Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

Hakuna message ya kuaddress, its a failure to launch

umechanganya madesa hadi yamekuchnganya

hujui ndoa ni nini.... I onced said ni makosa ya malezi mabaya, you ended up taking it personal

a smart person cant always be on attack, umetumika vibaya

Okay i take this as your explanation to why MARRIAGE IS A VERY VERY NOBLE INSTITUTION! Hahahaaaaa! Need i say YOU SURPASSED MY EXPECTATIONS! Im beyond IMPRESSED! Hulalaaaaaaaaaaaa! What a noble institution it is!
 
ndoa ni kama basi la abiria wanaoingia humo kila mtu na tabia yake kama wakimisbehave wachunguzwe abiria husika na sio kusema basi zima hawana maana
Hahaaaa! MI SIJASEMA BASI ZIMA WANA MAANA AU HAWANA! ARGUMENT YANGU NI KUWA HUMOMMWENYE BASI SIO TAMBARAREEEEEEEE! Mna UNAFIKI UNAFIKI ndani yake kama hulka yetu binadamu!
 
Ntuzu muulize maswali huyu slat wa uswazi 😛
 
Last edited by a moderator:
Wewe ndo unachanganya! KWA HIO PALE KWA KING DAUDI UMEPAKUBALI SIO, FATHER ABRAHAM, ADAM WOTE UMEKOSA PA KUTOKEA!

Turudi unakochanganya wewe

KWANINI MTU AVUMILIE. KITU? NA KWANINI UFANYE KITU SI CHA KUMFURAHISHA MWENZIO KIMFANYE AVUMILIE? UNAFIKI WA MTU MMOJA NDO UNALETA UVUMILIVU KWA MWENZIE! Na kitendo cha kuvumilia kujifanya umeridhika na kitu ama kile kitu kinachofanywa na mwenzio japo shubiri unajionesha uko poa tu pia ni UNAFIKI haijalishi unafanya kwa sake ipi.

UNAFIKI UNALETA MACHUNGU AMBAYO HUSABABISHA UVUMILIVU!

Exactly sehemu zingine hawafanyi dressing kuwa HALI NI TAMBARAREEEE! Wanakubali WAZI mahusiano ni changamoto! Kwa kukubali huko wazi kunawaondoa kutoka sifa ya BUNCH OF HYPOCRITES!
Sikutaka kuingia sana kwa kina Daudi kwasababu nimegundua katika bible upo shalo. ningekupasua kichwa bure. Ahahah!

Hapo kwenye red ndipo tatizo lako lilipo. kwenye ndoa yeyote kati ya mwana ndoa anaweza akamkosea mwenziwe at any time so swala la kuvumiana ni la kwa wote na sio mmoja tuu ndiye awe wa kumvumilia mwenzake.

By the way binadamu hujifunza kutokana na changamoto, hivyo zinapotokea changamoto kwenye ndoa ndiyo zinafanya ndoa iwe strong.

Na ili ujifunze kutoka kwenye hizo changamoto ni sharti uwe na uvumilivu.
 
Hakuna message ya kuaddress, its a failure to launch

umechanganya madesa hadi yamekuchnganya

hujui ndoa ni nini.... I onced said ni makosa ya malezi mabaya, you ended up taking it personal

a smart person cant always be on attack, umetumika vibaya
Mkuu hapo juu anasema kaenda millage...
 
Hebu angalia kwenye uzi wako hivyi wangapi wanakuunga mkono ----- wako ulioumwaga?

NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE

NINGETAKA NIUNGWE MKONO NINHEKUJA NA MADA YA KIWAVISHA KILEMBA CHA UKOKA HAPA, NA KUJIFANYA KUBWA LA WANAFIKI KWELI KWELI! Lakini sio lengo hilo! Lengo ni kutoa MAONI YANGU MIMI, REGARDLESS MAONI YENU YAKO VOPI, HATA MNGEAMUA KUNIKOMOA MNASOMA HAMCOMMENT, AU HAMSOMI KABISAAAA, ILA MAONI NIMETOA, NAFSI YANGU IMETULIAAA TULIIII! Ila navowajua kusoma lazima msome, neno hadi neno, lazima viwainhie mlipuke! Mi nikisha washa moto aaah, navuta juice yangu kukoleza mafuta!
 
Anueonghaseyoooooooooooooooooooooooooo!

Kutokana na watu kusafiria nyota yangu any allegations against me nazijibu kwa thread! Siendi kwenye thread ya mtu maana nakujazia trafic, unapata umaarufu, saivi nakula jasho langu mwenyewe! Mtasnisamehe! Ruksa kuniita Lara 1, jibu nitakupa ila kwa nakijibu kwa thread yangu!

Okaya kwasababu huu mjadala bado unauza tuendelee nao mpaka utakapo acha kuuza.

SIFUTI KAULI MARRIAGE IS A HYPOCRITICAL INSTITUTION 101. Kwa hoja zifuatazo!

Ni institution ya kibinadamu automatically. Ule uana damu hauwezi katu kutenganishwa na UNAFIKI! Ni jadi tu ya wanadamu hio katika hood way kama kuwa senstivie, kuwa polite, au bad way kama kuchachua au kutaka mwenzio asikuzidi! EITHER WAY UNAFIKI NI UNAFIKI UWE MZURI AU MBAYA!

Ndoa ni part ya jamii TUNAMOISHI KILA SIKU, is not as if wanandoa mnakaa MARS afu wengineo waseja, single, mabachela wanakaa pluto useme huwezi kujua ya ndoani! Thbutuuuuuuu! Hao hao wanandoa ni watu ndugu, jamaa, marafiki, majirani unaiteract nao, wanatoa testimony, wanahanyaa hanyaa vikinuka humo humo kwenye jamii! So tunayajua uzuuuuuriiiiii!

Hypocrisy kwenye hii institution haijaanza kwenu wala haishii kwenu, IPO DOCUMENTED MPAKA KWENYE HISTORICAL BOOKS KAMA BIBLE! Mfalme Daudi alikuwana ndoa zake, ila alimpanga jeshini death row yule mjeda ili ale vya mwenzie. Ofcourse alitubu na nini. Delila nae alifanya hypocrisy ya kummaliza Samson. Abraham na mjakazi wake nao waliteleza. Adam na hawa nao? Tena walikuwa paradiso mtakuwa nyie? Hahaaa! No offence intended nawavuta tu sharubu! Hosea na Gomar.? Hypocricy ilivozidi ikabdi mtu mzima Mose aruhusiwe kutoa tamko la TALKA! Wako wanandoa wengi mnooo nitajaza column hiii! Scripture, verses zipo mtu akihitaji! THIS PROVES THINGS WERE NEVER SMOOTH AS YOU IMPLY TO BEGIN WITH! Hahaaaaa!

Increased divorce rates, marriage councelling, maombi na mifungo, vikao vya ukoo, kutimka kwa mapatna, kuzaa na wanawake tofauti tofauti wakati mke unae ndani inaonesha jinsi gani HALI SI SHWARI na upepo unapoolekea siko! Ikiwa mambo ni SWARIIIIIIII ndani ya hio taasis mbona matemdo tuyaonayo kwenye jamii ni CONTRARY na ushswariii? MBA Married But Available mmeongezeka sanaaa siku hizi! Hadi mtu anaamua makusudikally kuzaa na mume wa mtu, na mume anakubali pasipo kushurutishwa na mtu yeyote! HYPOCRARICY KWA BAADHI YENU IMEANZA KUGEUKA CONSPIRACY! Kuzaa nje makusudi ni CONSPIRACY kabisaa hio! Kuiita HYPOCRICY NI UNDERSTATEMENT!

The bi.tch KARMA nae pia ni source ya hii HYPOCRICY! Hamna mtu ana oa au olewa ili aachike, no! I am the special one theory ambapo kila mtu anajiona special! Sasa KARMA ndo inaletaga mtafaruku na mitafutano kibaoo na ni moja ya michimbuko kuu la HYPOCRISY pale tu Mother KARMA anaamua kumsulubisha mmoja, na kumzidishia mmoja! Usiombe mwanaume ndo msalaba ukuhusu! Hulalaaaa! Plus KARMA ndo inasababisha watu expectations zao while they marry zisitimie kwa makusudi, au ziyumbe yumbe na kusababisha mwenye unmet expectations akumbwe na kigugumizi cha WHETHER TO REMAIN A LOOSER AND KEEP TRYING HARD OR WALK AWAY! Hapa watoto wa mjini sifa yenu kubwa ni KI WALK AWAY!

Siple equation! Ndoa = binadamu +binadamu, binadamu = unafiki (moja ya sifa wanyama wengine hawana) Hence UNAFIKI +UNAFIKI =??????????? Mi chichemiii!

Unafiki unaweza kukabiliwa kwa Kuu ignore, ku u confront, ku walk away, kujicomvise hauexist japo kona ya mwisho ya moyoni inajua upo, kuuzoea tu na kuufanya part ya maisha yako, kumuomba Mungu, ETC japo hivo voote haviondoi maina point kuwa UPO!

Na challange yetu wana wa adamu ni HOW BOLD ARE YOU? Je utaruhusu unafiki wa mwenzio ukutafunee nafsi till u walk away from 10 yrs of ya life? Je are you strong enough to turn a blind eye? Are you weak enough to give up everything for just few mistakes? Are you fast enough to change your fate? Are you powerful enough to influence conduct za mtu mwenye oblongata yake? HII SASA INATEGEMEA NTU NTU!

Viongozi wa dini mtanisamehe, na pia nitatubu binafsi kuitoa hii hoja kwa makwazo nitayo wapa! BUT IT IS WHAT IT IS!

Kubalini tu kuna baadhi yenu WMEJITAHIDI MNOO KUIPAKA MATOPE HII TAASISI KWA MATENDO YAO yasiyo ya kiungwana na imelipa! Hahaaa! Kuna mtu ofisin nilimwambia ujue unaipaka matope taasis akanijibu NANI MSAFI ASIE IPAKA MATOPE? Hahaaa! 0 remorse! Nikamwambia flani, akanijibu hujamjua tu, kachungulie sim ya flani! Hahahaaa! ONE MAN CAN MAKE A DIFFRENCE TRY TO BE THAT ONE MAN! Mmoja moja MAY BE, and i mean MAY BE mnaweza kurudisha lost glory! Ila hivi sasa aaaaah! People dnt even try wamekubali tu ku accomodate hypocrisy kama part ya package!

Ni kazi chafu ila ilinilazimu kuifanya! Leo ukijisikia kutukana tukanaaaa mpaka roho yako itakate isiingie Iddi na kinyongo! Afterall hio ndo silaha ya mnyonge! Ubishani wa hoja nitajibi!

THE FEAST TO KILL THE MESSENGER MAY BEGIN! Hahaaaaa!

Its a crime to comment negatively on something which you had not experienced in your lifetime,having an affair is far different than being in marriage institution.
 
Kwani unafiki unauelezeaje? Maana nikiangalia hata mifano ulotoa nashindwa kukuelewa. Abraham alilala na house girl sio kwa kutaka Bali mkewe alimpA ruhusa sasa unafiki unatoka wapi apo? Otherwise unafiki upo tuu hata bila ya ndoa na ukifanya reference ya bible neno la Mungu halipingiki NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE!
 
Sikutaka kuingia sana kwa kina Daudi kwasababu nimegundua katika bible upo shalo. ningekupasua kichwa bure. Ahahah!

Hapo kwenye red ndipo tatizo lako lilipo. kwenye ndoa yeyote kati ya mwana ndoa anaweza akamkosea mwenziwe at any time so swala la kuvumiana ni la kwa wote na sio mmoja tuu ndiye awe wa kumvumilia mwenzake.

By the way binadamu hujifunza kutokana na changamoto, hivyo zinapotokea changamoto kwenye ndoa ndiyo zinafanya ndoa iwe strong.

Na ili ujifunze kutoka kwenye hizo changamoto ni sharti uwe na uvumilivu.

Okay kwa hio UMEKUBALI UNAFIKI UPO ILA UNASEMEHEKA MDA WOWOTE UKIBAMBWA LAKINI, USIPOBAMBWA NUSRA, NUSRA ALMANUSRA UMENUSURIKA?

So pi unakubali mambo si tambarare huko, unafiki upo ila mnakabiliana nao?

NO FURTHER QUESTIONS YOUR HONOR!
 
NINGETAKA NIUNGWE MKONO NINHEKUJA NA MADA YA KIWAVISHA KILEMBA CHA UKOKA HAPA, NA KUJIFANYA KUBWA LA WANAFIKI KWELI KWELI! Lakini sio lengo hilo! Lengo ni kutoa MAONI YANGU MIMI, REGARDLESS MAONI YENU YAKO VOPI, HATA MNGEAMUA KUNIKOMOA MNASOMA HAMCOMMENT, AU HAMSOMI KABISAAAA, ILA MAONI NIMETOA, NAFSI YANGU IMETULIAAA TULIIII! Ila navowajua kusoma lazima msome, neno hadi neno, lazima viwainhie mlipuke! Mi nikisha washa moto aaah, navuta juice yangu kukoleza mafuta!

Binti nakuhurumia sana Mungu wa Mbingu na Nchi atakuhukumu sawasawa na yote unayoyanena nimemaliza ni juu yako kuendelea kulalama kujionyesha unajua au uachane na upuuzi wako huu.

"Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo yake atavunjika ghafla na hapati dawa"

NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE.
 
ktk huu mjadala kuna namna si bure kumbe haujaisha tu??
 
ndoa ni kama basi la abiria wanaoingia humo kila mtu na tabia yake kama wakimisbehave wachunguzwe abiria husika na sio kusema basi zima hawana maana

socrate daughter!

excellent point, na usipokuwa na nauli ya kuingilia humo basini, usitukane waliofanikiwa kuingia kwa kuwaita wanafiki na wasio maana...

Kama vipi tafuta basi jingine hata kama jua linaelekea kuzama, utafika tu hata kama ni usiku wa manane....
 
nimekuelewa mkuu ila hata mm amenishangaza sana sijui kwanini ameamua kuleta thredi ya namna hii yaani nikimfikiria nabakia nimwombee tu ndo kilichobakia
Ukiwa na akili yenye uvivu wa kufikiri utamwona kila mtu in genius but tafakari kidigo mifano ya lala ulikuwa mpango wao Mungu, c muda atatwambia yesu alizaliwa nje ya ndoa, ameulizwa kuzaa nje ya ndoa ni sababu ya ndoa au wanandoa? Yeye kama mzizi namba moja na Waume za watu yeye ndiye hypocrisy bkz anatamani tendon ila anaona kulifanya isivyo, make than a kubwa ya ndoa in magegedano hilo rasmi huku tukiwa na mategemeo ya kukuza uzao wetu.
 
Rafiki umeongea vyema yaani naona hajajitambua akijitambua atajua namna alivyoleta uzi hapa si vyema

yaani hata mm mwalimu wa wanawake/ mfundaji bora/mtoa somo amenishangaza mno sijui niseme nini hapa
socrate daughter!

excellent point, na usipokuwa na nauli ya kuingilia humo basini, usitukane waliofanikiwa kuingia kwa kuwaita wanafiki na wasio maana...

Kama vipi tafuta basi jingine hata kama jua linaelekea kuzama, utafika tu hata kama ni usiku wa manane....
 
Back
Top Bottom