wee jamaa umeuaKm Jina Langu
Naona mpenzi wangu ka-like picha ya mwana, safi tutafika tu.
Sasa gari zote hizo za nini?
Hahahahahahaha nimecheka sanaKm Jina Langu
Itakuwa wanavuta bange na kusahau majukumukumbe dar kuna vijana wanapesa hivyo? mbona vijana wa Dar wa hapa jf wamejichokea sana
Kako apeche a lolo sasa! Fanya mchezo na Magu..Hizi caption ni za enzi ya jk , weka za magu mkuu [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Julius Magembe=Nyani NgabuNN hapa umeyumba ....siwaona mpka usajili wa hayo magari plate number zake zina majina gani ??
Aaah mimi nilizani anauza madini ya nandyAnauza madini ya ruby
shishi chillAnafanya biashara gani inayomuingizia kipato? TRA inamtambua?
Mimi wa koromije..Ndo nini hii mkuu?shishi chill