Kuridhika ni ngumu ila kidogo atapunguza shobo (kiherehere) kwa wenye nazo.We wanawake unawajua vizur ww, usikute demu wa mshikaji anatamani maliza davido, ama mtoto wa bakhresa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kama unasaka pesa saka kwa nguv zote kwa ajili ya familia yako hasa mama mzazi, na wanao, usisake pesa ili umkamate mwanamke utajiongopea, nafs ya wanadamu kuridhika ni mtihani kidogo.
Mkuu niwe mkweli kabisa mimi sitafuti pesa ili nimtulize mwanamke, hata wanangu wakikua nitawachana wapambane wasitegemee kurithi kwangu, ndio sembuse mwanamke, mpaka hapa nilipofika ama maisha niliyonayo namshukuru mwenyezi mungu, naongeza kutafuta mkwanja kukidhi haja/matamanio ya nafsi yangu tu, nafsi yangu siitimizii 100% ndio nitatimizia nafsi ya mwenzangu!!Kuridhika ni ngumu ila kidogo atapunguza shobo (kiherehere) kwa wenye nazo.
Tafuteni pesa kwa bidii walau itapunguza maumivu kwa wapenzi wenu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Akifa na yeye mademu wataomboleza sana
Mishe yake wewe ya nini?dogo katisha vipi ana mishe gani hapa town
UVCCM KWA UMBEA HAMJAMBOBavicha bwana..
Kila jambo wao wanaponda tuu.
Basi hayo magari ni ya mbunge wa Ars mjini
Msumbiji hakuna muuza madin wa hivyi kutoka tanzania wauza madin wa musumbiji wote nawajua na ni wasukuma, wanyakusa na mpale mmojaAnauza madini ya ruby
mwana mbona km unampigia promo huyu Msela? Kuna vijana wanapesa zaidi hata ya huyo au kwa kuwa hawana life la kwenye social Network,,,fanya research yako kwa umakini
Mzee acha chuki kwa vijana.Ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada
Kkkkkkkkkk stpd niggaKm Jina Langu
Pesa haziji ofisini lzm uzame fieldUnaumri gani? Sijakaririshwa natambua... Mwenye PESA anakaa officen haendi porini kijana... Anakuwa na vijana wake kila sector na section..
Anapingana na kanuni ya malaika kutakiwa kuishi km shetani, ajiandae kupokea wagen to TRA na uhamiajmsije mkamponza bashite na kundi lake wakaamza kumtengenezea zengwe.
Asante kwa taarifa serikali imeshamuona itamshughulikiaUkiongelea kijana mwenye magari makali bongo wengi watakuambia Diamond ila wachache sana hawajui mondi hayupo hata kwenye top 100 ya vijana wakali wa town kwa mandinga makali.
Huyu hapa ni kijana Marley dollars ukiacha jumba lake la maana ana miliki ndinga za maana sana mjini. View attachment 738210View attachment 738211View attachment 738212View attachment 738213View attachment 738214View attachment 738215View attachment 738216View attachment 738217View attachment 738218View attachment 738219View attachment 738220View attachment 738221View attachment 738223