Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

umeona eeeeh kama huna nauli kaa pembeni so uanze kutoa visingizio oohoo basi bovu,limejaa sana, linaweza kupinduka , n.k tunaita maneno ya kujifariji kwa kukosa ticketi
Okay! BASI HILO LINA UTULIVU, MARAHA YA KILA AINAAAA, NA STAREHE ZOOTE ZA DUNIANI, WALIOMO HUMO HAWAJAPUNGUKOWA CHOCHOTEEEE, NA WOTE WANA MIOYO SAFIIII, WALA HAKUNA HATA MMOJA ATAEKOSA KUINGIA MAHALI PEMAAAAA! YEYOTE ABISHAE HILI HUYO NI MDHAMBI, HAKUNA TALAKA, HAKUNA WATOTO WA NJE, HAKUNA MICHEPUKOOO, HAKUNA KUTOKUELEWANA, HALI NI SHWARI JANUARY HADI DECEMBERR! Huu ndio ukweli halisi wa basi hiliiii, mtizamo mwingine wowote ni wa yule mpagani Lara 1.

HOPE THIS MAKES YOU SLEEP AT NIGHT! Hahaaaaaaa!
 

katika hiyo hiyo bible unaitumia kupata ndoa zilizozaa kash kash hakuna mifano ya ndoa nzuri tukaitumia kuprove ndoa is not hypocritical institution
 
Last edited by a moderator:

Huwa najiuliza,
Hivi kwenye ndoa ni KUVUMILIA au KUVUMILIANA?
 
anaponda ndoa wakat wanaparamia waume za wenzao wanajisifia mme wa mtu anahonga wakat wao wameshindwa kuingia kwenye ndoa.
Waume wa wenzetu SI WANA NDOA WENZENU AMA? Umeonaa kiwa Mume wa mtu afu anahonga wengine? Mmmmh!
KWELI NDOA NI NOBLE INSTITUTION!
 
kwi kwi kwi kwi ndo unataka kunitwisha zigo la kipa unipe point za bure bila jasho game inaendelea ustoke nje ya game kwa shingo upande like that viungo washambuliaji wapo mi muokota mipira usiniattack lol
 
anaponda ndoa wakat wanaparamia waume za wenzao wanajisifia mme wa mtu anahonga wakat wao wameshindwa kuingia kwenye ndoa.
Hebu soma tena ulichokiandika?
Hapo ndipo haswaaaa unafiki wa wanandoa ulipo.

Hapo hapo
 
Hivi mtu akitunukiwa nishani ya ufanyakazi bora,inamaanisha hakuwahi kukosea muda wote aliokuwa akifanya kazi?..tumuite mnafiki kwa kuwa kwake mfanyakazi bora?
Walioko kwenye ndoa ni wanadamu pia ...Sio malaika kusema hawakosei...to err is human....married or single.... Wote tunakosea. .na kukosea Sio unafiki matatizo pia lazima yasemwe
 
katika hiyo hiyo bible unaitumia kupata ndoa zilizozaa kash kash hakuna mifano ya ndoa nzuri tukaitumia kuprove ndoa is not hypocritical institution
Siku ni kija na mada MARRIAGE IS A NOBLE INSTITUTION nitalwta REFERENCE za hio topic! Au kifanya research ya advantages unaweka reference za disadavantages? We ukiona room for further research chukua postive endeleza hii topic.
 
GOOD POINT! Tukikubali wote tunakosea ndo UUNGWANAAAA YAKHEEEE! Sio hoja za jana NDOA NI NDOA HAIKOSEI, NA HATA IKIKOSEA HAIRUHUSIWI KUSEMA YANAMALIZWA KIMYA KIMYA! What is this?
 
The whole point ni hapo kwenye bold - Marriage is a very noble institution!
WITH NOT SO NOBLE PEOPLE, COMMON HUMANS WHO MAKE COMMON MISTAKES? Hahaaaaaaa! How can you separate man from his actions?
 
Wewe una kubaliana na mtoa mada!

Mkuu angalia hitimisho langu. Maana yangu kwa lugha nyepesi ni kwamba ndoa ina mambo mengi lakini yote hayo hayaondoi uhalali wake wa kuwa a very noble institution
 
kwi kwi kwi kwi ndo unataka kunitwisha zigo la kipa unipe point za bure bila jasho game inaendelea ustoke nje ya game kwa shingo upande like that viungo washambuliaji wapo mi muokota mipira usiniattack lol
Hii haikuwa kwenye ligi yetu, ilikuwa mwchi yako ya kirafiki na mgiriki, mi nikaingia kuchombezaa tu! Ligi yetu iko pale pale!
 
WITH NOT SO NOBLE PEOPLE, COMMON HUMANS WHO MAKE COMMON MISTAKES? Hahaaaaaaa! How can you separate man from his actions?

Marriage shall never be a union of saints. Its between human beings with all their shortcomings. The institution is a noble one all the same!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…