joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Kaupendezesha sana huo wimbo..namkubali ana kipaji wala hatumii nguvuJmaa anajua hatumii nguvu mskilize kwenye mary me ya Barnaba
Haipingwi.Inshu ni nyota.... Ukishakuwa na nyota umemaliza.
Na ndo maana wanapotambulisha huwa wanaanza na nyota wa mpira wa kikapu, muziki wa pop............
Exactly.Tofautisha msanii mkubwa na msanii mzuri
hasa kwenye "naogopa". , nimependa sana anavyotiririka mle, kile kionjo cha Angela mie hoiHarmonize ni mkali sana kwenye tungo na melodi.
Inawezekana hujui maana ya uandishi yaani konde boy kwenye ngoma ya NAOGOPA katema madini kinyama we kaisikilize upya hiyo ngoma verse ya marioo kaimba imba tu Mara tushindie tembele mambo ya ovyoMarioo anauandishi mzuri hizo colabo zote amefanya poa zaidi labda kimauzo ya streams na youtube marioo bado yupo nyuma
Mm mwenyewe pmj na udocta wangu mm Ni shabiki wake mkuu Sana napenda ngoma zake haswa ile aliyoimba na hormonizeSio ubishi,
Lakini Mario ni msanii mkubwa kuliko Rayvanny na Harmonize na yuko serious na kazi kuliko kawaida. Mario miaka 3 ijayo atakuwa yuko mbali zaidi kuliko kawaida ya watu wanavyofikiri. Mungu mbariki Mario kipaji chake kituburudishe.
Kuanzia sasa show za Mario zote nitahudhuria kumuunga mkono.
Na miye piaAlichokosea mleta uzi ni kusema Marioo ni msanii MKUBWA KULIKO VANNY BOY na HARMO
Bado hajaufikia ukubwa wa Vanny boy na Konde
Angesema ni msanii anayefanya vizuri kwa sasa
NB: Namkubali sana Marioo hasa ile ngoma yake NAOGOPA