Maringo kibao, kumbe hamna kitu maseee!

Maringo kibao, kumbe hamna kitu maseee!

KATIKA HALMASHARI YANGU YA UBONGO, KUNA KITENGO CHA TBS, KAMA DEMU HAJAKIZI VIGEZO NAMKATAA MZEE WANGU
Halmashauri ya KICHWA chako naitilia Shaka.... Mlianzaje kupanga kugegedana wakati hujamuona? Hii maana yake hukuipa halmashauri ya KICHWA chako kutafakari baada ya kuona haki halisi
 
Halmashauri ya KICHWA chako naitilia Shaka.... Mlianzaje kupanga kugegedana wakati hujamuona? Hii maana yake hukuipa halmashauri ya KICHWA chako kutafakari baada ya kuona haki halisi
Rudi mwanzo, soma vizuri nilichoandika
 
Back
Top Bottom