Mark Zuckerberg Mmiliki wa Facebook Akiri Kuchakachua Taarifa za COVID-19 Kwa Shinikizo la Biden

Mathanzua njoo baba wameanza kukuelewa.
Asante kwa kuni-tag mkuu.Nilipiga kelele sana,nikatukanwa na kuitwa majina.Walionielewa hongera zenu,ambao hamkunielewa mkachanja poleni sana,damu zenu sidaiwi.Kuhusu Mpox nimeshasema msichanje.Tunachoambiwa ni Mpox,sio Mpox,ni side effect ya Covid Vaccines.
 
Aliyofanya Magufuli ilikuwa ni UPUMBAVU mtupu ndiyo maana hata yeye mwenyewe akaondoka kwa COVID-19 hiyo hiyo aliyokuwa ana i-downplay
 
Aliyofanya Magufuli ilikuwa ni UPUMBAVU mtupu ndiyo maana hata yeye mwenyewe akaondoka kwa COVID-19 hiyo hiyo aliyokuwa ana i-downplay
 
Sijaelewa Mark alichuja vipi taarifa. Kwamba facebook team wana akaunti facebook ambapo wanachujia taarifa au wanahariri taarifa za members wa fb?
 
Aliyofanya Magufuli ilikuwa ni UPUMBAVU mtupu ndiyo maana hata yeye mwenyewe akaondoka kwa COVID-19 hiyo hiyo aliyokuwa ana i-downplay
 
Magufuli alifanya vyema sana kwenye Covid19. Alikiwa sahihi kabisa.
 
Facebook waliwahi kunipa account restrictions kwa kusema upuuzi wao wa against our community standards kwa kuandika juu ya covid
 
Kamati ya maadili ya chama cha Demokrasia huko USA imhoji Biden kuhusiana na hilo.
 
Sijui ni kutokujua Kiingereza?
Tanzania Ndio tuliongoza kuchuja taarifa. Hata taarifa za waliokuwa wanaumwa au kufa zilifichwa.

Kwa USA walizuia contents nyingi za kuigiza na utani kuhusu Covid.
Kwa Mfano mtu anatoa utani kwamba Covid wanakufa dhaifu hizo info ndio zilichujwa ili watu wafuate ushauri wa serikali ambao ulikuwa unazuia vifo.

Kwa USA inatakiwa waandishi wa habari wasisikilize serikali. Wafuate sheria zao za ndani.

Hii taarifa hautakuwa na madhara makubwa kwenye uchaguzi.
 
Baraza la madiwani jiji la New York limchukulie hatua Mark Zuckerberg.
Kwa nini limchukulie hatua,kwanza tunapaswa kumshukuru kwa kusema ukweli.Halafu hatuna budi kukumbuka kwamba he was under pressure from extremely powerful forces,may be even Satan himself.
 
Unajua kwa nini haitakuwa na madhara,simply because Americans are zombies.Infact mimi nasema,WHO,American CDC,World Governments, Pharmaceutical Companies,Doctors worldwide etc.ni collaborators katika human genocide as a result of Covid Vaccinations.Tatizo tulilo nalo ni nani amfunge Paka kengele?Inaumiza sana frankly.This is a very unjust World.
 
Mbona alikufa sasa kama COVID-19 denier ? Angefanya vizuri isingemuua
Wewe ni mtu mjinga mno. Kifo hakina uhusiano na chochote wala yeyote. Mbona wewe na ujinga wako wote bado uko hai ila kuna magenius wanaiaga dunia?
 
Aliyofanya Magufuli ilikuwa ni UPUMBAVU mtupu ndiyo maana hata yeye mwenyewe akaondoka kwa COVID-19 hiyo hiyo aliyokuwa ana i-downplay
Hii imani ya kwamba Magufuli kafa kwa corona na sababu aliidharau corona ni imani ajabu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…