Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Kwa mwanamke anapenda ahisi mwanaume wake ni handsome...Mzee wangu, mwanaume inatakiwa awe mzur?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mwanamke anapenda ahisi mwanaume wake ni handsome...Mzee wangu, mwanaume inatakiwa awe mzur?
Robot hiloUnakaA mwanzo mwanzo bro kila nyuzi
Hata kama, siwezi kusema nikoje maana sio sababu ya msingi mzee wangu, uzuri wa mwanaume ni pesaKwa mwanamke anapenda ahisi mwanaume wake ni handsome...
Auto-commentRobot hilo
Halmashauri ya KICHWA chako naitilia Shaka.... Mlianzaje kupanga kugegedana wakati hujamuona? Hii maana yake hukuipa halmashauri ya KICHWA chako kutafakari baada ya kuona haki halisiKATIKA HALMASHARI YANGU YA UBONGO, KUNA KITENGO CHA TBS, KAMA DEMU HAJAKIZI VIGEZO NAMKATAA MZEE WANGU
Kabisa 😃😃😃Auto-comment
Unazo?Hata kama, siwezi kusema nikoje maana sio sababu ya msingi mzee wangu, uzuri wa mwanaume ni pesa
Rudi mwanzo, soma vizuri nilichoandikaHalmashauri ya KICHWA chako naitilia Shaka.... Mlianzaje kupanga kugegedana wakati hujamuona? Hii maana yake hukuipa halmashauri ya KICHWA chako kutafakari baada ya kuona haki halisi
SijuiUnazo?
AseeeKabisa [emoji2][emoji2][emoji2]
HahahahaKumbe sura nzito kama uji wa mgonjwa
Kheee..... Nimesoma ID yako nimeona jibu linafanana nayoSijui
Ndio hivyo, ndiomimi.Kheee..... Nimesoma ID yako nimeona jibu linafanana nayo
Mbona kipo wazi...!!! Mmechati, mkaongea, mkaonana....Rudi mwanzo, soma vizuri nilichoandika
Bado hujaelewa, rudi tena kasome vizuriMbona kipo wazi...!!! Mmechati, mkaongea, mkaonana....
Kwani angekuwa wa viwango vyako usingemgegeda siku ile ile mliyoonana?
KATIKA HALMASHARI YANGU YA UBONGO, KUNA KITENGO CHA TBS, KAMA DEMU HAJAKIZI VIGEZO NAMKATAA MZEE WANGU
Kwani naoa mkuu, napita tuuVigezo vya nje, ok kila la heri
Au sioWamitandaoni ndio wale wale wa offline
Silagi mizoga, kama unataka namba zake nakusukumia tuu PM