Huu mstari muwe mnaunukuu wote kama ulivyoUtamu wa ndoa wanaujua waliopo ndoani. Ndoa na iheshimiwe na watu wote.
we ujajua tuu kama 'msimamo wako hauna tofauti na wa mtoa mada?ushawahi kumkosea mkeo?
Mmh... Sansiro???
Umechanganya, sijawahi kuhama Kimboka
Mkuu hapa unazungumzia umuhimu wa ndoa na si kama ndoa ni taasisi yenye unafiki au lah! Mtu kuolewa au kuto olewa hakuondoi ukweli wa hii taasisi kuwa hypo!
Hivi mtu akitunukiwa nishani ya ufanyakazi bora,inamaanisha hakuwahi kukosea muda wote aliokuwa akifanya kazi?..tumuite mnafiki kwa kuwa kwake mfanyakazi bora?
Walioko kwenye ndoa ni wanadamu pia ...Sio malaika kusema hawakosei...to err is human....married or single.... Wote tunakosea. .na kukosea Sio unafiki matatizo pia lazima yasemwe
Off topic
Refa nae ni mchezaji! Umeona Kuna jibu?we refariii?
Unafiki ni relative term. Tell me about it...
na je opposite ya hii taasisi hakuna unafiki? afu pima ukubwa wa unafiki na uchague kilicho bora.
Hivi tunaweza kujadili kama choo kinanuka au hakinuki? na je kunuka kwa choo kumesababishwa na mpikaji wa chakula, mlaji au mnyaji? Kuna vitu vingine vinahitaji logic zaidi kuliko mjadala.EVERY WOMAN NEEDS A MAN. Period.
Hivi Kaizer na Mentor wamepita hapa? na snowhite na Fixed Point?
ndoa ni kama basi la abiria wanaoingia humo kila mtu na tabia yake kama wakimisbehave wachunguzwe abiria husika na sio kusema basi zima hawana maana
na wewe umeingia kwenye mianasha.huu??
Hebu njoo ufanye uzalishaji.
Kumbe leo zamu yako? naja laaziz wa ODM. shusha neti.
Bila shaka unakubaliana na mtoa mada!Unafiki ni relative term. Tell me about it...
na je opposite ya hii taasisi hakuna unafiki? afu pima ukubwa wa unafiki na uchague kilicho bora.
Hivi tunaweza kujadili kama choo kinanuka au hakinuki? na je kunuka kwa choo kumesababishwa na mpikaji wa chakula, mlaji au mnyaji? Kuna vitu vingine vinahitaji logic zaidi kuliko mjadala. EVERY WOMAN NEEDS A MAN. Period . sasa basi huyo mwanaume anapaswa kuwa na cheo gani ili awe wako? kazi ni kwako.
Afu leo nimefuturu kabla ya muda. amehe mimi ewe mungu.
Hivi Kaizer na Mentor wamepita hapa? na snowhite na Fixed Point?
Finaly a logical response ila sababu na mie BIBLE KNOWLEDGE MAJOR twende mdogo mdogo!
Mimi nimesema Daudi hakuwa na NDOA TAMBARAREEE! Ndoa ilikuwa na mushkeli, na pia nilisema ALITUBU so umefanya tu repitition ya nilichokisema!
Ibrahim hakuwa mnafiki kwa sara JE MTOTO WAKE YULE MWINGINE? NA YULE MAMA WA MTOTO JE? Kweli hata wanandoa wa saivi wakitubu WATASAMEHEWA! Nimempa watu8 kifungu kile cha Samwell muhimu sanaa!
Eva alichomfanyia adamu ULE NI UPENDO EEEH!? Okay! Maana hata hio chapter ina interpretations nyingi sanaa!
Bible ina INTERPRETATIONS NYINGI SANAAA! Sitaki niongee watu wa dini wanishukie BOTTOM LINE WAS NOTION YA NDOA NI TAMBARARE SIO KWELI NDO MAANA NIKAKUONESHA NDOA ZILIZOZAA KASH KASH WITHIN NA KWA WATU WA NJE!
Huyo HAKIMU by profession
Unafiki ni relative term. Tell me about it...
na je opposite ya hii taasisi hakuna unafiki? afu pima ukubwa wa unafiki na uchague kilicho bora.
Hivi tunaweza kujadili kama choo kinanuka au hakinuki? na je kunuka kwa choo kumesababishwa na mpikaji wa chakula, mlaji au mnyaji? Kuna vitu vingine vinahitaji logic zaidi kuliko mjadala.EVERY WOMAN NEEDS A MAN. Period. sasa basi huyo mwanaume anapaswa kuwa na cheo gani ili awe wako? kazi ni kwako.
Afu leo nimefuturu kabla ya muda. şamehe mimi ewe mungu.
Hivi Kaizer na Mentor wamepita hapa? na snowhite na Fixed Point?
we ujajua tuu kama 'msimamo wako hauna tofauti na wa mtoa mada?
Kwa kifupi umekubaliana na mtoa mada..