Ufafanuz mzur sanaUle ni mtaji mkubwa sana kwenye medani za kivita, unaweza kuwatumia kukidhi baadhi ya mahitaji yako kwa adui yako au mabadilishano ya mateka wa kijeshi.
Vilevile kwa upepelezi, inasaidia kujua nguvu ya adui iko wapi...maana jana tu Urussi katangaza Makomandoo wa Uingereza ndio wanawafundisha kwa sasa wanajeshi wa Ukrane.
Hiyo ni baada kuwahoji wanajeshi wa Ukrane waliotekwa...hata baadhi ya sehemu anazoshambulia Mrusi ni hao hao mateka wanasanua baada ya kuminywa.
Ha ha ha....Maneno ya Meya wa Mariupol baada ya mji kuanguka"Nasikia warusi wanajisifia kukamata mji wa Mariupol,wameuwa watu zaidi ya elfu 10 na kubomoa asilimia 95 ya majengo yote.sasa hapo kuna mji gani wa kuchukua,mji usiokuwa na watu wala majengo"
Haya ni maneno ya mkosaji [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zelensky hataki mazungumzo,Daah awa watu wakae wamalize tofauti zao. Ukraine anazidi haribu nchi yake na kutesa watu wake. Kama kuna njia ya mazungumzo yenye kuleta amani waitumie haraka.
[emoji28][emoji28][emoji28] Ukraine anashinda.Maneno ya Meya wa Mariupol baada ya mji kuanguka"Nasikia warusi wanajisifia kukamata mji wa Mariupol,wameuwa watu zaidi ya elfu 10 na kubomoa asilimia 95 ya majengo yote.sasa hapo kuna mji gani wa kuchukua,mji usiokuwa na watu wala majengo"
Haya ni maneno ya mkosaji [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Baada ya vita. Na waukraine wakarejea kwenye makazi yao. Hapo ndipo watakapomtafuna nyama mbichi huyo comedianDaah awa watu wakae wamalize tofauti zao. Ukraine anazidi haribu nchi yake na kutesa watu wake. Kama kuna njia ya mazungumzo yenye kuleta amani waitumie haraka.
Huyu raisi wa Ukraine ameamua kuuza nchi yake kwa ghalama za maisha ya watu wake, ilikuwa ni wamuzi wa kutofungamana na upande wowote,ili watu waishi kwa amani,Sasa maisha yameharibika kisa kutaka kuleta adui karibu na mbabe rusia, Ukraine imeonywa Mara kibao,acha kuleta maadui zangu kalibu yangu lkn akawa jeuri, kiburi hakijengi Bali kinabomoa,cube iliambiwa na marekani toa silaha za kirusi sivyo tutakufanya kitu kibaya,alipo toa maishi yaliendelea Kama kawaida,kwa upuuzi huu Ukraine itabakia jangwa,acha waonyeshane ubabe kwenye ardhi ya Ukraine,wababe walikuwa wanatafuta pa kupimishia mnguvu yao,Sasa wamepapata kwa mpuuzi zele,hii vita inaweza kuchukua hata miaka 10, kwamaana silaha wanazo,chakula wanacho,majeshi wanayo,hela wanayo ya kutosha,mwisho wa hii vita ni Ukraine kugawanywa Kama Korea kusini na Korea kaskazini,hakuna mshindi kati ya urusi na Ukraine (NATO+marekani) mwisho wa hii vita ni busala itumike kwa marekani na NATO kuishawishi Ukraine wakubali dipromasiaDaah awa watu wakae wamalize tofauti zao. Ukraine anazidi haribu nchi yake na kutesa watu wake. Kama kuna njia ya mazungumzo yenye kuleta amani waitumie haraka.
Baada ya vita. Na waukraine wakarejea kwenye makazi yao. Hapo ndipo watakapomtafuna nyama mbichi huyo comedian
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Umeona mbali Sana mkuu[emoji106]Huyu raisi wa Ukraine ameamua kuuza nchi yake kwa ghalama za maisha ya watu wake, ilikuwa ni wamuzi wa kutofungamana na upande wowote,ili watu waishi kwa amani,Sasa maisha yameharibika kisa kutaka kuleta adui karibu na mbabe rusia, Ukraine imeonywa Mara kibao,acha kuleta maadui zangu kalibu yangu lkn akawa jeuri, kiburi hakijengi Bali kinabomoa,cube iliambiwa na marekani toa silaha za kirusi sivyo tutakufanya kitu kibaya,alipo toa maishi yaliendelea Kama kawaida,kwa upuuzi huu Ukraine itabakia jangwa,acha waonyeshane ubabe kwenye ardhi ya Ukraine,wababe walikuwa wanatafuta pa kupimishia mnguvu yao,Sasa wamepapata kwa mpuuzi zele,hii vita inaweza kuchukua hata miaka 10, kwamaana silaha wanazo,chakula wanacho,majeshi wanayo,hela wanayo ya kutosha,mwisho wa hii vita ni Ukraine kugawanywa Kama Korea kusini na Korea kaskazini,hakuna mshindi kati ya urusi na Ukraine (NATO+marekani) mwisho wa hii vita ni busala itumike kwa marekani na NATO kuishawishi Ukraine wakubali dipromasia
Unaambiwa walikuwa wanapewa muda wa kujisalimisha hawasikiiHili jiji huwa linatekwa kila siku?
Ahahahatulia we mmalekani wa tandaleView attachment 2190503
Bandari ndio kila kitu boss achana na majengoManeno ya Meya wa Mariupol baada ya mji kuanguka"Nasikia warusi wanajisifia kukamata mji wa Mariupol,wameuwa watu zaidi ya elfu 10 na kubomoa asilimia 95 ya majengo yote.sasa hapo kuna mji gani wa kuchukua,mji usiokuwa na watu wala majengo"
Haya ni maneno ya mkosaji [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu comedian ana akili za kishoga pia.Kama hatouliwa na Urusi,atafute pa kuelekea.Waukraine watakuwa na kisasi naye ile mbaya.Mashamba yao ya ngano yamebaki jangwa na viwanda vya matajiri vimekuwa magofu.Ukraine imeisha si wampindue huyo comedi
Urusi wanakomaa na huu mji wa bandari Maana ndio umeshikilia uchumi na usalama mzima wa Ukraine.Bandari ndio kila kitu boss achana na majengo
Labda UKRAINE ashinde njaa na sio ashinde Vita.Ukraine inabidi ashinde hii vita ili apate compensation.
Compensation itatia ulemavu Urusi.
Ulemavu utamaanisha one "super power?" Down. This benefits USA and her allies.
So nafikiri watastep in
Laser guided. ...Kila kombora likitoka lina sura ya eneo na jengo linapokwenda kupiga.Linatua hapo hapo,Kitendo cha kuizamisha hii meli ya Russia, amin amin nawaambia! Ukraine imechezea moto.View attachment 2190722
Ushindi wa kuangamiza roho za wasio na hatia ama ushindi wa nini?Kwanza mrusi alikuwa akipigana vita vya kidugu, alipoona hawa jamaa wanaleta jeuri na yeye akaamua abadili mbinu na kupunguza huruma za udugu. Jirani gani huyu anayekuletea majambazi nyumbani kwako.