cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vijana wahimizwe kilimo na ufugaji mambo ya kukimbilia dar ndio madhara yake hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vijana wahimizwe kilimo na ufugaji mambo ya kukimbilia dar ndio madhara yake hayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Njia za haja kubwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana yake, anamtamanisha baba G. Mr Mohammed Chizza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alafu hyu marioo mbona ana ukaribu sana na dazan na Rio paul
Sema wee, [emoji23][emoji23][emoji23]tako si lake?
Huyo jamaa akili yake ni ndogo mnooo hadi kero!Kabisaa babuu
Yaani watu kama hawa ndo utaskia anazungumzia majini mara wake wengi mara kafara... Hicho kwao ndo kina maana [emoji23].
Hali mashoga kivipi, haujaona mahaba hapo na 'partner' wake.Nafikiri dogo angeishia kusema hana mpz stori za Ana njia zake zinaleta utata
Naamini dogo si shoga wala Hali mashoga labda ananunua ma dada poa matakor yake (kanikera kusema Ana njia zake)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hali mashoga kivipi, haujaona mahaba hapo na 'partner' wake.
ANA NJIA ZAKE, jiongeze umuelewe alichokimaanisha.
bitweluvu inasikitisha sana.Ana njia zake anazozijua yeye.??
Huyu anataka tumuweke kundi la Bitweluvu huyu
MariooMsanii wa kizazi kipya Omary Ally maarufu kama Marioo, alisema hana mahusiano na wala hajawahi kuwa na mahusiano na mwanamke yoyote yule katika maisha yake.
Marioo alibainisha hayo Agosti 28, 2019 wakati akizungumza katika Kikaangoni cha EATV wakati akijibu swali aliloulizwa kuhusu mwenendo wake wa mahusiano
“Sina mpenzi na sijawahi kuwa na mahusiano na mtu yoyote, sipigi nyeto na sio bikra, Ila nina njia zangu ninazozijua mwenyewe” alisema Marioo.
Aidha Marioo alizungumzia kiwango chake cha elimu ambapo alisema kuwa, hakufika Sekondari ameishia darasa la Saba lakini hadi sasa alipofikia, anajiona anayo elimu ya kidato cha nne.
Katika video iliyorekodiwa hivi karibuni imezua taaruki mitandaoni huku mashabiki wengine wakidai pengine hana mpenzi wa kike ila anae wa kiume sio kwa mahaba haya ya kushikana shikana hadharani