Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ajina moto ni kiungo au typing error, hivyo vingine nipe namna ya kuvitumiaNaomba kueleza nachojua,tumia Tangawizi,kitunguu swaumu,limau,ajina moto,soy sauce,majani ya giligiliani na pilipili manga ya unga......baadae njoo unishukuru.
Unaweka kwa kiasi gani kwa nyama ya wingi kiasi kipi?Naomba kueleza nachojua,tumia Tangawizi,kitunguu swaumu,limau,ajina moto,soy sauce,majani ya giligiliani na pilipili manga ya unga......baadae njoo unishukuru.
ajina moto ni kiungo,kipo kama chumvi kabisa,ni nyeupe peee...unaweza dhania chumvi,ipo madukani.ajina moto ni kiungo au typing error, hivyo vingine nipe namna ya kuvitumia
Chimvi chumvi ya mwarabu hiyo!!ni balaa ikiwekwa kwenye supu ladha yake sio mchezo!!!mimi supu bila hiyo kitu siwezi kabisa kuita nimekunywa supu!!ajina moto ni kiungo,kipo kama chumvi kabisa,ni nyeupe peee...unaweza dhania chumvi,ipo madukani.
kiwango ukweli sina vipimo,mimi huwa nakadiria tu....Unaweka kwa kiasi gani kwa nyama ya wingi kiasi kipi?
kwa kuanzia tu,limao weka nusu,tangawizi saga na swaunu upate kijiko kimoja cha chakula inatosha,ajina moto weka nusu kijiko cha chai,pilipili manga weka kiduchu sana,nyunyuzia tu kwa vidole juu juu,unga wa giligiliani hivyo hivyo,soy sauce weka vijiko viwili vya chakula......hio inatosha kwa nyama kilo moja,changanya alafu acha mpaka nusu saa...chumvi kadiria upendavyo.Unaweka kwa kiasi gani kwa nyama ya wingi kiasi kipi?
Chimvi chumvi ya mwarabu hiyo!!ni balaa ikiwekwa kwenye supu ladha yake sio mchezo!!!mimi supu bila hiyo kitu siwezi kabisa kuita nimekunywa supu!
supu yako huwa unaandaa mwenyewe au kwa wauza supu. kama unaandaa mwenyewe kuna siri gani unayotumia mpk uufurahie ubora wa pishi la supu yakoChimvi chumvi ya mwarabu hiyo!!ni balaa ikiwekwa kwenye supu ladha yake sio mchezo!!!mimi supu bila hiyo kitu siwezi kabisa kuita nimekunywa supu!!
Mala nyingi huwa nakunywa supu kwenye migahawa,/bar ambayo wanajua kuandaa, na kuitia ajina moto!! Hata kama labda nimeandaa mwenyewe, nikitia, hoho, karoti na kumalizia hiyo ajina moto, tayari ile ladha ninayoihitaji naipata!!kama ukiiweka huna ulazima wa kuweka maviungo mengi...supu yako huwa unaandaa mwenyewe au kwa wauza supu. kama unaandaa mwenyewe kuna siri gani unayotumia mpk uufurahie ubora wa pishi la supu yako
Hivi siku hizi zipo fake ee ajinamotoChimvi chumvi ya mwarabu hiyo!!ni balaa ikiwekwa kwenye supu ladha yake sio mchezo!!!mimi supu bila hiyo kitu siwezi kabisa kuita nimekunywa supu!!
Mmm!!hilo silifahamu mkuu!!kwaniniHivi siku hizi zipo fake ee ajinamoto
Red wine ni pombe au si pombe?Nahitaji...
Red wine glass
Kuku mzima 1
Kitunguu saumu kimoja
Tangawizi
Kama huutumii potezea tu,wadau wataelewaRed wine ni pombe au si pombe?