Mark Zuckerberg Mmiliki wa Facebook Akiri Kuchakachua Taarifa za COVID-19 Kwa Shinikizo la Biden

Mark Zuckerberg Mmiliki wa Facebook Akiri Kuchakachua Taarifa za COVID-19 Kwa Shinikizo la Biden

Mathanzua njoo baba wameanza kukuelewa.
Asante kwa kuni-tag mkuu.Nilipiga kelele sana,nikatukanwa na kuitwa majina.Walionielewa hongera zenu,ambao hamkunielewa mkachanja poleni sana,damu zenu sidaiwi.Kuhusu Mpox nimeshasema msichanje.Tunachoambiwa ni Mpox,sio Mpox,ni side effect ya Covid Vaccines.
 
Wewe ndio upo nyuma hukumuelewa magufuli

Kitendo cha uwepo wa COVID 19 BONGO kiliathiri saikolojia ya nchi nzima mpaka uchumi kabisa

Ili kulitibu taifa lazima utumie silaha ya imani TIBA YA DINI

Hao maboss wa NRMI akina mwele malechela ni kweli walichalenjiwa kwa kupelekewa sample za mapapai na damu ya mbuzi magufuli alifanya jambo jema sana

Tiba ya mvuke ni tiba asilia inatibu magonjwq mengi mpaka sasa inatumika huku bariadi sema wengi mmekulia mjini hamjui ya mikoani
Aliyofanya Magufuli ilikuwa ni UPUMBAVU mtupu ndiyo maana hata yeye mwenyewe akaondoka kwa COVID-19 hiyo hiyo aliyokuwa ana i-downplay
 
Wewe ndio upo nyuma hukumuelewa magufuli

Kitendo cha uwepo wa COVID 19 BONGO kiliathiri saikolojia ya nchi nzima mpaka uchumi kabisa

Ili kulitibu taifa lazima utumie silaha ya imani TIBA YA DINI

Hao maboss wa NRMI akina mwele malechela ni kweli walichalenjiwa kwa kupelekewa sample za mapapai na damu ya mbuzi magufuli alifanya jambo jema sana

Tiba ya mvuke ni tiba asilia inatibu magonjwq mengi mpaka sasa inatumika huku bariadi sema wengi mmekulia mjini hamjui ya mikoani
Aliyofanya Magufuli ilikuwa ni UPUMBAVU mtupu ndiyo maana hata yeye mwenyewe akaondoka kwa COVID-19 hiyo hiyo aliyokuwa ana i-downplay
 
Sijaelewa Mark alichuja vipi taarifa. Kwamba facebook team wana akaunti facebook ambapo wanachujia taarifa au wanahariri taarifa za members wa fb?
 
Wewe ndio upo nyuma hukumuelewa magufuli

Kitendo cha uwepo wa COVID 19 BONGO kiliathiri saikolojia ya nchi nzima mpaka uchumi kabisa

Ili kulitibu taifa lazima utumie silaha ya imani TIBA YA DINI

Hao maboss wa NRMI akina mwele malechela ni kweli walichalenjiwa kwa kupelekewa sample za mapapai na damu ya mbuzi magufuli alifanya jambo jema sana

Tiba ya mvuke ni tiba asilia inatibu magonjwq mengi mpaka sasa inatumika huku bariadi sema wengi mmekulia mjini hamjui ya mikoani
Aliyofanya Magufuli ilikuwa ni UPUMBAVU mtupu ndiyo maana hata yeye mwenyewe akaondoka kwa COVID-19 hiyo hiyo aliyokuwa ana i-downplay
 
Hata Magufuli alichezea taifa za Covid kupita maelezo. Habari za kupima mapapai na oil chafu, kutangazia taifa kuwa Covid 19 imetokomezwa kwa maombi ya dini zote, kuweka mtambo wa kufukiza pale Muhimbili nk vyote hivyo vilikuwa ni vitendo viovu vya kuchezea taarifa.
Magufuli alifanya vyema sana kwenye Covid19. Alikiwa sahihi kabisa.
 
View attachment 3080776View attachment 3080777
Amekiri kwa maandishi mbele ya Kamati ya Sheria ya Bunge la Marekani kuwa mwaka 2021 walikubali shinikizo la White House kuchuja baadhi ya taarifa.

Full text kutoka CNN iko hapa:-


1. Je hii itamuacha salama Kamala Harris kwenye kampeni
zake?
2. Je hatia ya Mark Zuckerberg ina ina tofauti gani na Pavel Durov wa Telegram?
Facebook waliwahi kunipa account restrictions kwa kusema upuuzi wao wa against our community standards kwa kuandika juu ya covid
 
Kamati ya maadili ya chama cha Demokrasia huko USA imhoji Biden kuhusiana na hilo.
 
Sijui ni kutokujua Kiingereza?
Tanzania Ndio tuliongoza kuchuja taarifa. Hata taarifa za waliokuwa wanaumwa au kufa zilifichwa.

Kwa USA walizuia contents nyingi za kuigiza na utani kuhusu Covid.
Kwa Mfano mtu anatoa utani kwamba Covid wanakufa dhaifu hizo info ndio zilichujwa ili watu wafuate ushauri wa serikali ambao ulikuwa unazuia vifo.

Kwa USA inatakiwa waandishi wa habari wasisikilize serikali. Wafuate sheria zao za ndani.

Hii taarifa hautakuwa na madhara makubwa kwenye uchaguzi.
 
Baraza la madiwani jiji la New York limchukulie hatua Mark Zuckerberg.
Kwa nini limchukulie hatua,kwanza tunapaswa kumshukuru kwa kusema ukweli.Halafu hatuna budi kukumbuka kwamba he was under pressure from extremely powerful forces,may be even Satan himself.
 
Sijui ni kutokujua Kiingereza?
Tanzania Ndio tuliongoza kuchuja taarifa. Hata taarifa za waliokuwa wanaumwa au kufa zilifichwa.

Kwa USA walizuia contents nyingi za kuigiza na utani kuhusu Covid.
Kwa Mfano mtu anatoa utani kwamba Covid wanakufa dhaifu hizo info ndio zilichujwa ili watu wafuate ushauri wa serikali ambao ulikuwa unazuia vifo.

Kwa USA inatakiwa waandishi wa habari wasisikilize serikali. Wafuate sheria zao za ndani.

Hii taarifa hautakuwa na madhara makubwa kwenye uchaguzi.
Unajua kwa nini haitakuwa na madhara,simply because Americans are zombies.Infact mimi nasema,WHO,American CDC,World Governments, Pharmaceutical Companies,Doctors worldwide etc.ni collaborators katika human genocide as a result of Covid Vaccinations.Tatizo tulilo nalo ni nani amfunge Paka kengele?Inaumiza sana frankly.This is a very unjust World.
 
Mbona alikufa sasa kama COVID-19 denier ? Angefanya vizuri isingemuua
Wewe ni mtu mjinga mno. Kifo hakina uhusiano na chochote wala yeyote. Mbona wewe na ujinga wako wote bado uko hai ila kuna magenius wanaiaga dunia?
 
Aliyofanya Magufuli ilikuwa ni UPUMBAVU mtupu ndiyo maana hata yeye mwenyewe akaondoka kwa COVID-19 hiyo hiyo aliyokuwa ana i-downplay
Hii imani ya kwamba Magufuli kafa kwa corona na sababu aliidharau corona ni imani ajabu sana.
 
Back
Top Bottom