Marley Dollars $$ kijana anayetingisha Bongo kwa Mandinga makali

Marley Dollars $$ kijana anayetingisha Bongo kwa Mandinga makali

Kwani hela inaota kama mchicha boi? Ndo kaanza zamani kuzisaka hadi leo hii kafika hapo we kwa sababu ulikuwa humfuatilii tangu zamani au?
Kwahiyo ww ulikuwa unamfuatilia maisha yake?,watz bado tuna safari ndefu aiseee
 
Ukiongelea kijana mwenye magari makali bongo wengi watakuambia Diamond ila wachache sana hawajui mondi hayupo hata kwenye top 100 ya vijana wakali wa town kwa mandinga makali.

Huyu hapa ni kijana Marley dollars ukiacha jumba lake la maana ana miliki ndinga za maana sana mjini. View attachment 738210View attachment 738211View attachment 738212View attachment 738213View attachment 738214View attachment 738215View attachment 738216View attachment 738217View attachment 738218View attachment 738219View attachment 738220View attachment 738221View attachment 738223
 
Mwaka 2022 i promise mtaweka picha yangu na mtanidiscus ksma huyo, kumbukeni jina langu naitwa Kanyela mumo.
 
Inaonékana pesa yake ni legit. Jamaa ni gemstones dealer. Kwa jinsi mambo yalivyo awamu hii wasingemwachia kama angekuwa muuza unga.
 
huyu jama nimetembelea profile yake instagram, anaonekana ni kijana aliyejitafutia mali zake kawa jasho lake,, mchakalikaji,,, wala sio muuza unga,,

aiseee yuko mbali sana ametuacha sanaaaa,,,

sio mtu wa kupenda chini,,

alafu alishaoa kitambo tuu,,,

anajielewa,
 
Umekaririshwa na bongo muvi kuwa kijana mwenye pesa lazima awe na muonekano wa kina ray kigosi na yule msomali? Mabrazameni wanajua wapi kusaka hela? Wagumu na watemi ndo wenye hela katika maisha ya kwelikweli. Huyo anaenda msumbiji maporini huko kusaka madini bitozi anaweza hayo?
kweli mzee baba, huyu jamaa sio mshamba, ni mjanja flani, sio wale akina marioo
 
Back
Top Bottom