Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

Unaowazalisha wanafunzi wa secondary??
Maana usijidanganye unawazalisha kumbe nao wanataka mbegu tu sio wewe

lakin wakizipata mbegu si wanazaa? Kama huamin kuwa siwezi kukuzalisha ni pm namba yako nikuoneshe jinsi utakavyo vua kyupi bila kujitambua
 
huo ndo ukweli wanawake wengi tunafunika kombe mwanaharamu apite
%chache wanaowapelekesha waume zao hawapendwi na ndg wa kiumeni na wanaitwa wachawi wameroga kaka zao
Naongea hv nipo ndoani na ninaziona za watu pia

Hehee
Basi na.mi nipo njiani kuitwa mchawi ....
Manaake mume akuwa anakusikikiza kila kitu unaonekana mbaya kweli
 
Hahahaa haaaa
Nimekuja HOE

Kumbe Mgirik ndo chanzo?
Ww.mgirik umefanyaje tena?

Ndoa na iheshimiwe na watu wote.

nmekuja habby mm sio chanzo ila kuna watu humu wanapinga ndoa hebu wape neno uwatoe gizan. Tupe neno mama
 
Mi sioni kama kuna haja ya mtu kutoka povu hapa.huo ni mtazamo wa lara 1,njoo na wewe na mtazamo wako prove her wrong kwa hicho anachokidhan kuhusu ndoa.watu mnatukana ndio tujue mnahasira sana?
Behave urself bwana hapa ni kwa greater thinker kama huwezi kulumbana kwa hoja piga kimya na kama kimekuchoma achana na hii thread kwan lazima kuisoma,

Mbona unanata wewe are yiuy sure yeye hatukana ongelea Tania ya matusi siyo nzuri but stop been bias data Hugo lala0 anamdomo mchafu sana! Afu ajue anaongea na wanaume tena wakiafrica. Tatizo mada inamzid umri akajadili na wavulana kuhusu Uboyfrnd na Ugirlfriend mambo ya ndoa atuachie aache kiranga! Lala0 behave as the girl shiiit.
 
Nashukuru sana Tyta kwa kuuleta huu uzi,huo unafiki uliosemwa hapo ni kuuonya wanandoa wanawake wawe na pendo la dhati lakini haujasema kwamba ndoa zao ni unafiki,lakini hii haifanyi kwamba taasisi hii ni ya unafiki,mm Everlenk nikizini nihukumiwe mm kama mm lakini haitufanyi sisi wanadamu wengine tukahukumu ndoa yako Tyta ni unafiki kwasababu mm nimezini.Ukweli ubaki kuwa ukweli.

HAHAHAAAA! Kwa hi wanandoa ni wanafiki?
 
Mbona unanata wewe are yiuy sure yeye hatukana ongelea Tania ya matusi siyo nzuri but stop been bias data Hugo lala0 anamdomo mchafu sana! Afu ajue anaongea na wanaume tena wakiafrica. Tatizo mada inamzid umri akajadili na wavulana kuhusu Uboyfrnd na Ugirlfriend mambo ya ndoa atuachie aache kiranga! Lala0 behave as the girl shiiit.
Hahahahahahaa! Tukana baba tukanaaa! Me kuruhusu mieeee!
 
Mbona unanata wewe are yiuy sure yeye hatukana ongelea Tania ya matusi siyo nzuri but stop been bias data Hugo lala0 anamdomo mchafu sana! Afu ajue anaongea na wanaume tena wakiafrica. Tatizo mada inamzid umri akajadili na wavulana kuhusu Uboyfrnd na Ugirlfriend mambo ya ndoa atuachie aache kiranga! Lala0 behave as the girl shiiit.

Sijaelewa ulichoandika...

Tuliza akili yako wakati unaandika...inaelekea unapapara sana wewe..
 
nyie wanaume wa JF, hebu muoeni huyu bidada ili aache kutuonea wivu na ndoa zetu
 
Wapo ambao ni wanafiki lakini haitufanyi tuihukumu hii taasisi ni ya kinafiki,ukweli ubaki kuwa ukweli.
Hahaaaa! Kama kuna WANAFIKI HUMO NDANI YA TAASIS HUMOOO, What is left? Ujue unafiki ni contageous disease? Hahhaaa!
 
nyie wanaume wa JF, hebu muoeni huyu bidada ili aache kutuonea wivu na ndoa zetu
Hahahaaa! KWA WAKINIOA MTAPUNGUZA KUACHIKA, KUKAZWA NJE, KUTOA MIMBA, WATAWAHI KURUDI NYUMBANI, HAWATO WASUSA HAMU KUSHNEY, WATAACHA KUZAA NJE? Kama kuniwowa wao kutaiokoa dunia niko tayari!
ILA KAMA YOU WISH SO ILI NISIWAPE MAKAVU LIVE THEN NAKUHURUMIA, HATA WATU TUKINYAMAZA UKWELI KUWA FOUL ZIKO PALE PALE HAUTOBADILIKA!
 
Hahaaaa! Kama kuna WANAFIKI HUMO NDANI YA TAASIS HUMOOO, What is left? Ujue unafiki ni contageous disease? Hahhaaa!

Kwa hilo sikubaliani na wewe hata kidogo ukweli ubaki ukweli,kidawa ambaye hajaolewa akiwa malaya haitufanyi sisi tuseme singles wote ni malaya,ukweli ubaki kuwa ukweli.
 
Tukijikumbusha majukumu yetu tumekuwa wanafiki?
Hahahaaa! Hata ukitia huruma WANAFIKI NDIOOO! Unafiki ndo uliwafanya MYASAHAU IN THE FIRST PLACE!

Tena anayekumbusha wenzie NDO MNAFIKI MKUBWA! Yake yote kayaweka in contorl au kujikosha tuuu! Hahahaaa!

Umenikumbusha tukiwaga kwenye kitchen party tunakaa familia, sasa anaanza Aunty kufunza, huku nyuma tunakanyagana na kukonyezana kwa unafiki wake! Mume hajibiwi wakati yeye mumewe anamchambua kama karanga, Mwanamke usafi, wakati yeye ana haugelo 3. Mambo ya ndani usiyatoe wakati akiuziwa mda huo huo atampigia kila mtu naacjika mwenzenu! Hahahaaa! USIPOMJUA ATAKUFUNGA KAMBA. Watu wasiomjua wanamuona wa maana si utani! Hahaaaa!
Baadae anaenda bi mkubwa, anachimba biti kabisaa watoto wabaya sanaa nyie nimewaona wifi anavofunda mnakanyagana, kukonyezana, na kudiscuss kila akiongea uongo! Sasa mimi mzazi wenu nimewazaa, na nitakua nawacheki ole wenu mnikanyagane au kukonyezana, mnajitafutia laana nawaambia! Hahahaaaaa! Tunacheka wote! Sikiza niwaambie wanangu, mimi mtu mzima nimeenda age navoenda KUJIKOSHA (maana huu ndo ukweli) pale inatakiwa mnisapoti kwa vigelegele na nini, au sio wanangu wenyewe! Mkikonyezana mi najisikia vibaya! Inawezekana NITADANGANYA NA KUJIKOSHA kama aunt yenu ila mzazi wenu ujue na natumia veto kuwaamuru mfanye amsha amsha! Ole wenu mniangushe! Hahaaa! Uzuri akishakubali anaenda kutoa shoo pale, na sisi tunaamsha! Basi baridaaaaa!
 
Kwa hilo sikubaliani na wewe hata kidogo ukweli ubaki ukweli,kidawa ambaye hajaolewa akiwa malaya haitufanyi sisi tuseme singles wote ni malaya,ukweli ubaki kuwa ukweli.

Hahaaaaa! MIMI NACJOSIMAMIA NI KWAMBA ZE TAASIS IS NOT ZE VERY NOBLE AS YOU PAINT ZE PICHA! Ilitakiwaz msemage ze ukweli you know kuwa, ze taasis tujitahidi tahidi bati ze some people is staboni! So some how yes, some how no!

And kukujibu coz kidawa NI MALAYA HAIWEZEKANI KUDRAW CONCLUSION KUWA TAASIS YA WATU SINGLE NI WASAFI PUREEEEE! Why? Bcoz Kidawa na wenzie wameingiza luba you know!
 
Back
Top Bottom