unauliza swali gani ilhali unajua nakuungisha pale sansiro kila weekend
Rudi nyuma shetani
Mi nakuangalia tu. hapa sijui hapa ni ndoa au uhawara?
Hiyo ni default reasoning. Umeamua tuu kuamini hivyo.Ila kuvumiliana hakupogo kiukweli...
Mmoja awe mtumwa.
(Jamani msinipopoe)
Mkuu hapa unazungumzia umuhimu wa ndoa na si kama ndoa ni taasisi yenye unafiki au lah! Mtu kuolewa au kuto olewa hakuondoi ukweli wa hii taasisi kuwa hypo!Ndoa ni tamu sana. Take it from me my miss neddy. With time utakuja kujua na kuthibitisha. Ndoa inaonekana uchafu kipindi ambacho umri unaruhusu wanaume kukugeukia wakati unakatiza kitaa... kitakapofika kipindi wanaume wanaangalia chuchu saa sita wkt wewe umri umeelekea magharibi ndipo utakapojua babu ni ODM mimi.
We kamata mwingine. mi na Heaven on Earth hatujafahamiana kwenye dampo la Bunju.
kwi kwi ukimkamata nifanyie mpango wa firigisi zake tu lol cc Asprin
Yaah kumbe Kuna mabaya pia!
nakusubiri baba kijacho,
ndoa na iheshimiwe na watu wote lols..
Nitakuletea, nizikaushe?
Toa msimamo wako. wapenda kuolewa weye?
ushawahi kumkosea mkeo?
Hili sio jibu!
Fgo zako zitafaa kufanyiwa uchunguzi
yeah na pilipili kwa mbaliiiiiii
Una hoja nzuri sana lara 1.
Nikuombe tu ukajifunze juu ya watu hawa wawili halafu utajua kwa nini hoja yako inapingwa na wengi.
1. Robert Mugabe
2. Nelson Mandela
NB: Wote walikuwa maraisi wa kwanza wa nchi zao, walipigania uhuru wa nchi zao, walifungwa kwa ajili ya uhuru wa nchi zao.
hahahaha afu ujue kabaki na moja nyingine alishahonga zamaaaaani