Mariupol yaanguka, ushindi wa kwanza mkubwa wa Urusi

Mariupol yaanguka, ushindi wa kwanza mkubwa wa Urusi

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Muda mfupi uliopita Urusi imesema jiji la bandari na viwanda la Mariupol limeingia mikononi mwao kikamilifu baada ya kusafisha mabaki ya askari wa Ukraine waliokataa kujisalimisha waliokuwa wamejichimbia kwenye kiwanda kikubwa cha kufua chuma.

Askari hao pamoja na kuishiwa chakula na silaha walikuwa na uzalendo mkubwa na nchi yao na kwa kutiwa moyo na viongozi wao waliendelea kuleta upinzani mkali kwa jeshi la Urusi mpaka pale waliporushiwa makombora mazito mfululizo yaliyowafikia walipojificha na kukigeuza kiwanda hicho kuwa majivu kama ilivyothibitishwa na Reuters.

Mafanikio hayo makubwa ya Urusi yameitikisa Ukraine yote na kupelekea nchi hiyo kutoa tangazo la kusitisha kusafirisha kwenda nje ya nchi nafaka na vyakula vyote. Maelfu ya tani ya nafaka yalikuwa yamekwama kwenye bandari ya Mariupol hivyo kauifanya Ukraine kujaribu kusafirisha nafaka kibiashara kupitia kaskazini ya nchi hiyo kabla ya kutolewa tangazo la katazo hilo.

Jiji zuri la Kyiv nalo linaendelea kuwaka moto.

1650142974776.png
 
Muda mfupi uliopita Urusi imesema jiji la bandari na viwanda la Mariupol limeingia mikononi mwao kikamilifu baada ya kusafisha mabaki ya askari wa Ukraine waliokataa kujisalimisha waliokuwa wamejichimbia kwenye kiwanda kikubwa cha kufua chuma.Askari hao pamoja na kuishiwa chakula na silaha walikuwa na uzalendo mkubwa na nchi yao na kwa kutiwa moyo na viongozi wao waliendelea kuleta upinzani mkali kwa jeshi la Urusi mpaka pale waliporushiwa makombora mazito mfululizo yaliyowafikia walipojificha na kukigeuza kiwanda hicho kuwa majivu kama ilivyothibitishwa na Reuters.
Mafanikio hayo makubwa ya Urusi yameitikisa Ukraine yote na kupelekea nchi hiyo kutoa tangazo la kusitisha kusafirisha kwenda nje ya nchi nafaka na vyakula vyote.Maelfu ya tani ya nafaka yalikuwa yamekwama kwenye bandari ya Mariupol hivyo kauifanya Ukraine kujaribu kusafirisha nafaka kibiashara kupitia kaskazini ya nchi hiyo kabla ya kutolewa tangazo la katazo hilo
Jiji zuri la Kyiv nalo linaendelea kuwaka moto.
View attachment 2190254
Hiyo Moriopol Russia wamekuwa wakitangaza mara kadhaa upo chini yao lakini Ukraine wanakataa
 
Muda mfupi uliopita Urusi imesema jiji la bandari na viwanda la Mariupol limeingia mikononi mwao kikamilifu baada ya kusafisha mabaki ya askari wa Ukraine waliokataa kujisalimisha waliokuwa wamejichimbia kwenye kiwanda kikubwa cha kufua chuma.Askari hao pamoja na kuishiwa chakula na silaha walikuwa na uzalendo mkubwa na nchi yao na kwa kutiwa moyo na viongozi wao waliendelea kuleta upinzani mkali kwa jeshi la Urusi mpaka pale waliporushiwa makombora mazito mfululizo yaliyowafikia walipojificha na kukigeuza kiwanda hicho kuwa majivu kama ilivyothibitishwa na Reuters.
Mafanikio hayo makubwa ya Urusi yameitikisa Ukraine yote na kupelekea nchi hiyo kutoa tangazo la kusitisha kusafirisha kwenda nje ya nchi nafaka na vyakula vyote.Maelfu ya tani ya nafaka yalikuwa yamekwama kwenye bandari ya Mariupol hivyo kauifanya Ukraine kujaribu kusafirisha nafaka kibiashara kupitia kaskazini ya nchi hiyo kabla ya kutolewa tangazo la katazo hilo
Jiji zuri la Kyiv nalo linaendelea kuwaka moto.
View attachment 2190254
💪💪
 
Wanajeshi wakisha jisalimisha huwa wanapewa adhabu au wanaachwa tu
Ule ni mtaji mkubwa sana kwenye medani za kivita, unaweza kuwatumia kukidhi baadhi ya mahitaji yako kwa adui yako au mabadilishano ya mateka wa kijeshi.

Vilevile kwa upepelezi, inasaidia kujua nguvu ya adui iko wapi...maana jana tu Urussi katangaza Makomandoo wa Uingereza ndio wanawafundisha kwa sasa wanajeshi wa Ukrane.

Hiyo ni baada kuwahoji wanajeshi wa Ukrane waliotekwa...hata baadhi ya sehemu anazoshambulia Mrusi ni hao hao mateka wanasanua baada ya kuminywa.
 
Back
Top Bottom