Hizi akili zako za kuvukia barabara, nenda na wew ukasukume ngada kama ni simple kama unavyo dhani wewe teh teh wabongo bhana husda zitawauwa...mbona povu linawatoka wakuu??nimekaa huko miaka 6 nawajua vizuri wabongo hawana ishu zaidi ya kuuza sembe kama unataka njoo nikupeleke hatulopoki mzeebaba...mnalala porini we endelea kulala tu huko porini si unapambana na hali yako!!usifikiri kila mtu anatafuta hela ktk mazingira ya taabu..
Hivyo viwanda kakuaachia wewe ukajenge.. wabongo mnampagia mwanaume jinsi ya kutumia hela yakeBadala ajenge viwanda yeye kajaza magari nyumbani!akifa na magari yanakufa
Aisee, waswahili hao washammaliza jamaa .Kiasi watanzania tusiende mbele kimaendeleo,bila hata watu kumjua huyu dogo tayari wameshaijua kazi anayofanya,tayari wameshampa jina la muuza unga,...kesho kutwa polisi watakwenda nyumbani kwake kumpekua kama hawajamuona na kitu watamuwekea kidhibiti,ndio maisha ya Dogo yatakuwa yamemalizia hapo,,,,juhudi zake zote za kupambana ndio zitakuwa zimemalizika na kusahaulika..!!
Kwanini Watanzania tuko hivi,kuanzia Raisi wetu mpaka mtanzania wa maisha ya chini kabisa mawazo yetu yanafanana,tuko na chuki,wivu,choyo,uhasidi..!!
kwanini hatumuombei tu huyu Dogo azidi kufanikiwa,tujiombee na sisi vile vile tufanikiwe ili tusonge mbele katika masiha yetu ya kawaida pamoja na tunaowapenda zikiwemo na familia zetu
sasa kuuza ngada kuna ugumu gani??ni vile tunathamini maisha ya watu kuliko pesa..!!kwa nini niuze unga wakati nna ishu zingine halali kabisa zinazoniingizia hela??afu jitahidi usitoe povu take it easy...Hizi akili zako za kuvukia barabara, nenda na wew ukasukume ngada kama ni simple kama unavyo dhani wewe teh teh wabongo bhana husda zitawauwa...
TRA watamfanyaje labdaitakuwa kweli vipi TRA hawajawai kumuibukia kweli?
Mubi777 ni jina la mtu au id ya insta? Sasa mtu hata jina lake hulijui umeshajua kazi zake tukuamini vipiMBONA ANA UKARIBU NA PETIT MAN? PETIT NAYE NA NYANDU TOZI WANAENDA SANA SOUTH,PIA NIMEONA YUPO CLOSE SANA NA JAMAA MMOJA NA YEYE YUPO SOUTH MUBI777 WOTE NDIO TYPE HIZO HIZO.....BIASHARA ZA WABONGO SOUTH HUWA NI ZA MASHAKA WENGI WANA UNDUGU NA BAKHRESA WANASUPPLY UNGA.
Daah! Mkuu kiukweli hiki kizazi kina shidaaaa sana katika kutafakari yale yanayotekea katika maisha na kuyatolea ufafanuzi, hichi kizazi chetu wanachojua ni kuhukumu tu. Kiukweli huwa nachoka kabisa pale ambapo kila aliye na mafanikio anahusishwa kwamba amepata vitu hivyo kwa njia haramu.Kiasi watanzania tusiende mbele kimaendeleo,bila hata watu kumjua huyu dogo tayari wameshaijua kazi anayofanya,tayari wameshampa jina la muuza unga,...kesho kutwa polisi watakwenda nyumbani kwake kumpekua kama hawajamuona na kitu watamuwekea kidhibiti,ndio maisha ya Dogo yatakuwa yamemalizia hapo,,,,juhudi zake zote za kupambana ndio zitakuwa zimemalizika na kusahaulika..!!
Kwanini Watanzania tuko hivi,kuanzia Raisi wetu mpaka mtanzania wa maisha ya chini kabisa mawazo yetu yanafanana,tuko na chuki,wivu,choyo,uhasidi..!!
kwanini hatumuombei tu huyu Dogo azidi kufanikiwa,tujiombee na sisi vile vile tufanikiwe ili tusonge mbele katika masiha yetu ya kawaida pamoja na tunaowapenda zikiwemo na familia zetu
Hii si haki yao, hii ni mali yangu mimi, nina jeuri ya kufanya lolote, mirathi ni wema wa mzazi kwa watoto si kitu cha lazima, ni kwelihahahaaaa nafsi yangu siitimiziii ndio nitaitimizia ya mwenzangu "" ??!! sema hapo kwa watoto mkuu jitahidi tu uwape vyao hiyo nihaki yao ...maana hawakukuomba uwazae "" niwewe na migenye genye yako ndio iliyosbabisha kuwaleta ...so watengenezee maisha tafadhali
huyo jamaa ni Ngabu?.hahaaa"""
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Punguza wivu mkuuNaona mpenzi wangu ka-like picha ya mwana, safi tutafika tu.
Tatizo tumerithi kwa baba yetu,kama baba hataki kuona mtu ameendelea unategemea nin?Kiasi watanzania tusiende mbele kimaendeleo,bila hata watu kumjua huyu dogo tayari wameshaijua kazi anayofanya,tayari wameshampa jina la muuza unga,...kesho kutwa polisi watakwenda nyumbani kwake kumpekua kama hawajamuona na kitu watamuwekea kidhibiti,ndio maisha ya Dogo yatakuwa yamemalizia hapo,,,,juhudi zake zote za kupambana ndio zitakuwa zimemalizika na kusahaulika..!!
Kwanini Watanzania tuko hivi,kuanzia Raisi wetu mpaka mtanzania wa maisha ya chini kabisa mawazo yetu yanafanana,tuko na chuki,wivu,choyo,uhasidi..!!
kwanini hatumuombei tu huyu Dogo azidi kufanikiwa,tujiombee na sisi vile vile tufanikiwe ili tusonge mbele katika masiha yetu ya kawaida pamoja na tunaowapenda zikiwemo na familia zetu