Inategemea kila mmoja ana stori yake kwanini anachezea taifa jingine.
Mfano Pepe, angeweza kuchezea Brazil ila alivyofika Ureno hana hela mfukoni akamwambia mzee wa mgahawani kwamba ana njaa ila hana hela. Yule mzee akampa chakula Pepe, kutoka hapo akadhamiria hata akitoboa atachezea Ureno.