Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4).
II Samuel 11: 6-13. DO NOT TRY TO COVER UP SINS, REPENT AND SEEK GODS FORGIVENESS!!! Samahani mambo ya bible knowledge! Naretrieve randomly!
 
Ndoa ni taasisi inayounganisha binadamu wawili,wasio wakamilifu....kama sifa ya ubinadamu! Lakini mapungufu ya binadamu hao,hayoondoi utakatifu, umuhimu, uzuri na manufaa ya taasisi hii.
Ubaya zaidi huonekana ktk NDOA pale mtu anapooa au kuolewa na mtu kama wewe lara1 huna mapenzi,huieshimu taasisi hii takatifu, kuchepuka kwako sio inshu,mabuzi ndio sehemu ya maisha, kujiona unajua kila kitu nk...
Kwa umri wako (mtu mzima yeyote),lazima uwe na mtu wa karibu zaidi ya rafiki,mzazi au ndugu! Ambae utakuwa huru mbele yake,kumuelezea shida na matatizo yako hata yale ya siri....
Hebu fikiri,leo hii unaumwa ugonjwa mkubwa kwa zaidi ya miaka 2....unahitaji mtu wa karibu muda wote,trust me wote watachoka except your husband or wife!
Matatizo na migogoro ipo,but ndoa ni taasisi takatifu.
MUMEO AU MKEO NI ZAIDI YA NDUGU YAKO!
 
Last edited by a moderator:
life is more than marriage.... its just a matter of play your card well...ndoa imesababisha mengi humu duniani mabaya na mazuri .... any way we are waiting kwa hao amabo wanaushuhuda mzuri na mbaya pia

Yap ndoa si kwa kila mtu,basi na kwa yule aliyeamua kukaa bila ndoa basi na asiwe chambo cha kuharibu ndoa za watu.
 
kama unafki upo haiwezi kwa wote ni moja ya kumi ya abiria waweza kuwa wanafki asilimia kubwa ni raha kwa sababu kila anaingia kwenye taasisi hiyo hashurutiswi ni kwa hiari yake

Tunachobishana humu NI UPO AU HAUPO? Huko % upo kiasi gani mpaka ikubaliwe upo! We ukiwa unasema sio wote, wengine wanasema HAKUNA KABISAAAAAA! Wengine HAITAKIWI HATA KUINSINUATE UWEZEKANO JAPO NUKTA WA KUWEPO INSHU KAMA HIO KATIKA TAASISI SAFI YA ROHO KAMA HII! Umeonaaaaa!
 
Kutumia BIBLIA TAKATIFU kwenye maandiko ya yako ya KISHETANI Ukome.Ni bora ungetamani kuwa MTAWA,siyo KUGONGWA Kama MBWA
 
Anueonghaseyoooooooooooooooooooooooooo!

Kutokana na watu kusafiria nyota yangu any allegations against me nazijibu kwa thread! Siendi kwenye thread ya mtu maana nakujazia trafic, unapata umaarufu, saivi nakula jasho langu mwenyewe! Mtasnisamehe! Ruksa kuniita Lara 1, jibu nitakupa ila kwa nakijibu kwa thread yangu!

Okaya kwasababu huu mjadala bado unauza tuendelee nao mpaka utakapo acha kuuza.

SIFUTI KAULI MARRIAGE IS A HYPOCRITICAL INSTITUTION 101. Kwa hoja zifuatazo!

Ni institution ya kibinadamu automatically. Ule uana damu hauwezi katu kutenganishwa na UNAFIKI! Ni jadi tu ya wanadamu hio katika hood way kama kuwa senstivie, kuwa polite, au bad way kama kuchachua au kutaka mwenzio asikuzidi! EITHER WAY UNAFIKI NI UNAFIKI UWE MZURI AU MBAYA!

Ndoa ni part ya jamii TUNAMOISHI KILA SIKU, is not as if wanandoa mnakaa MARS afu wengineo waseja, single, mabachela wanakaa pluto useme huwezi kujua ya ndoani! Thbutuuuuuuu! Hao hao wanandoa ni watu ndugu, jamaa, marafiki, majirani unaiteract nao, wanatoa testimony, wanahanyaa hanyaa vikinuka humo humo kwenye jamii! So tunayajua uzuuuuuriiiiii!

Hypocrisy kwenye hii institution haijaanza kwenu wala haishii kwenu, IPO DOCUMENTED MPAKA KWENYE HISTORICAL BOOKS KAMA BIBLE! Mfalme Daudi alikuwana ndoa zake, ila alimpanga jeshini death row yule mjeda ili ale vya mwenzie. Ofcourse alitubu na nini. Delila nae alifanya hypocrisy ya kummaliza Samson. Abraham na mjakazi wake nao waliteleza. Adam na hawa nao? Tena walikuwa paradiso mtakuwa nyie? Hahaaa! No offence intended nawavuta tu sharubu! Hosea na Gomar.? Hypocricy ilivozidi ikabdi mtu mzima Mose aruhusiwe kutoa tamko la TALKA! Wako wanandoa wengi mnooo nitajaza column hiii! Scripture, verses zipo mtu akihitaji! THIS PROVES THINGS WERE NEVER SMOOTH AS YOU IMPLY TO BEGIN WITH! Hahaaaaa!

Increased divorce rates, marriage councelling, maombi na mifungo, vikao vya ukoo, kutimka kwa mapatna, kuzaa na wanawake tofauti tofauti wakati mke unae ndani inaonesha jinsi gani HALI SI SHWARI na upepo unapoolekea siko! Ikiwa mambo ni SWARIIIIIIII ndani ya hio taasis mbona matemdo tuyaonayo kwenye jamii ni CONTRARY na ushswariii? MBA Married But Available mmeongezeka sanaaa siku hizi! Hadi mtu anaamua makusudikally kuzaa na mume wa mtu, na mume anakubali pasipo kushurutishwa na mtu yeyote! HYPOCRARICY KWA BAADHI YENU IMEANZA KUGEUKA CONSPIRACY! Kuzaa nje makusudi ni CONSPIRACY kabisaa hio! Kuiita HYPOCRICY NI UNDERSTATEMENT!

The bi.tch KARMA nae pia ni source ya hii HYPOCRICY! Hamna mtu ana oa au olewa ili aachike, no! I am the special one theory ambapo kila mtu anajiona special! Sasa KARMA ndo inaletaga mtafaruku na mitafutano kibaoo na ni moja ya michimbuko kuu la HYPOCRISY pale tu Mother KARMA anaamua kumsulubisha mmoja, na kumzidishia mmoja! Usiombe mwanaume ndo msalaba ukuhusu! Hulalaaaa! Plus KARMA ndo inasababisha watu expectations zao while they marry zisitimie kwa makusudi, au ziyumbe yumbe na kusababisha mwenye unmet expectations akumbwe na kigugumizi cha WHETHER TO REMAIN A LOOSER AND KEEP TRYING HARD OR WALK AWAY! Hapa watoto wa mjini sifa yenu kubwa ni KI WALK AWAY!

Siple equation! Ndoa = binadamu +binadamu, binadamu = unafiki (moja ya sifa wanyama wengine hawana) Hence UNAFIKI +UNAFIKI =??????????? Mi chichemiii!

Unafiki unaweza kukabiliwa kwa Kuu ignore, ku u confront, ku walk away, kujicomvise hauexist japo kona ya mwisho ya moyoni inajua upo, kuuzoea tu na kuufanya part ya maisha yako, kumuomba Mungu, ETC japo hivo voote haviondoi maina point kuwa UPO!

Na challange yetu wana wa adamu ni HOW BOLD ARE YOU? Je utaruhusu unafiki wa mwenzio ukutafunee nafsi till u walk away from 10 yrs of ya life? Je are you strong enough to turn a blind eye? Are you weak enough to give up everything for just few mistakes? Are you fast enough to change your fate? Are you powerful enough to influence conduct za mtu mwenye oblongata yake? HII SASA INATEGEMEA NTU NTU!

Viongozi wa dini mtanisamehe, na pia nitatubu binafsi kuitoa hii hoja kwa makwazo nitayo wapa! BUT IT IS WHAT IT IS!

Kubalini tu kuna baadhi yenu WMEJITAHIDI MNOO KUIPAKA MATOPE HII TAASISI KWA MATENDO YAO yasiyo ya kiungwana na imelipa! Hahaaa! Kuna mtu ofisin nilimwambia ujue unaipaka matope taasis akanijibu NANI MSAFI ASIE IPAKA MATOPE? Hahaaa! 0 remorse! Nikamwambia flani, akanijibu hujamjua tu, kachungulie sim ya flani! Hahahaaa! ONE MAN CAN MAKE A DIFFRENCE TRY TO BE THAT ONE MAN! Mmoja moja MAY BE, and i mean MAY BE mnaweza kurudisha lost glory! Ila hivi sasa aaaaah! People dnt even try wamekubali tu ku accomodate hypocrisy kama part ya package!

Ni kazi chafu ila ilinilazimu kuifanya! Leo ukijisikia kutukana tukanaaaa mpaka roho yako itakate isiingie Iddi na kinyongo! Afterall hio ndo silaha ya mnyonge! Ubishani wa hoja nitajibi!

THE FEAST TO KILL THE MESSENGER MAY BEGIN! Hahaaaaa!

Lara 1,

Although here we do not know each other ( we might in the real world), but if JF administration had introduced best member competition award, I would have nominated you based on; 1. Comprehension and/ understanding, 2. Communicative ability, of course shelving the fact that you mix languages and, 3. Speaking your mind.

Your contributions, however uncovering, irksome - are educating.
 
Samahani, nimesoma '1/5' ya stori yako NIMECHOKA. Ndeeeeeeefu, nafikiri hainihusu! Ngoja nichape lapa!
 
Kutumia BIBLIA TAKATIFU kwenye maandiko ya yako ya KISHETANI Ukome.Ni bora ungetamani kuwa MTAWA,siyo KUGONGWA Kama MBWA
Kwani akigongwa kama mbwa si yake???
Kamwambia mtu atoke kwenye ndoa yake au kamkataza mtu asiingie kwenye ndoa???
 
life is more than marriage.... its just a matter of play your card well...ndoa imesababisha mengi humu duniani mabaya na mazuri .... any way we are waiting kwa hao amabo wanaushuhuda mzuri na mbaya pia

sometimes its not about your cards... it may turn out that you just become other people's poker table!!
 
Yap ndoa si kwa kila mtu,basi na kwa yule aliyeamua kukaa bila ndoa basi na asiwe chambo cha kuharibu ndoa za watu.
Hahaaaaaa! THIS SHOCKS ME! Hivi mimi ninane blab hapa online, na mwana ndoa mwenzio anaenda kula vitu RASMI, kwa raha zakeee, kwenye michepuko huko, mpaka anazaa, mkewe hana hili wala lile NANI ANAHARIBU NDOA YAO IN REALITY? DONT BLAME OTHER PEOPLE FOR YOUR OWN MISTAKES!

Mi ninayesema hapa naonekana MBAYA, IBILISI, ILA ANAYEFANYA AAAAAH! KATELEZA TU! UKO RADHI KUMSAMEHE HUYO ALIE UMIZA HISIA ZAKO KULIKO LARA ALIEANDIKA MATENDO YAKE YA KUUUMIZA HISIA ZENU HAPA JF? You people are sometjing else! Hahaaaa!

MAHALAMA IMETOA TALAKA NYINGI SANAAAA, ILA HAMNA HATA MOJA ILIOSEMA LARA 1 ALIHARIBU NDOA YANGU KWA MAANDISHI YAKE JF! Interesting!

OKAY NAKUBALI MIMI NDO CHAZO CHA NDOA ZOTE WATU KUSHINDWANA, NAWAHARIBIA NDOA ZENU!

What a noble institution with noble people!
 
lara shoga angu mie nakuacha tu coz hata cha kukushauri vimeisha..na nyie wengine mueleweni tu hvyo hvyo na msimamo wake..ila soon o later utabadilisha msimamo mamy..
mie hadi hilo jina dramaqueen kupewa nlikuwa na hekaheka haswaaaa..buzi gani sikulichuna? mume gani wa mtu mwny nazo hakunipitia? nchi ganivya bata cjaenda? yaani dada zangu walikuwa wakiniuliza khs ndoa nlikuwa nawapa msimamo wako..
loooh 2yrs back nkashtuuukaaa ila nashukuru it wsnt late nkaingia mwili mzima ndoani..2yrs now happy like never b4 ALTHOUGH makwazo yapo jamani hata ndugu wa damu c tunagombana? so shoga ake Lara1 tuliza munkari utayakuta.
hlf umeniacha hoi eti huendi kucoment thread za watu unawapa umaarufu? kazi kweli kweli
 
Am never lost unless you know where I'm going. Besides everybody has their decisions in life and my decision is based on my experience.

sijaingia huko nadeal na mada saying ndoa hamna jipya you prove to know nothing completely,you think low
 
Kama nilivyoeleza katika post ya awali kuwa ufanisi wa watu hao wawili katika zile scenarios mbili haulingani...

Lakini kwa mantiki hiyo hatuwezi kuiponda KAZI hiyo kwa kuwa tu mmoja anafanya vibaya na mwingine anafanya vizuri...

Au kwa lugha nyingine ni kwamba mtia doa (dosari) KAZI ni MFANYAKAZI mwenyewe.

Mfano huu huu unaweza ukautaswirisha kwenye NDOA pia...taasisi ya NDOA ipo tayari ikingoja watu kuingia...

Wenye kuitendea haki ndoa wata-prevail lakini wale wasioweza kuitendea haki ni wazi wata-fail tu...

In the world of mathematics, NDOA tunaweza kuifananisha na a certain complex function ambayo inategemea aina ya variables ambazo utailisha ili ikupe results fulani...

Ukiweka variables ambazo si sahihi ima faima huwezi kupata jibu sahihi...


Mkuu watu8 michango mingi sn inatolewa humu mizuri juu ya NDOA ilivyo Nzuri tamu Na safi na Mahali salama kabisa! Lkn nashangaa watu Bado hawaelewi NA kuipondo NDOA!

Mimi nilitaka twende kwa vitendo sasa! lara 1 ebu nitafute Mimi nikuowe ufurahie Raha ya NDOA uone km Ni PEPO YA ALIYOTUANDALIA MUNGU NA NINAKUAMBIA HIVI YANI NIKIKUOA TU MIMI YANI NDANI YA MUDA MFUPI TU KWA ILE AMANI FURAHA UPENDO YANI ILE PEPO UTAKAYOKUA UKO, Utakuja hapa Jf kufuta kauli zako hizi unazoongea hapa sasaivi Na kuwashauri madada wooote waolewe au wawe KTK NDOA!

Nimeona nkujibu hivi kwasababu km ntatumia maandiko kwa Mifano km wewe ulivyotaja baadhi utakosa hoja!

Karibu sn!

Cc: mwallu miss neddy Khantwe Mr Rocky ladyfurahia Eli79
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom