Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

Sara ndie aliemwambia mumewe akalale na mjakazi na halikuwa waz la mume, kuhusu kunyanyasa baadae ndo ujue wanadamu tunabadilika kinyonga ana afadhali!
 

Nakubaliana na hili
yani ukiwa na roho ndogo haki siku ya kitchen party au harusi unaeza kimbia ndoa lol
but kwangu (my opinion)siku hizi mabaya ya ndoa yanaongelewa zaidi kuliko mazuri,which makes it not a theoretical au rose like fantasy garden thing kama zamani na mtu akiaiingia anajua kabisa what you are getting into but at the same time ndoa is a blessing to some people
kama ingekua watu wanafiki leo kusingekua na usemi kuwa marriage ni institution pekee yenye kutoa cheti kabla ya mitihani
ish inatokea popote pale uwe single or married or umeamua kufuata celibacy na katika kufuata hiyo njia hakuna gurantee kuwa hakutakua na misukosuko
just live YOUR life.
 
Ngoja nifufue hili ⚰️.
hiki ni chakula cha watu wazima, so lets go guys...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…