Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

Tuanze hapo kwenye mifano ya kwenye bible uliyoitoa.
Kwanza Samson na Delilah hawakuwa wanandoa. nimeshangaa lengo lako ilikuwa ni ku'prove point yako lakini mfano umeutoa kwa watu ambao hawakuwa wanandoa. Ni kusudi au huijui bible?

Mkuu usihangaike na vifungu vya bible huko kwake ni giza nene asingeanzisha UZI kupinga na kukejeli kitu alichokianzisha Mungu mwenyewe na tunapomwambia ndoa na iheshimiwe na watu wote anafikiri ni maneno yetu,kumbe wenzie tunanena neno.

NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE.
 
Okay MY BAD KWA DELILA! WALIO BAKIA JE? Coz nimetaja wengi wa kutosha na kuonheza naweza!
Hiyo ilikuwa ni intro.

Back to the topic. Nimegundua kuna vitu viwili unavichanganya navyo ni moja, uvumilivu na pili ni unafiki.
unashindwa kutofautisha hivi vitu viwili.

Ukiona mtu anavumilia haimaanishi kuwa ni hypocryte. Sometimes inabidi umeze mate machungu. huo ndio unaitwa uvumilivu.

Hii ipo sehemu yeyote sio kwenye ndoa tuu hata katika normal friendship.
 
Amekwisha zoea kuzipima ndefu, fupi, nene,nyembamba kwa hiyo kumiliki moja hawezi tena kwa Ukahaba alio nao
Hahaaaaa! I guess your comment MAKES MARRIAGE A VERY NOBLE, SACRED INSTITUTION! Btw leo nimeruhusu kamuaaaa babaaa kamuaaaa! Toa nyongo yoooote idi ikukute msafiiii kama theluji!
 

Mimi nafyonza tuu leo...Mpunga lete, pumba tupa kulee...

Nachagiza tuu...Dahhh
 
Tuanze hapo kwenye mifano ya kwenye bible uliyoitoa.
Kwanza Samson na Delilah hawakuwa wanandoa. nimeshangaa lengo lako ilikuwa ni ku'prove point yako lakini mfano umeutoa kwa watu ambao hawakuwa wanandoa. Ni kusudi au huijui bible?

msamehe hajui anachokisema mbumbu huyu
 
hajui anachoongea huyo Dramaqueen
 

Wewe ndo unachanganya!

Turudi unakochanganya wewe

KWANINI MTU AVUMILIE. KITU? NA KWANINI UFANYE KITU SI CHA KUMFURAHISHA MWENZIO KIMFANYE AVUMILIE? UNAFIKI WA MTU MMOJA NDO UNALETA UVUMILIVU KWA MWENZIE! Na kitendo cha kuvumilia kujifanya umeridhika na kitu ama kile kitu kinachofanywa na mwenzio japo shubiri unajionesha uko poa tu pia ni UNAFIKI haijalishi unafanya kwa sake ipi.

UNAFIKI UNALETA MACHUNGU AMBAYO HUSABABISHA UVUMILIVU!

Exactly sehemu zingine hawafanyi dressing kuwa HALI NI TAMBARAREEEE! Wanakubali WAZI mahusiano ni changamoto! Kwa kukubali huko wazi kunawaondoa kutoka sifa ya BUNCH OF HYPOCRITES!
 

safi sana mkuu lakn hata ufundishe vp kunguru huwezi kumfuga atarudi porin tu na kupaona nyumban hapafai
 
Ndoa ni fumbo na kulifumbua uwe na mungu unless otherwise.......!
Ndoa na iheshimiwe na watu wote
 
 

Hahaaaaa! MKUKI KWA NGURUWEEE KWENU MCHUNGU! Usijisahaulishe Mgiriki wewe ndio CHIMBUKO HASWAAAAA LA YOTE HAYA!

Back to your point!

KWA HIO HII HOJA YAKO NDO INAFANYA MARRIAGE KUWA SACRED INSTITUTION? Okay! What a noble institution it is!
 
Hahaaaaaa! AFTER KILLING THE MESSENGER PLEASE ADRESS THE MESSAGE! Au uwezo wako ndo umeishia hapo.?
Hakuna message ya kuaddress, its a failure to launch

umechanganya madesa hadi yamekuchnganya

hujui ndoa ni nini.... I onced said ni makosa ya malezi mabaya, you ended up taking it personal

a smart person cant always be on attack, umetumika vibaya
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…