Marioo: Sina mpenzi na sijawahi

Oyaaaa wanaa huyu Mwamba ndo hivii kweli...

Mbona Asenge sanaaa ama Pungaa nini...???
Maana picha kama ameamua kukaa uchi vilee.Afu yuko na mwamba mweupeeeee maninengaa kweli anii dah.

A see usije mjinii
 
Clip inatia kichefuchefu, huyo dogo mwingine anaonekana bwabwa kabisa plus kushikana styles zile kwa wanaume inafikirisha sana.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Anamshikaje hivyo mwanaume mwenzake mmh, half huyo anayeshikwa mbona kama anaona aibu!!
Mmh kuna usalama kweli hapo?
Anyway hayanihusu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…