chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,694
- 4,954
Hawa snake ndio wale walirusha tusi sio?Wenzao wa Snake Island walifanya ujinga kama huo.Sasa wote ni majivu.Zelensky wala hawakumbuki tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa snake ndio wale walirusha tusi sio?Wenzao wa Snake Island walifanya ujinga kama huo.Sasa wote ni majivu.Zelensky wala hawakumbuki tena.
NOTED.Kuna haja ya nchi kuwa na kitengo cha kuangalia mambo muhimu kwa undani madhara na faida zake na sio mtu mmoja kuamua tu jambo kwa sababu ni rais.6
Kwanza mrusi alikuwa akipigana vita vya kidugu, alipoona hawa jamaa wanaleta jeuri na yeye akaamua abadili mbinu na kupunguza huruma za udugu. Jirani gani huyu anayekuletea majambazi nyumbani kwako.
tulia we mmalekani wa tandale
Na hapa hutawaona[emoji28]hii habari ni mbaya sana kwa MK254 na Salary Slip
Vladimir ana hasira sana.
Hakuna jisalimisha liwalo na liweHawajajisalimisha tegeni masikio msikie urusi atakachofanya huko mariupol dhidi ya hao masalia
Wamarekani, EU na NATO wapumbavu Sana,Badala ya kusisitiza mazungumzo waelewane kiriplomasia wao wanajazia silaha na kumkoki ukraine akapige kwenye ardhi ya urusi.Hahahahaaa,ujinga na upumbavu wa zerenski,kukubali nchi yake kuwa uwanja wa kuonyeshana misuli kati ya marekani wakiwa Nato,wakapambana na warussi,
Zelensky anaigharimu Ukraine kipumbavu Sana[emoji3525]Haya siyo maisha rais wa ukraine alitakiwa kufikiria mara 2 kabla ya kuchukua ushauri wa wamagharibi.