa kuzungumziwa hadharani,hata kama ni kweli.Kwa kufanya hivyo Dr.Slaa amemzalilisha marehemu Chacha Wangwe na mama Mariam.Hii kijamii si jambo la busara,hasa kwa vile Dr.Slaa ni mtu ambaye anaheshimika sana katika jamii.Ninacho mshauri Dr.Slaa, ni kwamba awe mwangalifu na matamshi ambayo yatamvunjia heshima.Masakata mengine yana mlenga yeye ili kummaliza kisiasa.Asipo angalia hila za mahasimu wake kisiasa zitafanikiwa.Kazi kwako Dr.Slaa.
Naomba uweke maneno yake (Dr. Slaa) please!
 
Katika kujenga heshima na utu wema katika jamii, kuna mambo ambayo hayapashwi kufanywa.Kuvunjiana heshima au kudhalilishana,hasa kama upande ule mwingine wa pili haujafanya jambo lolote la kutudhalisha sisi wenyewe au kututia aibu ni kati ya mambo hayo.Hii huepusha chuki katika jamii na mara nyingi hujenga misingi mizuri ya ushirikiano.Katika sakata hili la mama Maiam,mke wa marehemu Chacha Wangwe nimeona mabadilishano ya maneno ambayo hayajanifurahisha kabisa.Matamshi ya Dr.Slaa kwamba Mariam hakuwa mke halali wa Chacha, hayakupashwa kabisa kuzungumziwa hadharani,hata kama ni kweli.Kwa kufanya hivyo Dr.Slaa amemzalilisha marehemu Chacha Wangwe na mama Mariam.Hii kijamii si jambo la busara,hasa kwa vile Dr.Slaa ni mtu ambaye anaheshimika sana katika jamii.Ninacho mshauri Dr.Slaa, ni kwamba awe mwangalifu na matamshi ambayo yatamvunjia heshima.Masakata mengine yana mlenga yeye ili kummaliza kisiasa.Asipo angalia hila za mahasimu wake kisiasa zitafanikiwa.Kazi kwako Dr.Slaa.

Umetumwa nini?
Hebu soma hapa usikurupuke na wewe ....

Mke mwingine wa Wangwe aibuka kumpinga mke-mwenza mdogo

Mke wa kati wa Marehemu Chacha Wangwe, Dotto Mohamed, ambaye anapinga maelezo ya mke mdogo Mariam Wangwe kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimetelekeza familia hiyo baada ya kifo cha baba watoto wao.
Na Kizitto Noya

KIFO cha Mbunge wa Tarime, Chacha Wangwe kinazidi kuibua mengi baada ya mke wake wa kati Dotto Mohamed kukana maelezo ya mke mdogo Mariam Wangwe kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeitelekeza familia.

Akizungumza na gazeti hili jana, Dotto alisema kauli ya Mariam ni nzito mno kuitoa sasa kwani anaamini matukio yanayoendelea baada ya kutokea msiba huo, ndiyo yanayoweka pazia la mawasiliano kati ya Chadema na familia ya Marehemu.

"Sijaisoma taarifa yote ila mtoto wangu ameniletea gazeti ambalo bado ninalo. Mimi ninashindwa kufikiria wala kuwaza kuanza kukilaumu Chama kwamba kimetutelekeza kwani ni mapema mno kufanya hivyo na wote bado tuko kwenye majonzi," alisema Dotto na kuongeza:

Nasema nashindwa kukilaumu chama kwa sababu tangu kutokea kwa msiba huo hakuna aliyetulia, familia bado ina majonzi, chama chenyewe bado kinalia na hata jamii inaendelea kumlilia Wangwe nasema familia yangu bado ina imani na chama na hatuwezi kukilaumu sasa," alisema.

Dotto alisema anaamini Chadema inaongozwa na watu wenye busara hivyo hawezi kuinenea mabaya kabla ya kuridhika kwamba viongozi hao wameanza kupingana na busara hiyo.

"Ninihitaji muda kupima hekima ya chama kabla sijakihukumu kwani kinyume chake nitakuwa sijakitendei haki," alisema.

Alisema mpaka sasa bado anaamini kuwa Chadema iko sambamba na familia ya marehemu Wangwe kwani hata kwenye arobaini iliyofanyika kijijini Komakorere chama hicho kilituma wawakilishi.

Mke huyu wa pili wa Chacha Wangwe anaishi jijini Mwanza na jana alikuja jijini Dar es Salaam kuwachukua watoto wake wawili waliokuwa wakiishi na Mariam, mke mdogo wa Wangwe.

Jana Dotto aliiambia Mwananchi kuwa katika safari yake hiyo pia amepanga kukutana na Mariam na kuzungumza naye ili ajue kiini cha shutuma zake kwa Chadema.

"Kuja kwangu Dar es Salaam ni pamoja na kuwachukua wanangu wawili ambao wamekuwa wakiishi na Mariam; katika ujio huo tutakaa tuzungumze anieleze kwa nini ameamua kuzungumza maneno hayo sasa,".

Alisema hata kama Mariam atafanikiwa kumshawishi aamini maneno yake, bado atahitaji muda kukubaliana naye kwani anaamni kuwa bado ni mapema mno kutoa shutuma hizo.

"Sisi bado tuna imani na Chama na hatuwezi kujua chama kinatuwazia nini hivyo narudia: ni mapema mno kutoa shutuma hizo kwani wote bado tuko kwenye majonzi," alisisitiza.
 
Una maana ya "fitina ama zengwe la ukabila" linawatafuna kama mchwa? Hivi unadhani kuanguka kwa CHADEMA ni faida kwako na kizazi chako ama? Kaka CHADEMA yapaswa kulindwa kwa hali na mali kwa faida ya maendeleo ya demokrasia ya ushindani nchini mwetu na vilevile kupunguza nguvu za manyang'au kuligeuza taifa letu kuwa mafia-state kama ilivyo Kenya, Italia, Pakistan na kwengineko. Ama zaidi kutufikisha walipo Zimbabwe, Somalia na pengine kubaya zaidi ya huko.

Kama unadhani kutafunwa kwa CHADEMA kunaiumiza CHADEMA tu fikiria zaid maana kama wewe ni mmoja wa wale wenye ndoto ya kuwa CCM itabadilika kutoka ndani basi ujue kama CCM itashinda TARIME huo utakuwa ni mwisho wa ndoto zako. Ni wazi kuwa mafisadi na wapambe wao wataongeza nguvu ndani ya CCM na kuonyesha kuwa umafia na ufisadi unalipa na bado tegemeo kwa maslahi ya genge lenu.....

Kumbuka waweza kuwa unafaidika na kutafunwa kwa CHADEMA sasa lakini jiulize kuhus ndugu zako na vizazi vyko huko mbaleni....laana ya ufisadi ni lazima iwaangukie hivyo kuwa makini na ushabiki wako kaka....

Tanzanianjema



Tanzanianjema umesema maneno mazito sana mkuu .Mimi namjua Masatu ana uwezo mkubwa sana wa kuchambua na mamo Masatu anayajua si mbabaishaji sasa hili la leo la ushabiki bila ya kuangalie nje ya uwanja kuna kitu limenipa hofu sana sana.

Jamani ushabiki huu ni kwa sababu gani ? Kama mimi Lunyungu naweza kula na kulala vyema haina maana kwamba rest of Tanzanians are like me.Tuwaonee huruma.Fikeni hapa Tarime muone maisha ya watanzania wenzenu .
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom