Mariga VS Okoth uchaguzi mdogo wa Ubunge pale Kibera (Kibra) Kenya nimejifunza mengi

Na cha kushangaza ruto alimueka mariga kw sababu ya waluhya..manake ni qengi sana hko hta kuliko waluo..

Meza imepinduliwa, jamaa kasema eti mkenya hawezi mpigia kura mtu ambae sio wa kabila lake[emoji1787][emoji1787]
 
Kweli mkuu[emoji1787][emoji1787]
 
Kenya kwa demokrsia wako ligi nyingine na akina South Africa, Botswana, Namibia, Ghana, Nigeria, Benin nk.

Tanzania tuko ligi moja na akina Rwanda, Burundi, Uganda, Congo Republic, Cameroon, eSwatini, Equatorial Guinea nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…