Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tulishaahidiana hadi nikupe lift kwenye ile ndinga yangu halafu unanikana tena?!
Tulishaahidiana hadi nitakupa lift kwenye hii ndinga yangu halafu unanikana tena?!Kwani nani amesema mdogo wako [emoji1787]??
[emoji3]Nimekubali
Sitaki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tulishaahidiana hadi nikupe lift kwenye hii ndinga yangu halafu unanikana tena?!View attachment 1631691
Kwenye hiyo ndinga yangu mimi nitakaa kulia halafu mdogo wangu Saint Anne atakaa kushoto halafu nyuma tutaweka soda zetu za kulia chakula jioniSitaki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpe "Ni yeye"
Kila week nabadili demu na sirudii demu mara mbili mbona hamniongelei
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwenye hiyo ndinga yangu mimi nitakaa kulia halafu mdogo wangu Saint Anne atakaa kushoto halafu nyuma tutaweka soda zetu za kulia chakula jioni
Hupendi safari kisa ndinga inafanana na kitimoto?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi sipendi safari,hata Kama ni fupi.
Sipendi safariHupendi safari kisa ndinga inafanana na kitimoto?
Tatizo ni sisi kutaka kumpangia mtu namna ya kutumia pesa yake binafsi, na hili sio sahihi. Tunaacha kufuatilia matumizi ya kodi zetu, tunaanza kuchungulia matumizi ya mtu.nadhani maisha ya Ginimbi yalikuwa sahihi, hata mimi nikipata pesa nitaishi vile kasoro sitoonesha kwenye social media kwa sababu sipendi sana kuonekana na watu
huyo mmiliki wa facebook katokea maisha mazuri hivyo na pengine hana taste ya magari au vitu vya fahari lakini tukumbuke anatumia millions kujirinda, yani mtu yeyote anayetokea maisha ya kimasikini akipata pesa lazima azifurahie mfano mike Tyson alikuwa mtoto wa mtaani asiyeweza kumudu hata chakula lakini alipopata pesa ali spendi hasa,Michael jackson nae amekulia kwenye kijumba kidogo na umasikini mkubwa lakini alipopata pesa choo chake kilikuwa kikubwa kuliko nyumba aliyozaliwa, hata steve jobs alikuwa mzungu lakini alibadili gari za kifahari kila baada ya miezi 6 tu
hivyo basi nahitimisha kwa kusema umasikini unatuathiri sana mimi simshangai mtu kuishi vyovyote vile
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi sipendi safari,hata Kama ni fupi.
Nakusikilizadear emu njoo PM
Uyu Ginimbi muda wake ulikuwa bado tu wakujulikana pesa zake anavyozipata kihuni bora kaondoka mapema maana angeenda kuozea jela tena nje ya Africa, utajiri wake utakuwa ni kama wa kina Hushpuppi tu , sema biashara ya Gas ilikuwa ni kuzugia tuWakati utajiri wa Mark Zuckerbergs unafikia US $ 100 bn utajiri wa Genius Kadungure ulikua kati ya US$ 10-100 million. Vijana hawa walizaliwa mwaka mmoja. Mmoja akiwa mwanzilishi wa Facebook mwingine biashara zake nyingi hazikua zinajulikana.
Genius alimiliki magari ya kifahari na kuishi katika nyumba ya kifahari. Mark Zuckerbergs anaishi maisha ya kawaida sana. Hana mlundikano wa magari. Anatoa sana pesa kusaidia wenye uhitaji.
Waafrika tukipata pesa kidogo huwa tunapenda kuishi maisha ya kuwaonyesha wengine tulivyonavyo. Hao tunaowaonyesha wengi wanaishi maisha ya chini hata mahitaji muhimu wanakosa.
Google-Ergebnis für https://i.ytimg.com/vi/EB5VPkylGRY/sddefault.jpg
images.app.goo.gl
Ninachukia sana maisha ya show-off kwa wale wanaofanya kwa makusudiWaafrika tukipata pesa kidogo huwa tunapenda kuishi maisha ya kuwaonyesha wengine tulivyonavyo.
Wayahudi husisitiza nidhamu kwenye pesa.Wakati utajiri wa Mark Zuckerbergs unafikia US $ 100 bn utajiri wa Genius Kadungure ulikua kati ya US$ 10-100 million. Vijana hawa walizaliwa mwaka mmoja. Mmoja akiwa mwanzilishi wa Facebook mwingine biashara zake nyingi hazikua zinajulikana.
Genius alimiliki magari ya kifahari na kuishi katika nyumba ya kifahari. Mark Zuckerbergs anaishi maisha ya kawaida sana. Hana mlundikano wa magari. Anatoa sana pesa kusaidia wenye uhitaji.
Waafrika tukipata pesa kidogo huwa tunapenda kuishi maisha ya kuwaonyesha wengine tulivyonavyo. Hao tunaowaonyesha wengi wanaishi maisha ya chini hata mahitaji muhimu wanakosa.
Google-Ergebnis für https://i.ytimg.com/vi/EB5VPkylGRY/sddefault.jpg
images.app.goo.gl