Marley Dollars $$ kijana anayetingisha Bongo kwa Mandinga makali

Ana ushirika wowote na bashite?
Kama hana basi, bashite lazima amuonjeshe kibga!
 
Kumiliki hizo gari zoote jamani na kama hana a huge registered known company, ntabaki najiuliza maswali tu.

na lazima yoooote yawe yanalenga kwenye kuuza ngano!!! Au utapeli flani au amerithi kama motel!!!


Vijana wengine muige basi[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Una maswali mengi na bado hujapata jibu unatoa ushauri vijana waige. Waige kipi toa ufafanuzi
 
Wakuu ni serious Ngada inaweza ikamfanya mtu awe ina utajiri kama huu nchi masikini kama Tanzania? Utajiri wa Ngada nilijua uko kwa wenzetu Colombia, Mexico, Marekani n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…