Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
kuku wangu wa sikukuu kaliwa na mbwa, naombeni mwaliko.
Karibu kwa bibi yako!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuku wangu wa sikukuu kaliwa na mbwa, naombeni mwaliko.
Lipi ambalo halisemwi? Kwenye harusi nyingi mtu alikuwa akipewa nafasi ya nasaha ilikuwa lazima aanze kusema NDOA NI MSALABA,atapiga tantarita zote,mpka ikafika mahali watu wakakatazwa kusema hivyo wakihoji mbona mnatisha watoto hakuna jema kwenye ndoa?