Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bitcoin mara nyingiHizo pesa zitatumwa au watazipata kwa njia gani bila kuonekana?
BitcoinHizo pesa zitatumwa au watazipata kwa njia gani bila kuonekana?
Km mazuzu. Wenzetu wanapiga pesa sisi kutongozana na kuuza suraYani tumekuw walevi ya hiyo mitandao kama [emoji38][emoji38]
Hii imetokea kwa wengi sana... na baadhi yao tatizo lilitatuliwa kwa ku badili pass code!Ukikubali kulipa wanakufahamisha ulipe kiasi gani na namna ya kulipa. Mara nyingi huwafanyia hivi matajiri lakini imeshamtokea Mbongo mdada ambaye tunafahamiana. Alinitumia request ya kuomba urafiki FB nikashangaa kwani namfollow na yeye ananifollow kwa kipindi kirefu. Nikamuuliza ni aje ananitumia friendship request mpya na ilhali tuko pamoja kipindi kirefu ndipo aliponiambia wachina wamempora FB account yake kuondoa jina lake na profile yake na kuweka ya KE wa kichina. Nikaingia kwenye ile account na kukuta kule ndani kila kitu ni cha yule dada wa Kibongo ila jina na profile zote za kichina.
Me mbona silipagi hata mia,,AMEPOTEZA PESA KIASI GANI KWA KUTOKUWA HEWANI?
Yani kwa Masaa machache hv jamaa kapoteza pesa ndefu hivi dah.Trilion 16 mzee,
wangebaki hivi kwa 3days..
kuna watu wangepata mimba.
kuna ndoa zingepata furaha.
kuna watu wangelala mapema.
Makazini ufanisi ungeongezeka.
kuna watu wangepunguza dhambi.
kuna watu wangelala muda wa kutosha.
nk, nk, nk, nk, nk.
Halafu kuna wappuuzi wanasema wazungu wanatuonea wivu.Yani kwa Masaa machache hv jamaa kapoteza pesa ndefu hivi dah.
Na bado hajashuka kwenye ile namba tano ya mtu tajiri duniani.dah makusanyo yetu mwaka mzima haya jamaa ndani ya 1hrs tu...dah dunia haiko fair kabisa...
Ila hajashuka nafasi ya 5 kama mtu tajiri duniani,kabaki pale pale.Yani kwa Masaa machache hv jamaa kapoteza pesa ndefu hivi dah.
Pesa za matangazo mkuu. Utakuja tu usikie pesa alizopotezaMe mbona silipagi hata mia,,
Hzo kapotezaje ss
Nadhani wamezidisha sana hii hasara kwa mawazo yangu.Trilion 16 mzee,
Nusu ya Budget yetu kwa mwaka dadeki...hapo ndo utajuta hujui..
Hackers wetu WA huku mbagala kazi Yao kubwa ni kuflash simu na kuingiza nyimbo Kwenye flashNa kuna tetesi accounts kibao wamiliki hawana access nazo. Wahuni waliohack wanataka pesa ndefu ili waziachie accounts hizo. Hawa Hackers wanataka turudi nineteen kweusi.