muke ya muyahudi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 399
- 179
hahahahaaa my lungs plz spare them uwii""you narrow minded "",,so huo ndo uelewa wako..umeishia hapoo''okeyy now I understand you''i forgive you it ain't your fault hommy!""""!!,ofcz tupo tfauti level zangu bado Sanaa kumbe unatakaje sasaa nukuprovie kuwa am happily married au maana ushaanza kuongelea na status Status yangu ya ndoa heheheeh what's your point anyway'''Kuwa na hakika kuwa ni uelewa wangu au wa kwako ni mdogo...obvious yours!
Nisingesomeka usingeweza kujibu hata hicho ilichokiandika pia.
Comments zangu haziko kukubishia wewe ujifanyae una ndoa wakati sounds zako zote ni za kuchepukwa tu,naeleza nielewavyo mimi kwa uzoefu wangu na walioelewa uzi wa lara 1 kama mimi BASI.
Usilazimishe nikuelewe wakati hueleweki.
Sina muda wa kelele zako tena bse tunatofautiana sana tu.
Last edited by a moderator: