Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

Kwani akigongwa kama mbwa si yake???
Kamwambia mtu atoke kwenye ndoa yake au kamkataza mtu asiingie kwenye ndoa???
HAHAAAAAAA! Acha watu WATOE NYONGO ZOOTE MWILINI! NIMERUHUSU WATUKANE TENA WATUKANE SANAAAAA WAWE MSTARI WA MBELEEE WASAFISHE MIOYO SIKUKU INAKUJA!
Leo nimetoa go ahead WATU MUONESHE UWEZO WA MATUSI YOOOOOOOOOOOOOOOOTE MLIONAYO MSIINGIE IDDI NA VIKOKO JAMANI!
 
Kweli kabisa...
Na stress hizohizo zinasababisha watu kuhisi wanasemwa wao direct
JIWE LILIRUSHWA GIZANI HILI, UKISIKIA YALAAAAAAAAAAAH UJUE MTU LILISHAMPATA LA USO! Hahahaaaaaaaaa!
 
Yangu nilishamaliza ukweli ubaki kuwa ukweli,nimekuja hapa tu kujibu hoja ya mabandiko ya maandiko.

Daudi ni kweli alikuwa na ndoa zake lakini alijaribiwa kumuua Mjeda ili afaidi,hiyo ni tamaa ya Daudi kama Daudi,na ndo maana alikiri mwenyewe naliumbwa toka tumboni mwa mama yangu katika hali ya dhambi,refer Zaburi 51.Kosa lake haliwezi kuhalarisha kwamba Uzinzi ni sawa katika ndoa,wala hatuna mamlaka ya kumuhukumu kwamba alikuwa ni bonge la mdhambi,na Mungu wa rehema alimrehemu lakin alivuna alichokipanda,na tunaona mahali hadi Mungu anamwita rafiki yangu,mtumishi wangu Daudi.

Ibrahim na Sara ni wanandoa waliokubaliana wenyewe kama wanandoa wapate mtoto kupitia mjakazi,kuna majukumu kama wanandoa inabid wayatekeleze,na ahadi hii aliambiwa Ibrahim na Mungu kwamba atakuwa na uzao mwingi sana ,lakini yeye alijikuta akiamini mkewe kuliko ahad ya Mungu,Ashukuriwe Mungu si mwanadam na mpango wake ulitimia kupitia Sara mwenyewe,na tunaona yaliyotokea baada ya Ibrahim kushndwa kumtii Mungu alivuna alichokipanda,lakin udhaifu wake haunifanyi hata kidogo nimuone mnafiki au nikaita ndoa yao ilikuwa ya kinafiki.Hatimaye Mungu anamuita Ibrahim rafiki yangu si mchezo,leo wakristo wote tunajivunia tunamwita Baba wa imani,hapana kama yeye.

Adam na Eva hawa jamani unafiki wao uko wap? Sana sana sema udhaifu wa Adam kwa Eva akasahau hata maagizo aliyopewa na Mungu,na unajua tunapata funzo gani kwa Adam ni kwamba mume hatakiwi kumwacha mke wake peke yake muda mwing anatakiwa kuambatana naye,alipotoka tu shetan akafanya yake,wanandoa wanapokuwa pamoja hata shetan hana nafasi ya kuwaingilia,je hii itufanye kuihukumu ndoa yao ni Unafiki? Au kuna wajibu walisahau?na mwisho tukaona walivuna walichopanda kwa kukosa Utii mbele za Mungu.

Hosea na Gomeri ilikuwa ni mpango wa Mungu kabisa,soma Hosea 1:1-6,Mungu anamwagiza aoe mke wa uzinzi ili kuonyesha jinsi gani Israel ilivyomwasi Mungu na kuyaendea mambo ya uzinzi,walimwacha Mungu wao na kuabudu miungu mingine,je na hii itufanye tuseme ni mnafiki?wakati ilikuwa ni Mpango wa Mungu
 
tatizo ni wanandoa hawajui ndoa,halafu kutokujua kule kukileta some problems mjinga mmoja anakuja ku acuse ndoa ilhali anajua sheria na principles za ndoa ni nini,huu ni uwezo mdogo wa kufikiri,kutafuta support ya rootescape ya marriage,ukiwa umezoea maisha ya been alone its real difficult to see two people togetherness for life as morals and principles are concerned

Kumbe sometimes unakuaga vizuri
 
Ndoa ni wanandoa.
Si kila mwanaume ni husband material.


Si kila mwanamke ni wife material.


Ndoa kama taasisi yoyote inachangamoto zake, zinaweza kuijenga au kuibomoa.


Kila ndoa duniani ni ya aina yake, hakuna mbili zinazofanana. Ni kama finger print.


Uvumilivu katika ndoa ni muhimu. Kama ilivyo ili kufikia malengo yoyote yale.


What more should I say? Marriage is a very noble institution!

Yani hapo umekubaliana na mtoa mada kuaina..Unless hujamuelewa mtoa mada..

Leo nachagiza tuu....
 
sijaingia huko nadeal na mada saying ndoa hamna jipya you prove to know nothing completely,you think low

So you think telling me that I think low makes me think low?? This is completely inferiority complexity, nilichosema kwenye comment yangu ni kwamba sioni jipya kwenye ndoa kwa sababu kila wanachofanya wanandoa nishafanya kasoro moja tu, kuhalalishwa kama mwanandoa, sasa wewe mwenye ndoa halali nithibitishie kwamba sijui nachosema.
 
Mkuu watu8 michango mingi sn inatolewa humu mizuri juu ya NDOA ilivyo Nzuri tamu Na safi na Mahali salama kabisa! Lkn nashangaa watu Bado hawaelewi NA kuipondo NDOA!

Mimi nilitaka twende kwa vitendo sasa! lara 1 ebu nitafute Mimi nikuowe ufurahie Raha ya NDOA uone km Ni PEPO YA ALIYOTUANDALIA MUNGU NA NINAKUAMBIA HIVI YANI NIKIKUOA TU MIMI YANI NDANI YA MUDA MFUPI TU KWA ILE AMANI FURAHA UPENDO YANI ILE PEPO UTAKAYOKUA UKO, Utakuja hapa Jf kufuta kauli zako hizi unazoongea hapa sasaivi Na kuwashauri madada wooote waolewe au wawe KTK NDOA!

Nimeona nkujibu hivi kwasababu km ntatumia maandiko kwa Mifano km wewe ulivyotaja baadhi utakosa hoja!

Karibu sn!

Cc: mwallu miss neddy Khantwe Mr Rocky ladyfurahia Eli79
HAHAHAAAAAAA! Hata mimi naona SIKU YA HARUSI YETU, DIVORCE RATE HUMU NCHINI ABRUPTLY ITAFIKIA NEGATIVEEE, GESTI ZITABAIA WAZI, MARRIED BUT AVAILABLE WOTE WATARU KUWAPIGIA MAGOTI WAKE ZAO, WATOTO WA NJE WOTE WATA HALALISHWA KUWA WA NDOA NA KUBATIZWA NA KANISA LITAWAPOKE RASMI, WAZEE WA MICHEPUKO WOTE WATAWAHI KUTUBU KANISANI!

Kwa hakika watu wote ikiwemo mimi tusame HAKIKA WEWE SI MWANAUME WA KAWAIDA, NDOA YAKO IMERESTORE LOST HONOR. OF MARRIAGE NA TATIZO LILLOISUMBUA DUNIA KARNE NA KARNE UMELIMALIZA DAKIKA MOJO TU ULIBOSEMA I DO!

I am looking foward to that day! SERIOUSLY!
 
So you think telling me that I think low makes me think low?? This is completely inferiority complexity, nilichosema kwenye comment yangu ni kwamba sioni jipya kwenye ndoa kwa sababu kila wanachofanya wanandoa nishafanya kasoro moja tu, kuhalalishwa kama mwanandoa, sasa wewe mwenye ndoa halali nithibitishie kwamba sijui nachosema.
Umeona alivyo na akili fupi eeh...
Bora mumwambie wanaume wenzie
 
Ndoa ni taasisi inayounganisha binadamu wawili,wasio wakamilifu....kama sifa ya ubinadamu! Lakini mapungufu ya binadamu hao,hayoondoi utakatifu, umuhimu, uzuri na manufaa ya taasisi hii.
Ubaya zaidi huonekana ktk NDOA pale mtu anapooa au kuolewa na mtu kama wewe lara1 huna mapenzi,huieshimu taasisi hii takatifu, kuchepuka kwako sio inshu,mabuzi ndio sehemu ya maisha, kujiona unajua kila kitu nk...
Kwa umri wako (mtu mzima yeyote),lazima uwe na mtu wa karibu zaidi ya rafiki,mzazi au ndugu! Ambae utakuwa huru mbele yake,kumuelezea shida na matatizo yako hata yale ya siri....
Hebu fikiri,leo hii unaumwa ugonjwa mkubwa kwa zaidi ya miaka 2....unahitaji mtu wa karibu muda wote,trust me wote watachoka except your husband or wife!
Matatizo na migogoro ipo,but ndoa ni taasisi takatifu.
MUMEO AU MKEO NI ZAIDI YA NDUGU YAKO!
hapa naona mashambulizi binafsi sioni majibu! Yani unahita ndoa taasisi takatifu wakati waliomo hawawezi kuwa wa takatifu!
 
Last edited by a moderator:
Kutumia BIBLIA TAKATIFU kwenye maandiko ya yako ya KISHETANI Ukome.Ni bora ungetamani kuwa MTAWA,siyo KUGONGWA Kama MBWA

Uzuri alishatoa ruhusa kila mtu atoe nyongo......Hakuna ban...

Leo kama mtu hahawahi tukana JF leo ni siku ya kutoa nyongo.....Dahhh

Leo nachagiza tuu....Duhh
 
So you think telling me that I think low makes me think low?? This is completely inferiority complexity, nilichosema kwenye comment yangu ni kwamba sioni jipya kwenye ndoa kwa sababu kila wanachofanya wanandoa nishafanya kasoro moja tu, kuhalalishwa kama mwanandoa, sasa wewe mwenye ndoa halali nithibitishie kwamba sijui nachosema.
Hahaaaa! Mwenzio jana alisutwa na keki huyu ndo maana WATU WANAMKWEPA KAMA UKOMA, UTAJISHUSHIA PR BUREEEEE CC Da Pretty hapo kwenye attachment ANTI SAJO HUYO KILA MYU ANAMJUA MNAJISUMBUA BUREEEEE! Hahaaaaaa!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom