Mark Zuckerberg wa Facebook na Genius Kadungure “Ginimbi” walizaliwa 1984 na wote walikuwa matajiri

Mark Zuckerberg wa Facebook na Genius Kadungure “Ginimbi” walizaliwa 1984 na wote walikuwa matajiri

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Wakati utajiri wa Mark Zuckerbergs unafikia US $ 100 bn utajiri wa Genius Kadungure ulikua kati ya US$ 10-100 million. Vijana hawa walizaliwa mwaka mmoja. Mmoja akiwa mwanzilishi wa Facebook mwingine biashara zake nyingi hazikua zinajulikana.

Genius alimiliki magari ya kifahari na kuishi katika nyumba ya kifahari. Mark Zuckerbergs anaishi maisha ya kawaida sana. Hana mlundikano wa magari. Anatoa sana pesa kusaidia wenye uhitaji.

Waafrika tukipata pesa kidogo huwa tunapenda kuishi maisha ya kuwaonyesha wengine tulivyonavyo. Hao tunaowaonyesha wengi wanaishi maisha ya chini hata mahitaji muhimu wanakosa.


 
Kuna watu wangapi wamezaliwa kitaa ktk mwaka huo na hawana kitu au unauhakika gani walio zaliwa mwaka huo ni hao tuu matajiri. Wewe unatakiwa viboko vya nguvu
 
Waafrika tukipata pesa kidogo cha kwanza ni kulazimisha kufa!Imagine yule sijui billionea Ginimbi wa Zimbabwe yeye kila siku ni kuendesha gari rafu na kwa speed kubwa bila kujali ya kwamba kuna kifo hadi gari ilipompiga kiberiti na kufa hapo hapo
 
Waafrika tukipata pesa kidogo cha kwanza ni kulazimisha kufa!Imagine yule sijui billionea Ginimbi wa Zimbabwe yeye kila siku nikuendesha gari rafu na kwa speed kubwa bila kujali ya kwamba kuna kifo hadi gari ilipompiga kiberiti na kufa hapo hapo
Na wewe viboko vya makalio vinakuhusu, kwani Paul Walker alikufaje? Waafrika hebu tuache kuji undermine hiyo ilikuwa ajali kama ajali zingine
 
Waafrika tukipata pesa kidogo cha kwanza ni kulazimisha kufa!Imagine yule sijui billionea Ginimbi wa Zimbabwe yeye kila siku ni kuendesha gari rafu na kwa speed kubwa bila kujali ya kwamba kuna kifo hadi gari ilipompiga kiberiti na kufa hapo hapo
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi yupo mtu anayelazimisha kufa?
 
jitiada azizidi bahati..
sametime kufanikiwa sana ni bahati tu na mipango ya mungu.
kuna masikin kibao kwa siku wanaingiza ef10 na wanasave ef9 wanatumia buku tu lkn kuna watu wanaingiza laki na kutumia iyo iyo laki lkn ndo wanafanikiwa zaid kuwa na magar na majumba mazur...
 
Waafrika tukipata pesa kidogo cha kwanza ni kulazimisha kufa!Imagine yule sijui billionea Ginimbi wa Zimbabwe yeye kila siku ni kuendesha gari rafu na kwa speed kubwa bila kujali ya kwamba kuna kifo hadi gari ilipompiga kiberiti na kufa hapo hapo
Kauwawa yule
 
nadhani maisha ya Ginimbi yalikuwa sahihi, hata mimi nikipata pesa nitaishi vile kasoro sitoonesha kwenye social media kwa sababu sipendi sana kuonekana na watu
huyo mmiliki wa facebook katokea maisha mazuri hivyo na pengine hana taste ya magari au vitu vya fahari lakini tukumbuke anatumia millions kujirinda, yani mtu yeyote anayetokea maisha ya kimasikini akipata pesa lazima azifurahie mfano mike Tyson alikuwa mtoto wa mtaani asiyeweza kumudu hata chakula lakini alipopata pesa ali spendi hasa,Michael jackson nae amekulia kwenye kijumba kidogo na umasikini mkubwa lakini alipopata pesa choo chake kilikuwa kikubwa kuliko nyumba aliyozaliwa, hata steve jobs alikuwa mzungu lakini alibadili gari za kifahari kila baada ya miezi 6 tu
hivyo basi nahitimisha kwa kusema umasikini unatuathiri sana mimi simshangai mtu kuishi vyovyote vile
 
Ukipata pesa tumia ufurahishe nafs maisha ni mafupi
 
nadhani maisha ya Ginimbi yalikuwa sahihi, hata mimi nikipata pesa nitaishi vile kasoro sitoonesha kwenye social media kwa sababu sipendi sana kuonekana na watu
huyo mmiliki wa facebook katokea maisha mazuri hivyo na pengine hana taste ya magari au vitu vya fahari lakini tukumbuke anatumia millions kujirinda, yani mtu yeyote anayetokea maisha ya kimasikini akipata pesa lazima azifurahie mfano mike Tyson alikuwa mtoto wa mtaani asiyeweza kumudu hata chakula lakini alipopata pesa ali spendi hasa,Michael jackson nae amekulia kwenye kijumba kidogo na umasikini mkubwa lakini alipopata pesa choo chake kilikuwa kikubwa kuliko nyumba aliyozaliwa, hata steve jobs alikuwa mzungu lakini alibadili gari za kifahari kila baada ya miezi 6 tu
hivyo basi nahitimisha kwa kusema umasikini unatuathiri sana mimi simshangai mtu kuishi vyovyote vile
Kuna Damon Dash rafiki wa P Diddy anabadili pair ya raba kila siku na harudii tena.
 
Kuna Damon Dash rafiki wa P Diddy anabadili pair ya raba kila siku na harudii tena.
Pair ya Raba mimi meek Mill mwenyewe nabadili.na Nipo Gogo La Mboto hapa.@Sky Eclat unaniangusha bhanaa
 
Back
Top Bottom