Marination nzuri kwa nyama choma mbuzi, ng'ombe au kuku

Marination nzuri kwa nyama choma mbuzi, ng'ombe au kuku

Nahitaji...
Red wine 1/2 glass
Kuku mzima 1 wa kienyeji
Kitunguu saumu kimoja
Tangawizi 1
Ajina Moto
Pili pili manga.
Binzari nyembamba


Blend kitunguu saumu na tangawizi binzari nyembamba...

NB...Mkiwa masela watupu mnaojiweza kwenye nyama ya ng'ombe tunatumia Whiskey Kama grants inapendeza sana....

Osha vizuri kuku yako Weka kwenye huo mchanganyiko Weka chumvi kiasi usiweke nyingi Sababu utaweka ajina Mot😵ngeza red wine Kama vile Altar au Dompo nusu glass...Weka kwenye fridge kwa nusu saa...
Ukitoka Weka jikoni nyunyuzia unga wa pilipili manga kiasi.

Kata ndimu ya Tunda pembeni...save kuku yako na marshed potatoes,chipsi au ndizi mzuzu.
Mate yanadondoka ...
 
Nahitaji...
Red wine 1/2 glass
Kuku mzima 1 wa kienyeji
Kitunguu saumu kimoja
Tangawizi 1
Ajina Moto
Pili pili manga.
Binzari nyembamba


Blend kitunguu saumu na tangawizi binzari nyembamba...

NB...Mkiwa masela watupu mnaojiweza kwenye nyama ya ng'ombe tunatumia Whiskey Kama grants inapendeza sana....

Osha vizuri kuku yako Weka kwenye huo mchanganyiko Weka chumvi kiasi usiweke nyingi Sababu utaweka ajina Mot😵ngeza red wine Kama vile Altar au Dompo nusu glass...Weka kwenye fridge kwa nusu saa...
Ukitoka Weka jikoni nyunyuzia unga wa pilipili manga kiasi.

Kata ndimu ya Tunda pembeni...save kuku yako na marshed potatoes,chipsi au ndizi mzuzu.
[emoji848][emoji39][emoji39]
 
Nahitaji...
Red wine 1/2 glass
Kuku mzima 1 wa kienyeji
Kitunguu saumu kimoja
Tangawizi 1
Ajina Moto
Pili pili manga.
Binzari nyembamba


Blend kitunguu saumu na tangawizi binzari nyembamba...

NB...Mkiwa masela watupu mnaojiweza kwenye nyama ya ng'ombe tunatumia Whiskey Kama grants inapendeza sana....

Osha vizuri kuku yako Weka kwenye huo mchanganyiko Weka chumvi kiasi usiweke nyingi Sababu utaweka ajina Mot😵ngeza red wine Kama vile Altar au Dompo nusu glass...Weka kwenye fridge kwa nusu saa...
Ukitoka Weka jikoni nyunyuzia unga wa pilipili manga kiasi.

Kata ndimu ya Tunda pembeni...save kuku yako na marshed potatoes,chipsi au ndizi mzuzu.
Kuna maneno kuwa aji na moto sio nzuri kiafya, una maoni gani ktk hili?
 
Mala nyingi huwa nakunywa supu kwenye migahawa,/bar ambayo wanajua kuandaa, na kuitia ajina moto!! Hata kama labda nimeandaa mwenyewe, nikitia, hoho, karoti na kumalizia hiyo ajina moto, tayari ile ladha ninayoihitaji naipata!!kama ukiiweka huna ulazima wa kuweka maviungo mengi...
Ukiweka ajina moto na chumvi ya kawaida itahitajika pia?
 
Back
Top Bottom