Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

Mi sioni kama kuna haja ya mtu kutoka povu hapa.huo ni mtazamo wa lara 1,njoo na wewe na mtazamo wako prove her wrong kwa hicho anachokidhan kuhusu ndoa.watu mnatukana ndio tujue mnahasira sana?
Behave urself bwana hapa ni kwa greater thinker kama huwezi kulumbana kwa hoja piga kimya na kama kimekuchoma achana na hii thread kwan lazima kuisoma,
 
Pole sana,mimi naomba tufike muafaka mzuri,kadi zote ziko mezani mpaka za chumbani tumezitoa,tupe tu ushindi hata wa mezani juu ya hili kwamba ndoa kama ndoa si taasisi ya unafiki,kama vile tulivyokupa ushindi juu ya swala la umri,mengine yote yabaki constant maana naona Uzi mwingine tena ushafunguliwa.

Usinipotezee tafadhal naona bandiko langu la nyuma umenipotezea,sema neno lako moja tu na roho zetu ziwe kwatu!!! Ndoa si taasisi ya unafiki as dunia siyo mbaya walimwengu ndo wabaya. Ukweli ubaki kuwa ukweli.
HAHAAAAAA! Wapiiiiiiiii! MINAONA SANA SANAA MMEJITAHIDI KU KILL THE MESSENGER AND BURN THE MESSAGE AFTER READING, mmenitukanaaaa, mpaka mmchoka ILA MMESHINDWA KUTHIBITISHA PASIPO SHAKA YOYOTE KUWA NDOA IS A NOBLE INSTITUTION NA WANANDOA NI NOBLE PEOPLE WITHIN A NOBLE INSTITUTION. Mwisho mmeishia KU DEVIDE AND RULE MMESHINDWA KUJITETEA AS AN INSTITUTION, NA KUBAKIA BAADHI TUNAFURAHA ILA KWELI BAADHI SO, WABADILIKE WHICH PROVES HYPOCRISY IMO ILA MLIKIWA MMEIFUMBIA MACHO! Hahahaaaaaaa!

Sijakupotezea NILILALA NDO NIMEAMKA HAPA KUJIBU SHUTUMA ZOTE DHIDI YANGU!
 
lara 1, mwisho wa (risala) yako hujatuambia mtazamo/mapendekezo yako ni yapi kuhusu chapisho lako, kama ilivyo kazi ingine ya fasihi nilitazamia mwandishi kumaliza kutoa opinion yake... Watu wasioane? Waoane? Au wafanye nini? (japo utawahi kujitetea neno lako sio sheria)

hamna mtu anaesafiria nyota yako, except nahisi utaanzisha thread ingine ili kukwepa nyota yako kusafiriwa
Hii FASIHI BADO INAENDELEA, NAKUJA NA MADA INAITWA KILL THE MESSENGER AND BURN THE MESSAGE AFTER READING AMBAYO ITAONGELEA HYPOCRISY WITHIN SINGLE PEOPLE AND UNMARRIED INSTITUTION! Hapatotosha humuuuuu! Wacha single people wai enjoy while it lasts. ALAFU NDO NITATOA CONCLUSION YANGU! Kama fanani.
 
jamani ndoa km ndoa ni taasisi takatifu isiyo chembe chembechembe na unafiki
ndo maana MUNGU aliweka ndoa akakataza uzinzi
na wanandoa tukausiwa tuishi kwa amani na upendo wa hali ya juu
ila kutokana ba binadamu kuwa complex creature ndo sie sie tuliotia doa huu muungano ambao tumehalalishiwa
madhara yake hatuthaminiwi,hatuheshimiki mpaka wengine wamekata tamaa na ndoa zenyewe
ila ndoa km ndoa bado ni noble thing ila sie tulio ndoani ndo tunatia najisi
binadamu tumeumbiwa utashi wa kujua baya na zuri tofauti na wanyama
 
Nakubaliana na ww lara 1 ndoa ni mzigo hasa kwa kizazi hiki ambacho wanawake wanawaza kuvuliwa chupi tu. Nilishasema siji kuoa maisha ila ntawazalisha mpaka akili iwakae.[/QUOTE kama wewe na lara1 mawazo yenu ndio haya basi nimeanza kuamini hisa zenu za akili zina gota kati ya 50-69% ambayo kielimu tunaweza kuita ni taahira ya akili.
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana na ww lara 1 ndoa ni mzigo hasa kwa kizazi hiki ambacho wanawake wanawaza kuvuliwa chupi tu. Nilishasema siji kuoa maisha ila ntawazalisha mpaka akili iwakae.[/QUOTE kama wewe na lara1 mawazo yenu ndio haya basi nimeanza kuamini hisa zenu za akili zina gota kati ya 50-69% ambayo kielimu tunaweza kuita ni taahira ya akili.

Hayo mawazo yake usiniunganishe kabisaaa! Kila mtu anahoja yake binafsi, mimi joja zanhu nimezijaza humuuu za kutosha chukua yoyote then ndo ufanye mahesabu yako sio kuchukua hoja ya mtu kuni evaluate mimi.
 
jamani ndoa km ndoa ni taasisi takatifu isiyo chembe chembechembe na unafiki
ndo maana MUNGU aliweka ndoa akakataza uzinzi
na wanandoa tukausiwa tuishi kwa amani na upendo wa hali ya juu
ila kutokana ba binadamu kuwa complex creature ndo sie sie tuliotia doa huu muungano ambao tumehalalishiwa
madhara yake hatuthaminiwi,hatuheshimiki mpaka wengine wamekata tamaa na ndoa zenyewe
ila ndoa km ndoa bado ni noble thing ila sie tulio ndoani ndo tunatia najisi
binadamu tumeumbiwa utashi wa kujua baya na zuri tofauti na wanyama
NOBLE THING KIVIPI WAKATI WANANDOA MSHA ASI, NA MMEJAA NAJISIIIII? Mpka MKIVUE HICHO KIATU ndo muongelee NOBILITY! As long as mnafanya ya wamataifa baaaaaaaaas! Dont talk about nobility!
 
Hahahaaa! HI YA KUSEMA KWENYE NDOA GRASS IS GREENER NDO HYPOCRISY YENYEWE! Ingekuwa hivo kusingekuwa na DIVORSE basiaiii! Unaonaaa mkuu hata ujifiche vipo hypocrisy ya kindoa ndoa lazima itajitokezaaaaa! Faida za ndoa MADA YAKE IKO JIKO I ON THE MEAN TIME NAENDELEA KWANZA KUREKEBISHA NYUFA KWENYE HIO TAASISI!

kha Lara1 bana, haiya!

nasubiri kwa shauku kuu kuona utakavyowasilisha hizo pini za faida za ndoa.

halafu, mbona sasa umefuta footnote yako mpya?
 
Bottom line na kwenye NDOA IPO! Naaita HYPOCRISY kwasababu wana taasisi YOU REFUSE TO ADMIT KWAMBA IPO, MNA WINDOW DRESS FACTS! Ndo ile sawa yapo ila hayatakiwi kusemwa???? Really! TO FOOL WHO? Ndo hypocrisy yenu hio kubwaaa, kupaint a pictire things are so so green, why things are not that green!
Lara 1 naona kweli umeishiwa hoja umebaki kutumia swanglish tu kama njia ya kuonyesha umetoa hoja ila hakuna kitu. Tafadhali jibu hoja yangu usibaki tu kusema tuna window dress facts. Unless niwaamini wale aliokuambia kuwa unaendesha vita coz hujafanikiwa kuipata ndoa.
 

kha Lara1 bana, haiya!

nasubiri kwa shauku kuu kuona utakavyowasilisha hizo pini za faida za ndoa.

halafu, mbona sasa umefuta footnote yako mpya?

DUDE JIPYAAA SIGNATURE MPYAAAA! Maandalizi ya kombe hilo jipyaaaa!
 
Lara 1 naona kweli umeishiwa hoja umebaki kutumia swanglish tu kama njia ya kuonyesha umetoa hoja ila hakuna kitu. Tafadhali jibu hoja yangu usibaki tu kusema tuna window dress facts. Unless niwaamini wale aliokuambia kuwa unaendesha vita coz hujafanikiwa kuipata ndoa.
Hoja gani? Maana SIWAELEWI TENA, MAANA SAIVI MNAJICHANGANYA, MWANZO MLIKUWA MNAKATAA HAMNA CHANGAMOTO, KULE MAMBO MAZURI, SAIVI MNAWAYWAY CHANGAMOTO ZIPO, MARA HAMNA, HATA HAMUELEWEKI MAANA SASA MMEJITENGA KUNA BAADHI YENU MMEVUNJA UKIMYA ZIPO KWELI SIKIWASINGIZIA , WENGINE MNAKOMAA HAMNA, SASA KAMA NYIE WENYEWE HAMNA STAND HAHAHAAAA!

Au labda huelewi toka mwanzo MIMI KUWAITA BUNCH OF HYPOCRITES IMEANZIA WAPI.? Nikukumbushe hio imeanzia kutokana na tabia yenu wanandoa KUPAIT A PICTURE KWAMBA KWENYE NDOA THE GRASS IS ALWAYS GREENER , THINGS ARE ALWAYS SMOOTH AND MARRIED PEOPLE ARE BETTER THAN OTHERS! Of which mimi nikachana na HYPOCRISY SABABU HUMO NDOANI KUNA MISKADI MIKUBWA MIKUBWA, IMPERFECTIONS AKA CHANGAMOTO ZA KUFA MTU, OF WHICH SASA UMOJA WENU UMEKUFA, WENGINE MNAKUBALI KWELI THE GRASS IS NOT ALWAYS GREENER, CHANGAMOTO ZIPO AND IT WAS HYPOCRITIC OF YOU TO PAINT SUCH A PICTURE, NA KWELI WALIOOZA WAMO NDANI YA HIO TAASIS NA WENGINE WENU WAMEANZA KUWAKEMEA WENZENU WENHINE HUMO KWENYE HIO TASISI WANAO WAPAKA MATOPE WHICH PROVES IKUITETEA TAASIS KAMA TAASIS WAS AND STILL IS HYPOCRITIC NDO MAANA BAADHI WAMEANZA KIS STAND ALONE KUTETEA NDOA BINAFSI ZAO, SIO TAASISI KWA UJUMLA KWA KUKUBALI WENGINE NDANI YA HIO TAASISI WALIBUGI MEEEEEN! Wanaunguaje na jua!
 
Hayo mawazo yake usiniunganishe kabisaaa! Kila mtu anahoja yake binafsi, mimi joja zanhu nimezijaza humuuu za kutosha chukua yoyote then ndo ufanye mahesabu yako sio kuchukua hoja ya mtu kuni evaluate mimi.

sijakufanyia evaluation ila mtazamo wake upo kinyume na maadili ya dini zote. Labda aanzishe taasisi ya dini yake then ndo apachike jina la taasi ya kinafki, thats y hata kwenye vitabu vya dini ndoa ni lazima ipewe heshima ya kipekee.
 
sijakufanyia evaluation ila mtazamo wake upo kinyume na maadili ya dini zote. Labda aanzishe taasisi ya dini yake then ndo apachike jina la taasi ya kinafki, thats y hata kwenye vitabu vya dini ndoa ni lazima ipewe heshima ya kipekee.
Sasa kama MPAGANI au DINI YAKE MLIMA, AU MTI kama mababu wewe umejuaje?
 
NOBLE THING KIVIPI WAKATI WANANDOA MSHA ASI, NA MMEJAA NAJISIIIII? Mpka MKIVUE HICHO KIATU ndo muongelee NOBILITY! As long as mnafanya ya wamataifa baaaaaaaaas! Dont talk about nobility!

dunia si mbaya
walimwengu ndo wabaya
na ndoa si mbaya
waoanaji ndo wabaya
 
HAHAHAHAAHHAAAAAAA! No further questions your honor! Need i say more? I dont think soo!

[h=3]Mambo yamekuwa mazito kwenye ndoa yangu
Started by Evz, 11th June 2014 16:32[/h]
Wanajamii forums. Mwenzenu maji yamenifika shingoni..nina mambo mazito sana mwenzenu. Hapa nilipo leo au kesho nabwaga manyanga. Bora niwe single ntalea kiumbe changu mwenyewe kilichopo tumboni. Kiufupi yamenishinda. Kweli nimeamini ndoa ni ndoano. Machungu kila siku jamani? Hapana nimechoka. Nishaurini ila matusi nisingependelea kwa kuwa tumetofautiana fikra. Nimeji minus kwa lolote.
cc: lara 1
My take:ndoa na iheshimiwe na watu wote.
 
Back
Top Bottom