Maringo kibao, kumbe hamna kitu maseee!

Maringo kibao, kumbe hamna kitu maseee!

Aseee, Mimi ndie.
FREE ERICK KAFLAG!

Eeebana! last weekend niliamua kumeet na mwanamke mmoja hivi niliechat nae mtandaoni kwa mda kama mwezi hivi (sio JF), wakati tunaongea kwa phone asee mtoto ana sauti nyororo iliyokua inapelekea nyoka wangu kutoka pangoni.

Nilivyokutana nae sikuamini!, Msee wangu, kumbe uzuri ule yalikua ni mapicha tuu na camera 360, ma edit kibao mazeee!

Duh! KwanzA ana umbo namba 9, sura ya kawaida sana alongside Bonge ya ziwa kama dafu mazeee!

Duh! Ebana tunaharibiana nauli punguzeni kujiedit mitandaoni,aaaagh!

Minikaona nimpe tuu nauli asepe zake asee nikamwambia Nina emergency, maana alikua amekuja kwa ajili ya kuliwa.

Aaah ila mtandaoni sasa kila demu mzuri mazee, ujuaji mwingi kumbe ni wa kawaidaaaa!!
Umefanya kosa kubwa sana kutopiga show.
 
Weka picha yako hapa tuone kama wewe u mzuri....maana isijekuwa 'nyani haoni kundule'
Mwanaume awe mzuri anagombea umiss? Mwanaume sura ngumu nyie wanaume ndio mnajichubua na kupaka shedo
 
Aseee, Mimi ndie.
FREE ERICK KAFLAG!

Eeebana! last weekend niliamua kumeet na mwanamke mmoja hivi niliechat nae mtandaoni kwa mda kama mwezi hivi (sio JF), wakati tunaongea kwa phone asee mtoto ana sauti nyororo iliyokua inapelekea nyoka wangu kutoka pangoni.

Nilivyokutana nae sikuamini!, Msee wangu, kumbe uzuri ule yalikua ni mapicha tuu na camera 360, ma edit kibao mazeee!

Duh! KwanzA ana umbo namba 9, sura ya kawaida sana alongside Bonge ya ziwa kama dafu mazeee!

Duh! Ebana tunaharibiana nauli punguzeni kujiedit mitandaoni,aaaagh!

Minikaona nimpe tuu nauli asepe zake asee nikamwambia Nina emergency, maana alikua amekuja kwa ajili ya kuliwa.

Aaah ila mtandaoni sasa kila demu mzuri mazee, ujuaji mwingi kumbe ni wa kawaidaaaa!!
pole sana mdogo wangu
 
Back
Top Bottom