Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o


Toa msimamo wako. wapenda kuolewa weye?
 
katika hiyo hiyo bible unaitumia kupata ndoa zilizozaa kash kash hakuna mifano ya ndoa nzuri tukaitumia kuprove ndoa is not hypocritical institution
Kwa maneno haya umekubaliana na mtoa mada!
 

haija halalishwa na nani au nini??
unajua maana ya ''kama''?
Ndoa ni nini?
kwanini huo uzinzi haujahalalishwa?
kama haina jipya ina lipi?
niambe maana ya kuoa halafu niambie umeo au la**
nini kinafanywa ndani ya ndoa?
A+B is a value
but
A+B=Is a question to an answer
what makes you think you are conducting a marriage system
 
we ndio chanzo cha thread zoote hizi ujue....

huyo Christina mwambie asimsahau HOE

sio kweli huyo alikuwa na moyon toka kitambi ila alishindwa namna ya kuyatoa. Nilichokifanya mm ni kuwachokonoa kwa mawe
 
Kwani Sara aliridhia kiroho safi?
Kama kiroho safi mbona baadae aliwanyanyasa Hajra na mwanae??
 

Main point yangu ni kuwa KWENYE TAASIS HIO KUNA CHANGAMOTO PIA??? Sasa wengine hapa ndo wanapobishaaaa! Wanadai kule MAMBO TAMBARAREZZZ YOU KNOW! Huku tu Single ndo kuna changa moto?
 

Enheee!!!
REALITY nawe una ndoa????
Bhuhahahaaaa
 
Kwani Sara aliridhia kiroho safi?
Kama kiroho safi mbona baadae aliwanyanyasa Hajra na mwanae??
Mabishani ya BIBLE kuna MTU MZITO kaomba yasiwepo! Let it go! Tubishanie tu vingine!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…