evonik
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 3,996
- 5,156
Imegoma kuchezaPlay Video iliyoambatanishwa katika chapisho hili
Inaitwaje hiyo nyinbo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imegoma kuchezaPlay Video iliyoambatanishwa katika chapisho hili
Oyaaaa wanaa huyu Mwamba ndo hivii kweli...Msanii wa kizazi kipya Omary Ally maarufu kama Marioo, alisema hana mahusiano na wala hajawahi kuwa na mahusiano na mwanamke yoyote yule katika maisha yake.
Marioo alibainisha hayo Agosti 28, 2019 wakati akizungumza katika Kikaangoni cha EATV wakati akijibu swali aliloulizwa kuhusu mwenendo wake wa mahusiano.
“Sina mpenzi na sijawahi kuwa na mahusiano na mtu yoyote, sipigi nyeto na sio bikra, Ila nina njia zangu ninazozijua mwenyewe” alisema Marioo.
Aidha Marioo alizungumzia kiwango chake cha elimu ambapo alisema kuwa, hakufika Sekondari ameishia darasa la Saba lakini hadi sasa alipofikia, anajiona anayo elimu ya kidato cha nne.
Katika video iliyorekodiwa hivi karibuni imezua taaruki mitandaoni huku mashabiki wengine wakidai pengine hana mpenzi wa kike ila anae wa kiume sio kwa mahaba haya ya kushikana shikana hadharani
View attachment 2008005
[emoji15][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ana njia zake anazozijua yeye.??
Huyu anataka tumuweke kundi la Bitweluvu huyu
Ulitaka ajiite jina la kibantu ndio aimbe huo wimbo na si la kiarabu?acha utumwa wa kiakili wewe!"Omary Ally" afu anaimba bia tamu,Innalillah wainna illaih rajiun[emoji24]
Ndio maana yake, anamtamanisha baba G. Mr Mohammed ChizzaAna njia zake anazozijua yeye.??
Huyu anataka tumuweke kundi la Bitweluvu huyu
😃😃😃 Eti jina la kiarabu 😃😃Ulitaka ajiite jina la kibantu ndio aimbe huo wimbo na si la kiarabu?acha utumwa wa kiakili wewe!
Clip inatia kichefuchefu, huyo dogo mwingine anaonekana bwabwa kabisa plus kushikana styles zile kwa wanaume inafikirisha sana.Msanii wa kizazi kipya Omary Ally maarufu kama Marioo, alisema hana mahusiano na wala hajawahi kuwa na mahusiano na mwanamke yoyote yule katika maisha yake.
Marioo alibainisha hayo Agosti 28, 2019 wakati akizungumza katika Kikaangoni cha EATV wakati akijibu swali aliloulizwa kuhusu mwenendo wake wa mahusiano.
“Sina mpenzi na sijawahi kuwa na mahusiano na mtu yoyote, sipigi nyeto na sio bikra, Ila nina njia zangu ninazozijua mwenyewe” alisema Marioo.
Aidha Marioo alizungumzia kiwango chake cha elimu ambapo alisema kuwa, hakufika Sekondari ameishia darasa la Saba lakini hadi sasa alipofikia, anajiona anayo elimu ya kidato cha nne.
Katika video iliyorekodiwa hivi karibuni imezua taaruki mitandaoni huku mashabiki wengine wakidai pengine hana mpenzi wa kike ila anae wa kiume sio kwa mahaba haya ya kushikana shikana hadharani
View attachment 2008005
Wameamua kuanika ubaradhuli wao hadharani.Bila shaka Hii ni wiki ya wali Nazi na kisamvu Cha kopo[emoji4]
Kabisaa babuuUlitaka ajiite jina la kibantu ndio aimbe huo wimbo na si la kiarabu?acha utumwa wa kiakili wewe!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!!muache kaka angu Majay jamani kaahh...wa kwetu huyuuNdio maana yake, anamtamanisha baba G. Mr Mohammed Chizza
Ndio, hayo ndiyo mahojianonyake lakini video ni ya wiki hiiMahojiano, unasema alihojiwa 2019? Now is 2021
Sio nyimbo, anashika dushere la mtu.
Brazako mende aisee 😃😃😃😃😃 majaa, majee, majiii, majjizzoooo 😃😃😃😃😃[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!!muache kaka angu Majay jamani kaahh...wa kwetu huyuu
Tulipo ni pabaya sana mimi nilidhani sio Muislamu ."Omary Ally" afu anaimba bia tamu,Innalillah wainna illaih rajiun[emoji24]
Daahh!halafu mzee wake mzee Sizya alikua ustadh jamani...kaahh[emoji2][emoji2]!!!anatuabisha wa kukaya baaahhh!!!Brazako mende aisee [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] majaa, majee, majiii, majjizzoooo [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anamshikaje hivyo mwanaume mwenzake mmh, half huyo anayeshikwa mbona kama anaona aibu!!
Mmh kuna usalama kweli hapo?
Anyway hayanihusu