cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Umesema hiyo chumvi ina madini ila mbona Haina sodium chloride ?sababu hiyo ndio formula ya chumvi
Haina kivipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema hiyo chumvi ina madini ila mbona Haina sodium chloride ?sababu hiyo ndio formula ya chumvi
Nakumbuka ile miaka ya zamani walikuwepo pale coco beach........ukiwakanyaga ndio utajua utamu wakeKwa mnaojua, huyu ni kiumbe gani anapatikana bahariniView attachment 3220580
Mkuu hawa dagaa wameadimika sana hivi karibuniMsimu huu wa mvua, Dagaa wabichi huwa wengi sana ziwani😍View attachment 3220581
Angalia pacific ilivyo blue! Au ni vice versa?!Antlatic and Pacific ocean View attachment 3220582
AI hizo.Huyu sio binadamu ni nani?
Anaitwa sea urchin kwa kiingereza.Kwa mnaojua, huyu ni kiumbe gani anapatikana bahariniView attachment 3220580
Punguza kamba mkuuUwanja wa baharini unaotembea unazinduliwa 2025 mwezi wa pili. Unamilikiwa na freemasonryView attachment 3220574