Mark Zuckerberg atangaza kurudi hewani mitandao yake

Mark Zuckerberg atangaza kurudi hewani mitandao yake

mimi ni mtumiaji wa mitandao pendwa ya mark zuckerberg ila nilifurahi sana kwa kitendo cha whatsapp, facebook na instagram kutoweka hewani na nimenuna kwa mitandao hiyo kurejea mapema hivi.

nilitaka angalau tukae mwezi mzima bila mitandao hiyo ili turudi kwenye maisha yetu halisi ya zamani.
 
mimi ni mtumiaji wa mitandao pendwa ya mark zuckerberg ila nilifurahi sana kwa kitendo cha whatsapp, facebook na instagram kutoweka hewani na nimenuna kwa mitandao hiyo kurejea mapema hivi.

nilitaka angalau tukae mwezi mzima bila mitandao hiyo ili turudi kwenye maisha yetu halisi ya zamani japo kwa mda.
Aliztumia kuingilia chaguz za bw. Vladmir, wakawapga fine Ila Bado, karbia mwez mzma wanatoa onyo azirekebshe, Langley wakamtia kiburi..kitu kzto kimemshukia kchwan🤯
Bahat ya Jack alshtuka mapem
 
Ila kwa maelezo ya mark alisema hakukuwa na hacking yeyote ni mitambo yao tu walikuwa wanaweka sawa ndipo ikawa hivyo.

Kuweka mitambo sawa inakuwa planned na unawataarifu watumiaji kwamba tunaweka mitambo sawa kwa kipindi flani na wakati huo huduma zinaweza kupata mushkeli.
 
Mm account yangu ya jf imepotea,nikijaribu login ina kataa ina command nisajili upya ,
 
Inasemekana alo sababisha hiyo soo kijana wa kichina 13 yrs ni hacker ( Sin Jiy Sui) ndio jana usiku kafanya vitu vyake any way bora tubadilshe mfumo wa mtandao hii ni hatari sana mitandao mitatu kumilikiwa na mmoja (FB .Insta. na whatssapp) jamani tubadilikeni ni ulevi toshaaa.
Ila jamaa yeye anasema hakukuwa na hacking.
 
mimi ni mtumiaji wa mitandao pendwa ya mark zuckerberg ila nilifurahi sana kwa kitendo cha whatsapp, facebook na instagram kutoweka hewani na nimenuna kwa mitandao hiyo kurejea mapema hivi.

nilitaka angalau tukae mwezi mzima bila mitandao hiyo ili turudi kwenye maisha yetu halisi ya zamani japo kwa mda.
Haujui watu jana tumekosa good night huko WhatsApp
 
Kuweka mitambo sawa inakuwa planned na unawataarifu watumiaji kwamba tunaweka mitambo sawa kwa kipindi flani na wakati huo huduma zinaweza kupata mushkeli.
Huenda kuna kitu ameficha ili asiinekane hayupo sawa kimtandao au huenda hakutegemea alichokuwa akifanya kama kitasababisha kuzima kwa mitambo.
 
Huenda kuna kitu ameficha ili asiinekane hayupo sawa kimtandao au huenda hakutegemea alichokuwa akifanya kama kitasababisha kuzima kwa mitambo.

Ndio maana waliomakini hua wanatoa taarifa hata kama ikitokea hitilafu imeathiri watu, wanakua wamejiandaa.

Kuna kitu hataki kukisema au kukiweka wazi.
 
Ndio maana waliomakini hua wanatoa taarifa hata kama ikitokea hitilafu imeathiri watu, wanakua wamejiandaa.

Kuna kitu hataki kukisema au kukiweka wazi.
Huenda kuna shambulio limempata vyema sema hakutaka kuweka wazi.
 
Ila jamaa yeye anasema hakukuwa na hacking.
Kwani waga wanasema ukweli sasa..!? Ingekua ni schedule ya system maintenances lazima ange alert watumiaji mapema.

Ila inaonekana kabisa kapigwa tukio penyewe..
 
Yaani 6 bil in few hours, je anatengeneza sh ngapi kwa mwezi.. ? aaa wacha nikaombe adv salary nikapunguze ada.
 
Hizo pesa zitatumwa au watazipata kwa njia gani bila kuonekana?
Bitcoin ni njia nzuri sana kupitishia pesa za wizi na magendo kwa scammers wa mitandaoni. Hii ni kwa sababu miamala yake ni secured, irreversible & untraceable! Na haina central bank system hakuna anaesimamia wala kuicontrol.

Ndiyo njia pekee ya malipo hata huko Darkweb kwa wakora walishindikana, Ukitapeliwa kupitia miamala ya Bitcoin hata usihangaike kufatilia pesa, endelea na maisha mengine tu..
 
Back
Top Bottom