Julius Magembe
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 284
- 394
Hivi kwanini mleta uzi asipige yote kwa pamoja yakiwa yame-park
HahahahahahahahahahahahahaNkazan ana trade Forex
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona mpenzi wangu ka-like picha ya mwana, safi tutafika tu.
Hizo namba umeona zimesajiliwa kwa jina gani au umeamua kuropoka bila kushirikisha macho mkuuNa picha tu don’t mean shit!
Wengi tu wanaweza kupiga picha na magari.
Kupiga picha na magari haimaanishi ndo unayamiliki.
Heck, hata kuendesha tu gari haimaanishi ndo unalimiliki.
Fundi makenika ana private namba jamaa pointi zako bwana. Toka nje ya box think big
Utaambiwa forexHili ndilo swali la msingi.
Ni kazi gani haswa inayomuweka mjini
Ayayayaya jamaa sikuwezi aisee wivu mbaya sana mbona jamaa anajulika sana tu.
Basi na hilo jumba lake kapigia tu picha aya
Sure anaonekana mshamba mshamba haendani na wanavyo tuahabarisha ni Mali ZakeAsije akawa ni fundi makenika au dereva tu...
Usibishe sasa huyo mtu wengine tumeanza mjua toka enzi za Vasco da Gama!..Nyie wakuja na kulalamika 'maigizo' kaeni kimya kuna watu wanalijua jiji kabla yenu!..Wivu wa nini sasa?
Kwanza simjui kabisa huyo mtu.
Leo ndo kwanza nimeona picha zake.
Hakuna wivu hapa. Jaribu jingine.