Julius Magembe
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 284
- 394
Hivi kwanini mleta uzi asipige yote kwa pamoja yakiwa yame-park
Na picha tu don’t mean shit!
Wengi tu wanaweza kupiga picha na magari.
Kupiga picha na magari haimaanishi ndo unayamiliki.
Heck, hata kuendesha tu gari haimaanishi ndo unalimiliki.